Kenya -TZ Trade Wars

Kenya -TZ Trade Wars

Haitakua nia ya kuikomoa, ila kujibu mashambulizi, haiwezekani hili liserikali letu limenyamaza wakati kutwa Watanzania wanaiwaza Kenya kwa kila kitu chuki full machungu, ilhali na wao wana shughuli zao nyingi tu huku, kuna wakati wa kukubali hasara kwenye maisha na haitakua mara ya kwanza, tuliwahi kufungiana na kila mtu akabaki kwake, hatukufa.

Hata ndoa ukiona mwenzako kila siku vurugu, unapiga hatua na kusema msemo wa kilugha chetu 'thie ukiumaga'.
kama kuna kitu rais Uhuru ananiboa hadi mishipa inanitoka, ni hili la kuwalea Watanzania, amalize hatamu yake aje mzalendo wa kweli na mjanja kwenye michezo ya aina hii, nahisi naibu wa rais William Ruto huu mchezo sio mgeni kwake.
Siku ukijua NCHI ambayo wezi wa madini ya tz wanaishi na wamewekeza ndiyo utajua kwanini Ukenyatta kaufyata kwatz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya wakenya naomba mrushe picha za bidhaa za tanzania zilizo huko tuone kama zetu mmeziruhusu, mi naanza na zenu zinazouzwa Tz, kwa haraka haraka tuone nani anazuia biashara, MI NAANZA NA HII
IMG_20190131_101844.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio mutaipiku Kenya au tujueje?
Tunahitaji kupunguza kuagiza bidhaa nje Ili watz wapate ajira na kuongeza mapato ya nchi kupitia kodi na kupunguza idadi ya wasomi walioko mtaani.Pia itasaidia kuuza ziada nje tupate fedha zakigeni.Mm sijaona sababu ya kufikiria kama ulivyofikiria wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji kupunguza kuagiza bidhaa nje Ili watz wapate ajira na kuongeza mapato ya nchi kupitia kodi na kupunguza idadi ya wasomi walioko mtaani.Pia itasaidia kuuza ziada nje tupate fedha zakigeni.Mm sijaona sababu ya kufikiria kama ulivyofikiria wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wakenya ni mwendawazimu, hata kama wanaishi kwenye slums, hawana chakula, hawana ajira, nchi inanuka rushwa, hakuna amani nchini mwao, vyetu hivyo sio muhimu, kwao muhimu ni GDP, tena GDP ya uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji kupunguza kuagiza bidhaa nje Ili watz wapate ajira na kuongeza mapato ya nchi kupitia kodi na kupunguza idadi ya wasomi walioko mtaani.Pia itasaidia kuuza ziada nje tupate fedha zakigeni.Mm sijaona sababu ya kufikiria kama ulivyofikiria wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
kila la kheri
 
Alaf wanataka ushindani wa biashara ikiwa mambo madogo yanawatoa kamasi😂😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom