Kenya, Uganda and Rwanda agree on Joint Tourism

Kenya, Uganda and Rwanda agree on Joint Tourism

Safi sana.
Hongereni sana, ni hatua kubwa na njema.
Songeni mbele kwa mbele.

Msipoteze tena muda kuibembeleza Tanzania ambayo kwa sasa sekta ya utalii inazidi kididimia kuelekea kufa kabisa. Tanzania kwa sasa kiuchumi haijijui ipo wapi wala inaelekea wapi. Iko busy kukamata mateja na kuwasumbua wapinzani huku ikiendesha kampeni ya kumwabudu yule mungu-mtu wao.
 
Watanzania tuache kujidanganya kuwa tunaweza sisi wenyewe bila kushirikiana na wenzetu.
Kwenye sekta ya Utalii, bila Uwepo wa Kenya kamwe Tanzania hatuwezi kusimama wenyewe.
Utalii hapa Tz tunabahatisha mno.
 
Safi sana.
Hongereni sana, ni hatua kubwa na njema.
Songeni mbele kwa mbele.

Msipoteze tena muda kuibembeleza Tanzania ambayo kwa sasa sekta ya utalii inazidi kididimia kuelekea kufa kabisa. Tanzania kwa sasa kiuchumi haijijui ipo wapi wala inaelekea wapi. Iko busy kukamata mateja na kuwasumbua wapinzani huku ikiendesha kampeni ya kumwabudu yule mungu-mtu wao.

Yule Pogba
 
The usual puke. Anything else.???Documented 8/10Dan
ganyikans are mad, 9/10 Danganyikans are cannibals (Albino devourers), 8/10 Danganyikans are sorcerers.
ALBINO DEVOURERS!! 😀😀😀😀
 
Safi sana.
Hongereni sana, ni hatua kubwa na njema.
Songeni mbele kwa mbele.

Msipoteze tena muda kuibembeleza Tanzania ambayo kwa sasa sekta ya utalii inazidi kididimia kuelekea kufa kabisa. Tanzania kwa sasa kiuchumi haijijui ipo wapi wala inaelekea wapi. Iko busy kukamata mateja na kuwasumbua wapinzani huku ikiendesha kampeni ya kumwabudu yule mungu-mtu wao.
Acha upnguani wewe. Idadi ya watalii Tanzania kwa 2016 imeongezeka na mapato yameongezeka.Kwa taarifa yako, Tanzania inapata pesa nyingi kwenye utalii kuliko Kenya.
Peleka umbumbumbu wako Jukwaa la siasa kwa wajinga wenzako wasio na takwimu zozote. Kama huna takwimu bora unyamaze kuliko kuleta utoto humu.
 
Acha upnguani wewe. Idadi ya watalii Tanzania kwa 2016 imeongezeka na mapato yameongezeka.Kwa taarifa yako, Tanzania inapata pesa nyingi kwenye utalii kuliko Kenya.
Peleka umbumbumbu wako Jukwaa la siasa kwa wajinga wenzako wasio na takwimu zozote. Kama huna takwimu bora unyamaze kuliko kuleta utoto humu.

Tehehehee.... Mtanzania mwenzako huyo.Usibishane na cooked figures hapo
 
Tehehehee.... Mtanzania mwenzako huyo.Usibishane na cooked figures hapo
Huyo mpinzani mfuata mkumbo tu, hajui lolote zaidi ya kuponda kila kitu. Huwa wanajaza upuuzi wao jukwaa la siasa, wengine wanachambua recession wakati hata hawaelewi GDP ni kitu gani.
Kuna watoto wengi humu wanaocheza mitandaoni matokeo yake wanaishia kuandika ujinga.
 
Watanzania tuache kujidanganya kuwa tunaweza sisi wenyewe bila kushirikiana na wenzetu.
Kwenye sekta ya Utalii, bila Uwepo wa Kenya kamwe Tanzania hatuwezi kusimama wenyewe.
Utalii hapa Tz tunabahatisha mno.
Labda Wewe sio mtanzania, na huna data, hapa unajiaibisha bure.
halafu pia sio kila sehemu lazima uache coment, unajiaibisha bure kama hivi.
 
Wale madogo wa msumbiji wamevuta bangi ya Malawi, hata raisi wao Felipe nyusi amelelewa bongo tangu utoto wake,
Tumewasaidia kwa mengi hata kuikomboa nchi yao mikononi mwa wakoloni,
Leo tunaskia wanafukuza ndugu zetu huko hata wenye vibali halali, wananyang'anya Mali zao na kubaka Dada zetu,
They are trying to lower our tolerance threshold.
But I am sure this will be resolved soon.
Sababu ni ujinga wenu wa kuona mnaheshimika kuliko wengine.
 
Source? Evidence?

Tourism revenue drops further as numbers reduce

Tourism earnings dropped to Sh84.6 million last year as the sector recorded the lowest number of visitors in five years, the Economic Survey 2016 report shows.
Tourism revenue drops further as numbers reduce

Tanzania’s 2016 current account deficit narrows 49 pct


Tanzania is famed for its pristine beaches and safari parks, and tourism is the country's biggest source of foreign exchange. Earnings from the sector rose to $2.23 billion last year from $2.01 billion as visitor numbers increased, the BoT said.

Tanzania’s 2016 current account deficit narrows 49 pct
 
let em agree hatuwezi kushirikiana kwenye ushirika wa kinyonyaji....hivi kenya kuna wanyama??? au watalii wanaenda kucheki nguruwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
In fact tunaheshimika, kuliko wengine mkiwemo nyie. Can you tell me how many countries in Africa do Kenyans travel visa free?

Kenya can not be given free visa as it is a middle income economy, it doesn't get favors like least developed countries do!! Not only visas, many developed countries does not see Kenya as a country that needs grants and Aid but a business partner! Business only!!
 
Kenya can not be given free visa as it is a middle income economy, it doesn't get favors like least developed countries do!! Not only visas, many developed countries does not see Kenya as a country that needs grants and Aid but a business partner! Business only!!
Tafuta mtu akutafsirie ulichoandika.
 
Kenya can not be given free visa as it is a middle income economy, it doesn't get favors like least developed countries do!! Not only visas, many developed countries does not see Kenya as a country that needs grants and Aid but a business partner! Business only!!
That's true Mr wanjala
 
Back
Top Bottom