COW ni shida.
Alafu naona kila wanachofanya wanataka kututamanisha ili sisi tuone kuwa wanafaidi alafu to join.....
Mi najua tu wataanza kutofautiana baadaye pale watakapo gundua mmoja anafaidika kuliko mwingine lawmaina78
Hamna uhusiano wowote dunia bila changamoto, I've said this before, the conglomeration is more like a business merger between companies. Makampuni huwa yanaungana ili kuboresha huduma zao na kuongeza faida inapotokea kwamba ushindani baina yao ndio unawaangusha.
Tanzania imekataa kuungana na wengine eti kwa sababu wanaogopa Wakenya watanufaika. Huo ni ulimbukeni, kwani mbona tusinufaike, Wabongo wanachofaa kujiuliza ni vipi hata nao watanufaika na sio kupoteza muda wakiwaza tu kuhusu Kenya.
Nchi ya Tanzania sasa hivi ndio inayo vivutio bora vya kiutalii Afrika yote, lakini wapo wapo tu, hamna jipya takwimu ni zile zile tu zimeongezeka kwa asilimia kidogo. Afrika Kusini vivutio vyao duni lakini wanashinda EAC yote hata ikiunganishwa. Watanzania waache uoga wa biashara na kufungua milango, wakubali hii ni karne mpya ambayo huwezi endelea kujifungia kwako halafu utarajia matunda. Waruhusu tupigie debe vivutio vyote vya EAC kama kifurushi kimoja na kupigana na Wa-south Afrika, wao kama Tanzania bora wahakikishe mapato yao yanaingia freshi bila vinginevyo.
forget about our land for it will never be among EAC issues,never.Can you try to be concise, instead of using too many words to say so little. You must understand these posts are read by others too.
It's a known fact Tz have been way too timid on just about anything and everything concerning EAC endeavours.
It is not always about land and tourism. There is quite a lot of other things that can be ratified and leave out contentious ones, that's what CoW are doing.
Anyway, I must commend your administration as it seems to have woken up abruptly, they are catching up and willing to participate albeit with one leg out.
The problem with you guys are way too slow to ingest anything. At CoW we agreed to only integrate on agreeable features and leave out any contentious issues, but Tz opted out and promised to join the train later. The modern world requires quick decisions on ideas that are developed by great thinkers. The more you procrastinate the longer your people will be left in the dark and they will turn their anger to the leadership.
CoW is pegged on what blends us more than divide, observe the developed countries, they got so far after opening their doors to the world. You can't sulk in introversion and hope things to just work.
Yaani na ujanja wako hivyo unagombana na keyboard mpaka asubuhi? we bwe.ge kweli. unapumuliwa kisogoni wewe. Yaani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana. Alafu itakuwa mtihani wa hesabu/physics ilikuwa inakusumbua sana. Sema kweli.
South Africa ni watu wetu, na tuna economic ties nao tayari. Tukisema tuungane EAC against South Africa tutakuwa tumevunja makubaliano tuliyowekeana nao.
So, from that point utaona kwamba we do not need to hurry............
Eti South Afrika wetu tu? some people wanafikiria kama akili za mbuzi.
Interahamwe umepewa za uso na Lawmaina78 sasa unajifanya chizi eti physics/math...nyie washamba mnajificha nyuma ya Utanzania kumbe ni interahamwe,na hakuna wabongo wenye akili mbovu na chuki kama wewe na yule mwehu mwenzako Jmali.
Hamna uhusiano wowote dunia bila changamoto, I've said this before, the conglomeration is more like a business merger between companies. Makampuni huwa yanaungana ili kuboresha huduma zao na kuongeza faida inapotokea kwamba ushindani baina yao ndio unawaangusha.
Tanzania imekataa kuungana na wengine eti kwa sababu wanaogopa Wakenya watanufaika. Huo ni ulimbukeni, kwani mbona tusinufaike, Wabongo wanachofaa kujiuliza ni vipi hata nao watanufaika na sio kupoteza muda wakiwaza tu kuhusu Kenya.
Nchi ya Tanzania sasa hivi ndio inayo vivutio bora vya kiutalii Afrika yote, lakini wapo wapo tu, hamna jipya takwimu ni zile zile tu zimeongezeka kwa asilimia kidogo. Afrika Kusini vivutio vyao duni lakini wanashinda EAC yote hata ikiunganishwa. Watanzania waache uoga wa biashara na kufungua milango, wakubali hii ni karne mpya ambayo huwezi endelea kujifungia kwako halafu utarajia matunda. Waruhusu tupigie debe vivutio vyote vya EAC kama kifurushi kimoja na kupigana na Wa-south Afrika, wao kama Tanzania bora wahakikishe mapato yao yanaingia freshi bila vinginevyo.
Example: USA, Canada, and Puerto Rico share the same Telephone system. A call from USA to Canada et al is local and vice versa, if the big fish knows the deal why not E Africa? Tanzania wake up.
In development, why not. You are a very poor country, why not learn from first world.Kwahyo kila anachofanya USA na sisi tufanye?? Kwanini??
That mind trick wont work. Trying to make it seem backward and out of fashion to say no to the EAC....as if the EAC is some modern fashionable trend that everyone should be blindly copying. Our smart minds ARE on the table, negotiating on our behalf. When tbey say NO, respect that!The problem with you Tanzanians, you approach everything from Kenya's perspective as opposed to what is in stake for Tz. To you is always about how Kenya will benefit. you must understand this is like a business merger negotiations. You don't run away like a coward, but have your best brains engage on the table.
In development, why not. You are a very poor country, why not learn from first world.
With your mentality, yes it is, that is why Tanzania is poor to the core.Kila kitu kinaendana na mazingira mke
Kwahyo kila anachofanya USA na sisi tufanye?? Kwanini??