Elly Owange
Member
- Jun 2, 2012
- 11
- 36
Mimi ni mkenya, na nimejiunga na hii forum kwa sababu hivi karibuni nitahamia kuishi TZ kwa miezi 5 hivi. Ila nimehuzunishwa na ushindani kati ya +255 na +254 niliouona hapa. Nina swali kwa ndugu zangu waTZ, mbona mnachuki dhidi ya Kenya hivi? Hii sehemu inaitwa; Kenya News and Politics. Ila mada zilizojaa hapa nyingi ni za kuonesha maendeleo ya Tanzania (ili kuonyesha mko juu ya kenya) na mada za kuiponda Kenya tu.
Explain to me what you gain from comparing the two countries? Kama mnaona Tanzania imeshinda Kenya kimaendeleo, mbona poa tu! Mbona hamjilinganishi na UG, RW ama Malawi? Kenya tu ndio wayaumisha kichwa! Ina inawafaidi nini kuiponda Kenya? Mnafurahia Kenya ikianguka ama ni vipi? Mara ooh SGR haitafika malaba, mara ohh tumewapokonya pipeline ya UG, RW SGR itapitia Tz, mara ohh lapset project itaanguka! Mara ohh wakenya wanaishi kwa slums, mnasahau dar ina Mbagala na tandale slums. Hata S.A most developed country in Africa ina slum; Soweto.
Mimi sina kinyongo nikiona Tz ikiendelea, na wakenya wenzangu 40 million hakuna atakaepandwa na presha Tz ikipita kenya. Sasa mbona nyinyi inaonekana ni kama mnataka Kenya ianguke. Sijui neno la kiswahili ila wazungu watasema you have inferiority complex. Tembeleeni Forums za Kenya kama; JamiiForums.com, Wazua Forum. Hutaona hata mada moja inayoongelea TZ. Hata hakuna sehemu ya "Tanzania News and Politics
Nchi EAC zina watu jumla zaidi 170 million, tukiungana kufanya biashara na maendeleo itafaidi Nchi zote tufike kiwango cha Nigeria, SA na Egypt. Ila waTz nyie mnaona kushindana na kenya tu. Niambieni mnafadi nini kulinganisha Kenya na Tz, wakati hata kenya hatujali?
Kwa hayo mengi nangoja kwa hamu kuja TZ.
Poleni kwa waliopata wakati mgumu kuelewa kiswahili changu.
Explain to me what you gain from comparing the two countries? Kama mnaona Tanzania imeshinda Kenya kimaendeleo, mbona poa tu! Mbona hamjilinganishi na UG, RW ama Malawi? Kenya tu ndio wayaumisha kichwa! Ina inawafaidi nini kuiponda Kenya? Mnafurahia Kenya ikianguka ama ni vipi? Mara ooh SGR haitafika malaba, mara ohh tumewapokonya pipeline ya UG, RW SGR itapitia Tz, mara ohh lapset project itaanguka! Mara ohh wakenya wanaishi kwa slums, mnasahau dar ina Mbagala na tandale slums. Hata S.A most developed country in Africa ina slum; Soweto.
Mimi sina kinyongo nikiona Tz ikiendelea, na wakenya wenzangu 40 million hakuna atakaepandwa na presha Tz ikipita kenya. Sasa mbona nyinyi inaonekana ni kama mnataka Kenya ianguke. Sijui neno la kiswahili ila wazungu watasema you have inferiority complex. Tembeleeni Forums za Kenya kama; JamiiForums.com, Wazua Forum. Hutaona hata mada moja inayoongelea TZ. Hata hakuna sehemu ya "Tanzania News and Politics
Nchi EAC zina watu jumla zaidi 170 million, tukiungana kufanya biashara na maendeleo itafaidi Nchi zote tufike kiwango cha Nigeria, SA na Egypt. Ila waTz nyie mnaona kushindana na kenya tu. Niambieni mnafadi nini kulinganisha Kenya na Tz, wakati hata kenya hatujali?
Kwa hayo mengi nangoja kwa hamu kuja TZ.
Poleni kwa waliopata wakati mgumu kuelewa kiswahili changu.