much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Aseee wakenya elimu yao ndogo sana hii ni mara ya pili wanafanya sasa sijui wanafikiri bado tupo kwenye old stone age kwamba hatutaweza ng'amua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseee wakenya elimu yao ndogo sana hii ni mara ya pili wanafanya sasa sijui wanafikiri bado tupo kwenye old stone age kwamba hatutaweza ng'amua?
Nyinyi mnanunua Mitumba ya Inchi duni sisi tukizitoa Marekani (Superpower), Britain, Urusi na Israel. Sasa mtatuambia??
Mbna hamkuvitumia kule congo kw wale vijana wa mapangaleta source ulipozitoa hizo idadi ya millitary equipment za Tz. maake najua jeshi la Tz vifaa vyake vyote hua siri
Ukumbuke urusi na Syria wanampa mawazo Hugo capitalist wetu pia Trump kama anawazingua moans germany sembuse Kenya pia Saudis pamoja na madila yake anazinguliwa pia jiongeze USA Hana rafiki wa kudum ni maslai tu[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I hope you realize that in East Africa Kenya has the strongest lineups of allies support right from USA & Britain na tena hakuna Inchi Africa inaweza ingia kwa vita na Capitalist Nation. Hapo mtaumia na hio ujamaa yenyu. Already kenya iko na full support of its allies na kama hujui sahii as we speak British & American troops have their main base in Kenya so in any event of a war sijui mtakimbilia wapi ju already mtakuwa mkipigana na KDF under Amisom which will prove catastrophic to Tz. Hamna Economy, Support na Range ya kupigana na Kenya bro
Ukumbuke USA aliwai kupayuka kuwa Tz ananunua weapon kwa bwana kiduku pia urusi na China hawatoi data za wajamaa wenzie kijeshi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Buda! Hakuna inchi ya Kiafrika ambayo iko na usiri kwa military unless unataka kutudanganya Tz ni superpower kama US na Russia ambao wako na nuclear weapons! Tz haidevelop any military weapon instead wao hununua kama inchi zingine duniani. Na statistics zinaonesha expenditure yenyu iko chini sana infact hakuna vuta mshai pigana kama Jeshi ni Peace keeping pekee! Kenya on the other hand imeongeza budget yake na purchasing power to a very high level! Tena hio unataka kubishana?
Kipindi cha mauji ya kimbali Rwanda france Alikuwa na makeshi humo pia Africa ya Kati ni vilevile tuSisi ni capitalist. Hatuchokozi. Tunangoja watu wa Ujamaa wajaribu alafu tuwaonjeshe Makali ya Capitalism. Uliza Japan vile walijaribu kuchokoza our big brothers. Kwanza mtaanzaje kupigana na Kenya wakati tuko na economy kubwa na the US & British base kenya?? How?? Hio si nikuchokoza nyuki jameni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wambie hao wakenya maan m nashndwa nianzie wap!!Hahah jeshi la kenya yaan KDF linatumia Ndege za kivita aina ya F5 na izo ndege za kiboya sana kuna siku kambi ya KDF ya El Adde Iliyopo somalia ilishambuliwa na alshabab kenya ikapeleka izo ndege kusaidia unaambiwa zilihepa kurudi kenya fasta kwani alshabaab walikuwa na bunduki za kulipua ndege kutoka hewani yaani anti aircraft gun tofauti na Wanaume wa JWTZ wanatumia mashine ya mrusi inaitwa MiG21 moto wake Ni balaa hata jeshi la india linaitumia hii kitu
Mind you! Uganda will never fight with tz bcoz Uganda army ilianzishwa na jwtz baada ya kumtoa iddi amin madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nendeni mkajaribu tena kuchokoza Uganda Muone! These guys have SU-30 fighter Jets!!![emoji50][emoji50] Mtafagiliwa kama takataka nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 890723
Vita ingekuwa ni budget na vifaa vya jeshi tu basi tusingewapiga Uganda. Mvietnam asingempiga Mmarekani. Iran asingemsulubu Miraq. Mchina na DRPK wasingechapana na Mmarekani na South Korea hadi waamue vita iishe bila mshindi. Jeshi zuri ni zaidi ya vifaa na budget na ukiangalia vizuri Kenya budget yenu ipo juu kwasababu ya Somalia sisi hatuna jirani anatusumbua na majeshi yetu yaliopo DRC yanalipiwa na UN kwa maana nyingine yapo kwenye mission na kuongeza uzoefu wa vita at the expense of UN hapa kuna uwezekano hata michango yenu mnayotoa UN yanalipia Jeshi letu bila kujua.Kenya is undoubtedly a supreme military outfit in East Africa due to its superior weapon hardware and defense spending. Tanzania spent $544 million (Sh56 billion) –half of what Kenya spent on its forces.
Kenya’s Kshs.100 million plus defense expenditure accounts for 2.4 percent of total African military spending. This enormous resource upsets the balance of power in the Eastern African region. This colossal budgetary allocation accords Kenya as the eighth largest Africa’s military spender.
The positive outlook of the Kenya Defence Forces (KDF) further extends into Somalia war involvement that is supported by 4000 troops.
Since military weapons acquisitions are kept under wraps by the respective military units, it’s difficult to tell the real power behind their uniform. However, some prominent purchases do find themselves in the public domain through credible international bodies.
Kenya Defence Forces had slashed their military weapons purchase sharply since last year by Kshs.1.5 Billion while and their Tanzanian counterparts, Tanzania People's Defense Forces didn’t order for any weapons.
Kenya’s KDF compromise 24,150active personnel, slightly less than Tanzania’s 30,000 staff.
According to Global Firepower, Kenya commands a stockpile of 76 battle tanks, 591 armored fighting vehicles, 25 towed artillery, 30 self-propelled guns, 17 fighter jets, 131 aircraft, and 61 helicopters.
In the same report by Global firepower, Tanzania is confirmed to have an arsenal of 30 aircraft, 30 tanks, and 150 armored fighting vehicles.
View attachment 890421
Huko mbali Westgate tu ilionesha akili ndogo za jeshi lao na vyombo vyote vya usalama vya Kenya na hadi leo hawana uwakika na kilichotokea. Ukiona nchi majambazi wanawazidi polisi akili ujue hamna cha intellegence wala ethics kwenye majeshi yao.Hahahahaha eti na nyie paka shume mnajifananisha na simba kamili!!!
Jeshi la kenya lina tofauti gani na migambo wa jiji...kuna wakati walinzi maalumu wa Rais walienda kupigana na jambazi mmoja baada ya vikosi vingine kushindwa......nawadharau sana tangu siku hiyo.
Hahaha.... Unajua hao wapuuzi wasiokuwa na shukrani walikuwa hadi na makambi huku TZ na ushahidi upo kama tulikuwa pathetic kwanini walikaa muda mrefu for training. Unajua nani alipewa heshima ya kuhutubia bunge la kwanza la SA after Aparthed ? Unajua kwanini alipewa hiyo heshima na Mandela? Upo very uninformed.I've lived in SA for a long time.. all the military personnel i have encountered say they have never met a more pathetic army in their lives... "like chickens in the rain" what they say about TZ army... about the struggle u didn't help them fight... u just hid their fighters.. very different from picking up arms.. the Boers would have destroyed you in a second if u tried