Kenya waanza kusema kuwa Simba ni yao....

Kenya waanza kusema kuwa Simba ni yao....

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hawa jamaa sijui wanavuta bhangi au nini? Nilikuwa naongea na mkenya mmoja kuhusiana na mpira .... Hasa kwa nchi za East Africa hakujua kama natokea Tanzania. Yeye anajua mimi ni Black American.

Nikamuuliza kwa East Africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. Akajibu bila aibu kuwa kwa wao Kenya wana team inaitwa simba Sports Club imetinga robo fainali shirikisho... Hiyo ndo team inayobeba East Africa kwa kiasi kikubwa sana. Nikamuuliza tena ni ya nchi gani. Akaseama "Nimekwambia inatokea hapa kenya ina wachezaji kama akina onyango n.K" nikamwambia tu haya.

Watanzania ni kuwa makini sana Kenya hawachelewi kuichukua hii team na kuitangaza kama yao halafu sisi tukakosa mapato ya Utalii. msilale maana hali ninavyoiona kwa hawa jamaa kila kitu kizuri wanapenda kiwe chao.
 
Simba Tamu Jamaa Ni Lazima Nao Waihitaji
 
hawa jamaa sijui wanavuta bhangi au nini? nilikuwa naongea na mkenya mmoja kuhusiana na mpira .... hasa kwa nchi za East Africa hakujua kama natokea Tanzania. yeye anajua mimi ni Black Americano. nikamuuliza kwa ast africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. akajibu bila aibu kuwa kwa wao Kenya wana team Inaitwa Simba Sports Club imetinga Robo Fainali Shirikisho... hiyo ndo team inayobeba East africa kwa kiasi kikubwa sana. nikamuuliza tena ni ya nchi gani. akaseama "nimekwambia inatokea hapa kenya ina wachezaji kama akina Onyango n.k" nikamwambia tu haya.

Watanzania ni kuwa makini sana Kenya hawachelewi kuichukua hii team na kuitangaza kama yao halafu sisi tukakosa mapato ya Utalii. msilale maana hali ninavyoiona kwa hawa jamaa kila kitu kizuri wanapenda kiwe chao.
Watuachie wawakilishi wetu wa ukweli.....waichukue Mavyura wa Jangwani (Yanga) timu isiyo na faida na nchi kimataifa. Hivi hatuwezi kufanya petition hawa viluilui kupelekwa/kuhamishiwa Kenya moja kwa moja?
 
hawa jamaa sijui wanavuta bhangi au nini? nilikuwa naongea na mkenya mmoja kuhusiana na mpira .... hasa kwa nchi za East Africa hakujua kama natokea Tanzania. yeye anajua mimi ni Black Americano. nikamuuliza kwa ast africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. akajibu bila aibu kuwa kwa wao Kenya wana team Inaitwa Simba Sports Club imetinga Robo Fainali Shirikisho... hiyo ndo team inayobeba East africa kwa kiasi kikubwa sana. nikamuuliza tena ni ya nchi gani. akaseama "nimekwambia inatokea hapa kenya ina wachezaji kama akina Onyango n.k" nikamwambia tu haya.

Watanzania ni kuwa makini sana Kenya hawachelewi kuichukua hii team na kuitangaza kama yao halafu sisi tukakosa mapato ya Utalii. msilale maana hali ninavyoiona kwa hawa jamaa kila kitu kizuri wanapenda kiwe chao.
Wapelekewe kabisa na ikiwezekana wapewe na nyongeza ya ihefu, mwijaku , babalevo na msemaji wa wanamziki watuachie 🇹🇿TANZANIA yetu tufanye kazi
 
Hawa jamaa sijui wanavuta bhangi au nini? Nilikuwa naongea na mkenya mmoja kuhusiana na mpira .... Hasa kwa nchi za east africa hakujua kama natokea tanzania. Yeye anajua mimi ni black americano.

Nikamuuliza kwa East Africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. Akajibu bila aibu kuwa kwa wao kenya wana team inaitwa simba sports club imetinga robo fainali shirikisho... Hiyo ndo team inayobeba east africa kwa kiasi kikubwa sana. Nikamuuliza tena ni ya nchi gani. Akaseama "Nimekwambia inatokea hapa kenya ina wachezaji kama akina onyango n.K" nikamwambia tu haya.

Watanzania ni kuwa makini sana Kenya hawachelewi kuichukua hii team na kuitangaza kama yao halafu sisi tukakosa mapato ya Utalii. msilale maana hali ninavyoiona kwa hawa jamaa kila kitu kizuri wanapenda kiwe chao.
Unaifahamu "Bangee"
 
...Nikamuuliza kwa East Africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. Akajibu bila aibu kuwa kwa wao kenya wana team inaitwa simba sports club imetinga robo fainali shirikisho... Hiyo ndo team inayobeba east africa kwa kiasi kikubwa sana. ..
Sijaona alipokosea, sema tu una inferiority complex. Simba ni fahari ya kila aipendaye duniani kote. Hata huu uzi haukuwa na sababu za kuuanzisha
 
Sijaona alipokosea, sema tu una inferiority complex. Simba ni fahari ya kila aipendaye duniani kote. Hata huu uzi haukuwa na sababu za kuuanzisha
sasa kama simba ni fahari ya kila aipendaye duniani kwa nini wewe umeumia watu kuanzisha uzi wa kuipenda simba? mi nadhani either hilo neno la inferiority complex hufahamu maana yake au umelisikia sasa unataka kila sehemu ulitumie... sometimes read between the lines.
 
Badili maelezo aya kwenda kwa kingereza tukuamini
Google translate

These guys I don’t know are smoking marijuana or what? I was talking to a Kenyan about football .... Especially for east africa he did not know if I was from tanzania. He knows I am a black americano. I asked him for East Africa at the moment which teams are doing well in football.

He replied without embarrassment that for them in Kenya they have a team called lions sports club that has reached the quarter-finals of the federation ... That is the team that carries east africa in a very large way.

I asked him again what country he belonged to. He said, "I told you it happens here. Kenya has players like Onyango n.K" and I just told him this.

Tanzanians are very careful Kenya is not too late to take this team and advertise it as theirs and then we will miss out on Tourism revenue. do not sleep because the situation I see in these relatives everything good they want to be theirs
 
sasa kama simba ni fahari ya kila aipendaye duniani kwa nini wewe umeumia watu kuanzisha uzi wa kuipenda simba? mi nadhani either hilo neno la inferiority complex hufahamu maana yake au umelisikia sasa unataka kila sehemu ulitumie... sometimes read between the lines.
There's nothing to read between lines, it's vacant. Uzi ulioanzisha sio wa kuipenda Simba, bali kuzuia watu zaidi kuipenda Simba. Pengine mawasiliano yenu yalikuwa changamoto kwako, ila mimi naona watu waachiwe tu kujivunia Simba
 
Hawa jamaa sijui wanavuta bhangi au nini? Nilikuwa naongea na mkenya mmoja kuhusiana na mpira .... Hasa kwa nchi za East Africa hakujua kama natokea Tanzania. Yeye anajua mimi ni Black American.

Nikamuuliza kwa East Africa kwa sasa ni team gani zinafanya vizuri kimpira. Akajibu bila aibu kuwa kwa wao Kenya wana team inaitwa simba Sports Club imetinga robo fainali shirikisho... Hiyo ndo team inayobeba East Africa kwa kiasi kikubwa sana. Nikamuuliza tena ni ya nchi gani. Akaseama "Nimekwambia inatokea hapa kenya ina wachezaji kama akina onyango n.K" nikamwambia tu haya.

Watanzania ni kuwa makini sana Kenya hawachelewi kuichukua hii team na kuitangaza kama yao halafu sisi tukakosa mapato ya Utalii. msilale maana hali ninavyoiona kwa hawa jamaa kila kitu kizuri wanapenda kiwe chao.
Acha ujinga. Hata utani unauchukulia serious? Au akisema hivyo ndio kaihamishia Kenya? Mimi nilidhani ungefurahi kwa kuwa timu inapata attention badala yake unaleta utoto wa kulilia peremende hapa jukwaani.
 
Watuachie wawakilishi wetu wa ukweli.....waichukue Mavyura wa Jangwani (Yanga) timu isiyo na faida na nchi kimataifa. Hivi hatuwezi kufanya petition hawa viluilui kupelekwa/kuhamishiwa Kenya moja kwa moja?
Hakuna Simba bila Yanga
Hakuna Yanga bila Simba
 
Back
Top Bottom