Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
Zamani hiyo ... Kwa sasa Simba ilishatoka huko. Inaongea hbr za Kazier Chiefs,Al Ahly, Zamarek, TP Mazembe, Rs Berkane n.k haiongelei tena habari za Yanga. Nenda page ya CAF insta, Tweeter na Facebook utaelewa. Hiyo ya Hakuna Simba bila Yanga. That was then. And This is Now. Ni Yanga tunatumia kujifariji tu.Hakuna Simba bila Yanga
Hakuna Yanga bila Simba