Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
mleta thread must be a tanzanian...habari haina msingi wowote...kesho tu atakuja hapa kusema kuna mtu anayeitwa John kule Kenya kama rais wa Tanzania ilhali John wako wengi kote duniani...upumbavu mtupu...kuna NASA (National Aeronautics and Space Administration) ya Marekani....kuna NASA (National Super Alliance) chama cha kisiasa Kenya....tena kuna NASA (National Association of State Agencies)....sasa hii pia itakua habari?