Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
kudos mr president and frst lady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanasiasa asiye mfisadiNa ni mfisadi sana.. Hilo la ufisadi sikuhizi halisimamii na mwiko kulitamka..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona ufisadi ulikuwa ishu na uliulaani wakati wa JK.. Sana sana mkimlenga mamviHakuna mwanasiasa asiye mfisadi
Wakiwa wake kuna tatizo? Na hata likiwa shamba lake kuna tatizo?Usikute hapo hao Tembo ni wake yaani mali yake hapo yupo Shambani kwake tu!
Katika scandal zote za kifisadi nchi hii, alitajwa wapi? Kwenye lile kongamano la Mwembechai jina lake lilitajwa?Wa kwetu ni fisadi + mminya demokrasia + roho mbaya
Hao tembo kweli wa msituni au wa kufugwa
Huwezi kumsogelea tembo wa porini namna hii utakuwa hujipendi
Yaani hii ni ishara Uhuru yuko imara kama hawa tembo and he's relaxed cuz he's very secure in an unforgiving environment where carnivorous beasts (read political opponents)would love to grab his juicy meat a.k.a the presidency .Hapa mimi naona alitumwa na Mungu tu ,there's a lot of meaningful symbolism in this wildlife park visit.kudos mr president and frst lady
Wanyama wa porini hata wa kufugwa huwana hawana noma kama hutopiga kelele na fujo za hapa na pale yaani hata kama awe ni simba kasoro baadhi ya wanyama kama chui lakini wengine ni kuchukua tahadhari tu maana wanyama hawana dhamana sometimes hasa kama kuna mtu aiwahi kumfanyia fujo ndo akikuona anakufanyia figisu (rejea mnyama kama mbwa umpige mfano alafu kesho yake upite kwao...tegegemea kubwekewa kila sikuhao tembo vp mbona kawasogelea sana au tembo wa kuchora