Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.

Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?

Rais Ruto aliwaahidi wapiga kura wake kuwa hakutakuwa na serikali ya "nusu mkate" lakini sasa wana serikali ya "robo mkate" (Ruto, Gashagua, Raila, na nchi za magaribi).

Dunia nzima alishikwa na butwaa kumuona Ruto yuko USA anaunga mkono juhudi za Biden kule Ukraine. Aliwashirikisha wapiga kura wake? Alipewa nini?

Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.

Soma Pia: Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua
 
FB_IMG_1727641334280.jpg
 
Vitu vilivyojaa kwenye vichwa vya wa Tz
1. Diamond ana mahusiano na mwanamke gani
2. Kucomment umbea kwenye page za mange kimambi hadi mtoto wakiume aandika "Da mange"
3. Kumuita Maulidi kitenge ni usalama wa Taifa kisa anaweka Airpods maskioni.
4. Kuhamasishana maandamano kila mtu anasema yuko tayari kufa ila siku ya maandamano hatokei hata mmoja.
5. Kuwaza ngono 24/7
 
Vitu vilivyojaa kwenye vichwa vya wa Tz
1. Diamond ana mahusiano na mwanamke gani
2. Kucomment umbea kwenye page za mange kimambi hadi mtoto wakiume aandika "Da mange"
3. Kumuita Maulidi kitenge ni usalama wa Taifa kisa anaweka Airpods maskioni.
4. Kuhamasishana maandamano kila mtu anasema yuko tayari kufa ila siku ya maandamano hatokei hata mmoja.
5. Kuwaza ngono 24/7
Ukweli mtupu… ongezea! Hujasema ya simba na Yanga
 
Vitu vilivyojaa kwenye vichwa vya wa Tz
1. Diamond ana mahusiano na mwanamke gani
2. Kucomment umbea kwenye page za mange kimambi hadi mtoto wakiume aandika "Da mange"
3. Kumuita Maulidi kitenge ni usalama wa Taifa kisa anaweka Airpods maskioni.
4. Kuhamasishana maandamano kila mtu anasema yuko tayari kufa ila siku ya maandamano hatokei hata mmoja.
5. Kuwaza ngono 24/7
Kijana tajiri Afrika Yuko Tanzania, ligi namba 6 kwa ubora Afrika Iko Tanzania, ligi inayoonyeshwa mechi zote Afrika Iko Tanzania, nchi yenye kiasi kikubwa cha gesi Africa ni Tanzania, nchi yenye reli ya umeme Africa ni Tanzania. Nchi yenye Rais mwanamke Africa ni Tanzania pekee. Nchi yenye Rais ambae sio mwizi Africa ni Tanzania.
 
Kijana tajiri Afrika Yuko Tanzania, ligi namba 6 kwa ubora Afrika Iko Tanzania, ligi inayoonyeshwa mechi zote Afrika Iko Tanzania, nchi yenye kiasi kikubwa cha gesi Africa ni Tanzania, nchi yenye reli ya umeme Africa ni Tanzania. Nchi yenye Rais mwanamke Africa ni Tanzania pekee. Nchi yenye Rais ambae sio mwizi Africa ni Tanzania.
Ndo ulivyodanganywa kuwa nchi yenye treni ya umeme Africa ni Tanzania pekee?
Morocco umewahi kufika?, Nigeria je? , South Africa je? Algeria ?, Tunisia?

Hizo zote zina treni za umeme kabla hata Tz hamjaota ndoto ya kuwa nayo
 
Back
Top Bottom