The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Sio kwa Chura kiziwi.Haiwezekani Asirani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Nchi gani Afrika kusini mwa jangwa la Sahara ina nafuu kiuchumi? Tatizo letu sio ukosefu wa demokrasia bali neo-colonialism. Kenya inanyonywa na wazungu vibaya sana.
Nchi imechoka balaa sana hii, tuuseme ukweli bila kufichana , mwijaku anavyofanya ni picha tosha ya nchi hii tulivyo
Kama tuna reli ya umeme na barabara za mabasi ya haraka kama nchi za magharibi tutashindwa nn kuwa na satellite yetu? Kenya wanavyo?
Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Kijana tajiri Afrika Yuko Tanzania, ligi namba 6 kwa ubora Afrika Iko Tanzania, ligi inayoonyeshwa mechi zote Afrika Iko Tanzania, nchi yenye kiasi kikubwa cha gesi Africa ni Tanzania, nchi yenye reli ya umeme Africa ni Tanzania. Nchi yenye Rais mwanamke Africa ni Tanzania pekee. Nchi yenye Rais ambae sio mwizi Africa ni Tanzania.
Nchi gani Afrika kusini mwa jangwa la Sahara ina nafuu kiuchumi? Tatizo letu sio ukosefu wa demokrasia bali neo-colonialism. Kenya inanyonywa na wazungu vibaya sana.
Halafu sasa ndiyo imezidi. Rais wao anapokea maelekezo live ya kuongoza nchi ya Kenya kutoka USA.
Fuatilia sababu nyingine ya gen z kugoma. Pia safari ya Ruto usa alipewa kazi gani, ambayo mpaka au wakashangaa kwamba huyu mwenzetu kapatwa na nini!!!?Punguza uongo. Kenya Ina institutions sio kama Tanzania. Ndio maana raia waligomea Muswada wa Bajeti na haukupita. Sio Tanzania hakuna hata anayejua Muswada wa Bajeti ukurasa wa kwanza unasemaje.
Chawa kazini
Chakademuz wanakuelewa lakini?
Tatizo wabongo wamekalia kujidharau na kujiona duni kila kukicha😎😁Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Wanaotekwa wanajua kosa lao. Mbona wewe hukutekwa?
Kenya tushazirusha satellite kitambo sana. Kwani Tanzania bado hamjafaulu?
Kwahiyo exchange rate kubwa ndo nn? Exchange rate ndogo inavutia watalii na wawekezaji wengi sana.
CAG wao aliwahi sema KQ haina ndege. Ndege zote ni za kukodi. Lakini cha kushangaza ni kuwa anayelipwa rental fees hajulikani.
😛