Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Labda satelaiti ya uchawaDemokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.