Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

some of these did it for just one thing only, security purposes. Nakumbuka wakoloni walitukataza Tanzania tusiwe na radars za kuiona nchi yetu yote. Tulikuwa tunatumia radars walizoweka Kenya hata katika kuongoza ndege zetu kwenye viwanja vya ndege vikuu. Hii ilikuwa inawasaidia kuingia kwetu bila kuonekana hadi pale magufuli alipokataa kuendelea na upunzi ule waliotumia kuwinda wanyama wetu kule Selous bila sisi wenyewe kujua. Leo hii tuna uwezo wa kuiona nchi yetu yoooote kwa rada zetu.

Kenya bado sana, msikilize huyu jamaa

View: https://www.youtube.com/watch?v=NrEXQfi-d8M

Hili linahusikana aje na post yangu? Unakaa mtu mwenye hasira na chuki kuhusu Kenya. Nimekueleza kwamba already tunazo satellite tatu angani. Unabisha?
 
NCHI ZA KIAFRIKA ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA SATTELITE NYINGI NDANI YA AFRICA.
Hizi Rank zilitolewa na SpaceHubs Africa mnamo tarehe 19/08/2024. Spacehubs Africa walitoa list hiyo siku hiyo ukizingatia siku tatu nyuma yani tarehe 16/08/2024 ndio ilikuwa siku ambayo nchi ya SENEGAL ndio ilikuwa nchi latest(nchi ya mwisho hivi karibuni) kulaunch Sattelite yao ya kwanza tangu kuwepo kwa Taifa hilo huko juu kwenye space ambayo waliita GAINDESAT-1A.

Mpaka kufikia taarifa hizi zinachapishwa tarehe na mwaka huo, ni takribani Sattelite 61 zimesharushwa kutoka kwa nchi za Kiafrika 17. And also 10 of those 52 sattelites were launched by Commercial Entities.

Katika hizi Rank, kushoto ni namba, itafuata Nchi na idadi ya Sattelite walizo launch kwenda kulia. Tuanze.

01. South Africa - 13
02. Egypt - 13
03. Nigeria - 7
04. Algeria - 6
05. Morocco - 3
06. Kenya - 3
07. Angola - 2
08. Ethiopia - 2
09. Rwanda - 2
10. Djibout - 1
11. Ghana - 1
12. Mauritius - 1
13. Senegal - 1
14. Sudan - 1
15. Tunisia - 1
16. Uganda - 1
17. Zimbabwe - 1
Extra: Pan-African - 2

Source: SPACEHUBS AFRICA
Website: spacehubs.africa
Link: List of African countries with satellites — SPACEHUBS AFRICA

Na hizo nchi zina Mashirika yake ya ndani ya Nchi zao ya kudeal na anga(Space Agency) na mengine wamechanganya anga na Sayansi kwa ujumla.

Zipo Space Agency Kongwe zilizoanzishwa tangu 90's na Nchi zingine ziliamua kubadilisha majina ya Space agency zao. Zipo tarehe rasmi zinazoonyesha zilianzishwa mwaka gani na gani.

Sisi Tz bado hata hiyo Space Agency tangu tupate uhuru mwaka 61 hata hatujaianzisha hadi sasa itakayodeal na Maswala ya Anga.

Aidha mnamo tarehe 18/05/2023 Rais Mama Samia Suluhu Hassan alisema Tanzania ina mpango wa kusuka Sattelite yake na kuirusha pia kuanzisha Space Agency yake. Pia mwaka huo huo 2023 tulimsikia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Nape Nnauye(Mb) akisema ya kuwa Serikali imeazimia kuanzisha Shirika lake la Anga la Tanzania(Space Agency) kwa mwaka 2023,2024 au 2025 ili na sisi tuweze kurusha Sattelite. Ndio tunaendelea kusubiri, Ukizingatia sasa hivi Nape hayupo katika hiyo Wizara kwani ametenguliwa.

Angalia

View: https://youtu.be/c1MWeQd88WQ?si=1bph4SfO0EfE80e8

Pia tazama

View: https://youtu.be/20LWjJuLLZ8?si=qIE5oZAVNlJmebsf

Mnamo miaka ya 1970's na 1990's katika zile vita baridi kati ya Umoja wa Kisovieti(USSR) na USA, miongoni mwa vitu walivyokuwa wakitambiana na kushindana ni kwenye mambo ya Anga pia. Walikuwa wakishindana kwenda kweny Space na kwenye mwezi pia.

Katika kipindi hicho nchi nyingi za Africa zilikuwa hazifungamani na upande wowote ule na pia zilikuwepo nchi chache zilizojipambanua kwa kuchagua upande either USA au USSR.

Katika kipindi hicho Nchi kadhaa za Africa zikaweka ndoto na wao waanzishe Space Agency zao hata kama walikuwa hawana Teknolojia kubwa. Sasa sijui sisi Tz tulikuwa tumelala wapi katika kipindi hicho, ukizingatia nNchi nyingi za Kiafrika hali zetu za Uchumi GDP zinafanana tu. Ukweli ni kwamba katika anga Tz bado tuko nyuma, ila tutakuja tu kua mbele iko siku.

Ila ninaiombea Nchi yangu Tanzania tufike tunapopakusudia katika hizi medani za Anga na Kwa uweza wa Mungu tutafika huko. Amen.
 
NCHI ZA KIAFRIKA ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA SATTELITE NYINGI NDANI YA AFRICA.
Hizi Rank zilitolewa na SpaceHubs Africa mnamo tarehe 19/08/2024. Spacehubs Africa walitoa list hiyo siku hiyo ukizingatia siku tatu nyuma yani tarehe 16/08/2024 ndio ilikuwa siku ambayo nchi ya SENEGAL ndio ilikuwa nchi latest(nchi ya mwisho hivi karibuni) kulaunch Sattelite yao ya kwanza tangu kuwepo kwa Taifa hilo huko juu kwenye space ambayo waliita GAINDESAT-1A.

Mpaka kufikia taarifa hizi zinachapishwa tarehe na mwaka huo, ni takribani Sattelite 61 zimesharushwa kutoka kwa nchi za Kiafrika 17. And also 10 of those 52 sattelites were launched by Commercial Entities.

Katika hizi Rank, kushoto ni namba, itafuata Nchi na idadi ya Sattelite walizo launch kwenda kulia. Tuanze.

01. South Africa - 13
02. Egypt - 13
03. Nigeria - 7
04. Algeria - 6
05. Morocco - 3
06. Kenya - 3
07. Angola - 2
08. Ethiopia - 2
09. Rwanda - 2
10. Djibout - 1
11. Ghana - 1
12. Mauritius - 1
13. Senegal - 1
14. Sudan - 1
15. Tunisia - 1
16. Uganda - 1
17. Zimbabwe - 1
Extra: Pan-African - 2

Source: SPACEHUBS AFRICA
Website: spacehubs.africa
Link: List of African countries with satellites — SPACEHUBS AFRICA

Na hizo nchi zina Mashirika yake ya ndani ya Nchi zao ya kudeal na anga(Space Agency) na mengine wamechanganya anga na Sayansi kwa ujumla.

Zipo Space Agency Kongwe zilizoanzishwa tangu 90's na Nchi zingine ziliamua kubadilisha majina ya Space agency zao. Zipo tarehe rasmi zinazoonyesha zilianzishwa mwaka gani na gani.

Sisi Tz bado hata hiyo Space Agency tangu tupate uhuru mwaka 61 hata hatujaianzisha hadi sasa itakayodeal na Maswala ya Anga.

Aidha mnamo tarehe 18/05/2023 Rais Mama Samia Suluhu Hassan alisema Tanzania ina mpango wa kusuka Sattelite yake na kuirusha pia kuanzisha Space Agency yake. Pia mwaka huo huo 2023 tulimsikia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Nape Nnauye(Mb) akisema ya kuwa Serikali imeazimia kuanzisha Shirika lake la Anga la Tanzania(Space Agency) kwa mwaka 2023,2024 au 2025 ili na sisi tuweze kurusha Sattelite. Ndio tunaendelea kusubiri, Ukizingatia sasa hivi Nape hayupo katika hiyo Wizara kwani ametenguliwa.

Angalia

View: https://youtu.be/c1MWeQd88WQ?si=1bph4SfO0EfE80e8

Pia tazama

View: https://youtu.be/20LWjJuLLZ8?si=qIE5oZAVNlJmebsf

Mnamo miaka ya 1970's na 1990's katika zile vita baridi kati ya Umoja wa Kisovieti(USSR) na USA, miongoni mwa vitu walivyokuwa wakitambiana na kushindana ni kwenye mambo ya Anga pia. Walikuwa wakishindana kwenda kweny Space na kwenye mwezi pia.

Katika kipindi hicho nchi nyingi za Africa zilikuwa hazifungamani na upande wowote ule na pia zilikuwepo nchi chache zilizojipambanua kwa kuchagua upande either USA au USSR.

Katika kipindi hicho Nchi kadhaa za Africa zikaweka ndoto na wao waanzishe Space Agency zao hata kama walikuwa hawana Teknolojia kubwa. Sasa sijui sisi Tz tulikuwa tumelala wapi katika kipindi hicho, ukizingatia nNchi nyingi za Kiafrika hali zetu za Uchumi GDP zinafanana tu. Ukweli ni kwamba katika anga Tz bado tuko nyuma, ila tutakuja tu kua mbele iko siku.

Ila ninaiombea Nchi yangu Tanzania tufike tunapopakusudia katika hizi medani za Anga na Kwa uweza wa Mungu tutafika huko. Amen.

Nimekwambia Kenya kama walirusha satellite walifanya hivyo kimakosa kabisa, maana muda wa kufanya hivyo ulikuwa haujafika. Kenya Wana kazi ya kuondoa slams kubwa pale Kibera na mathare pale katikati ya mji wa Nairobi, kumaliza ukabila na umaskini uliokothiri kabla ya kuwaza satellite.

Hebu ona hapa.

View: https://youtu.be/4PmCimD1MMc?si=8knx3WZwngP_WAS9
 
Nimekwambia Kenya kama walirusha satellite walifanya hivyo kimakosa kabisa, maana muda wa kufanya hivyo ulikuwa haujafika. Kenya Wana kazi ya kuondoa slams kubwa pale Kibera na mathare pale katikati ya mji wa Nairobi, kumaliza ukabila na umaskini uliokothiri kabla ya kuwaza satellite.

Hebu ona hapa.

View: https://youtu.be/4PmCimD1MMc?si=8knx3WZwngP_WAS9

South Africa Mpaka leo kuna slums nyingi tu huko soweto na umaskini upo kwa watu wao weusi, lakini hsijawazuia kufanya maendeleo Mengine mengi tu, likiwemo hili la kuwa na Sattelite 13.

Nchi nyingi za Kiafrika zina Maslums na umasikini kama Uganda na Zimbabwe lakini Maendeleo mengine wamefanya kama barabara na miradi mingine. Na pia wana hizo Sattelite moja moja.

Kusema Kenya wasifanye harakati zingine za kimaendeleo kwa kisingizio cha Kumaliza Slums za hapo Nairobi, kuondoa ukabila na umasikini basi wangechelewa sana kuwa na Maendeleo. Vitu kama hivyo vinasolviwa taratibu huku maendeleo mengine yakifanyika likiwemo hilo la Sattelite.

Ukweli ni kwamba Slums haxikosekani katika Nchi nyingi za kiafrika, hata kwetu hapa zipo pia, lakini haijatuzuia Kufanya maendeleo Mengine ya kama kuwa na SGR, Bwawa la Umeme, Mabarabara, Ndege na N.k.
 
South Africa Mpaka leo kuna slums nyingi tu huko soweto na umaskini upo kwa watu wao weusi, lakini hsijawazuia kufanya maendeleo Mengine mengi tu, likiwemo hili la kuwa na Sattelite 13.

Nchi nyingi za Kiafrika zina Maslums na umasikini kama Uganda na Zimbabwe lakini Maendeleo mengine wamefanya kama barabara na miradi mingine. Na pia wana hizo Sattelite moja moja.

Kusema Kenya wasifanye harakati zingine za kimaendeleo kwa kisingizio cha Kumaliza Slums za hapo Nairobi, kuondoa ukabila na umasikini basi wangechelewa sana kuwa na Maendeleo. Vitu kama hivyo vinasolviwa taratibu huku maendeleo mengine yakifanyika likiwemo hilo la Sattelite.

Ukweli ni kwamba Slums haxikosekani katika Nchi nyingi za kiafrika, hata kwetu hapa zipo pia, lakini haijatuzuia Kufanya maendeleo Mengine ya kama kuwa na SGR, Bwawa la Umeme, Mabarabara, Ndege na N.k.
Vipaumbele vya kulazimishwa na wageni kwaajili yao ambavyo havilingani na vipaumbele vya wazawa. Kama umewahi kuishi South Africa utajua TU kuwa Uhuru kule ni bado kabisa. Kila kitu Bado wanacho watesi wao viileviile. Uhuru wa bendera
 
Vipaumbele vya kulazimishwa na wageni kwaajili yao ambavyo havilingani na vipaumbele vya wazawa. Kama umewahi kuishi South Africa utajua TU kuwa Uhuru kule ni bado kabisa. Kila kitu Bado wanacho watesi wao viileviile. Uhuru wa bendera
Kama ni Uhuru wa Bendera upo katika Africa Nzima. Takribani Nchi zote maana kila kitu tunapangiwa chakufanya.
 
Kama ni Uhuru wa Bendera upo katika Africa Nzima. Takribani Nchi zote maana kila kitu tunapangiwa chakufanya.
Hapo tuko pamoja, lakini level ya kupangiwa inatofaitiana kati ya nchi na nchi. Zipo nchi za Afrika ambazo vijana wao wenye akili na nguvu na maarifa makubwa hawako nchini mwao. Hawafanyi kazi kwenye mataifa yao, wameibiwa, wametekwa, wameporwa na nchi za magharibi na kuwabakishia makapi TU kwenye mataifa yao.
 
Unauhakika na hili au story za vijiweni?
Kenya, Zaire na Malawi ndizo nchi ambazo zilikuwa upande wa wazungu wakati nchi nyingine zikihangaika na ukombozi wa nchi za kusini mwa Africa kama South Africa, Angola, msumbiji, Namibia na Zimbabwe. Kamuzu Banda, Jomo Kenyatta na Mobutu walikuwa upande wa walowezi na wakoloni kwa kupenda au kwa kulazimishwa.
 
Wacha waendelee kutifuana, sisi tunamalizia kipande cha mwisho cha reli ya kisasa kufika Mwanza. Nasikia wamehamia Milimani court. Wakoloni ni watu wabaya sana, walipora rasilimali zetu bila haki wala demokrasia lakini sasa wanatulazimisha tuwe na haki na demokrasia ili tuendelee kutifuana. Wakati tunatifuana wao wanaendelea kusomba rasilimali (mali, nguvukazi na muda) zetu kupeleka kwao. Kwaasili sisi hatuna haki wala demokrasia kuanzia kwenye familia zetu. Baba atachapa bakora kila mtu akiwemo mkewe, hata watoto wakilia wamepigwa wanalazimishwa kunyamaza wasilie. Mwanaume atakwenda kuoa mke mwingine hata kama mkewe hataki. Hatuna demokrasia kwenye grassroots haiwezekana demokrasia ijengwe kwenye ngazi ya Ikulu; ni porojo tu.
 
Walijiweka rock down sisi tunaingia shambani ila ajabu pesa Yao inazidi kuimarika dhidi ya dollar ya USA
Hata hujui kitu, hela yao kuwa juu dhidi ya US dollar inaumiza wananchi ambao hawana kitu cha kuuza wala ajira. Kila kitu ni cha mzungu ndio maana hela iko juu. Maisha ya wananchi ni mabaya ghali sana, ndiyo maana migomo ya wafanyakazi haiishi kila siku. Tanzania kila kitu kiko chini kwakuwa kinazalishwa hapahapa. Tunazalisha vyakula (nafaka, matunda, mboga, mikunde, sukari, mbegu za mafuta, bia) vyetu sisi wenyewe.

Vitu vya mzungu havishuki bei wewe
 
Hata hujui kitu, hela yao kuwa juu dhidi ya US dollar inaumiza wananchi ambao hawana kitu cha kuuza wala ajira. Kila kitu ni cha mzungu ndio maana hela iko juu. Maisha ya wananchi ni mabaya ghali sana, ndiyo maana migomo ya wafanyakazi haiishi kila siku. Tanzania kila kitu kiko chini kwakuwa kinazalishwa hapahapa. Tunazalisha vyakula (nafaka, matunda, mboga, mikunde, sukari, mbegu za mafuta, bia) vyetu sisi wenyewe.

Vitu vya mzungu havishuki bei wewe
"Tanzania kila kitu kiko chini kwakuwa kinazalishwa hapahapa. Tunazalisha vyakula (nafaka, matunda, mboga, mikunde, sukari, mbegu za mafuta, bia) vyetu sisi wenyewe."

Hopo uliandika ukiwa mzima au umevuta bangi mbichi?
 
"Tanzania kila kitu kiko chini kwakuwa kinazalishwa hapahapa. Tunazalisha vyakula (nafaka, matunda, mboga, mikunde, sukari, mbegu za mafuta, bia) vyetu sisi wenyewe."

Hopo uliandika ukiwa mzima au umevuta bangi mbichi?
what is wrong with my statement?
 
what is wrong with my statement?
You are so foolish, you've even forgotten that we still import things like sugar, cooking oil, fish, wheat—all of it we import from outside, and we pay for it with foreign currency!
 
You are so foolish, you've even forgotten that we still import things like sugar, cooking oil, fish, wheat—all of it we import from outside, and we pay for it with foreign currency!
stupid!! we import foods just just filling the gap on our own produces, but this is just 5-10%. Our main foods are maize, rice and beans, the rest are just snacks. We have abundant sugar except on occasions of heavy rains. We have a lot of sunflower cooking oil to satisfy 70% of the demand.

Fellow Kenyans are busy with good English, the colonial language to discuss very important country affairs to please their Lord Wests. Ridiculous!!!
 
Vitu vilivyojaa kwenye vichwa vya wa Tz
1. Diamond ana mahusiano na mwanamke gani
2. Kucomment umbea kwenye page za mange kimambi hadi mtoto wakiume aandika "Da mange"
3. Kumuita Maulidi kitenge ni usalama wa Taifa kisa anaweka Airpods maskioni.
4. Kuhamasishana maandamano kila mtu anasema yuko tayari kufa ila siku ya maandamano hatokei hata mmoja.
5. Kuwaza ngono 24/7
Hivi wanaoweka earpods masikioni siku nzima hawaumwi na masikio??
 
NCHI ZA KIAFRIKA ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA SATTELITE NYINGI NDANI YA AFRICA.
Hizi Rank zilitolewa na SpaceHubs Africa mnamo tarehe 19/08/2024. Spacehubs Africa walitoa list hiyo siku hiyo ukizingatia siku tatu nyuma yani tarehe 16/08/2024 ndio ilikuwa siku ambayo nchi ya SENEGAL ndio ilikuwa nchi latest(nchi ya mwisho hivi karibuni) kulaunch Sattelite yao ya kwanza tangu kuwepo kwa Taifa hilo huko juu kwenye space ambayo waliita GAINDESAT-1A.

Mpaka kufikia taarifa hizi zinachapishwa tarehe na mwaka huo, ni takribani Sattelite 61 zimesharushwa kutoka kwa nchi za Kiafrika 17. And also 10 of those 52 sattelites were launched by Commercial Entities.

Katika hizi Rank, kushoto ni namba, itafuata Nchi na idadi ya Sattelite walizo launch kwenda kulia. Tuanze.

01. South Africa - 13
02. Egypt - 13
03. Nigeria - 7
04. Algeria - 6
05. Morocco - 3
06. Kenya - 3
07. Angola - 2
08. Ethiopia - 2
09. Rwanda - 2
10. Djibout - 1
11. Ghana - 1
12. Mauritius - 1
13. Senegal - 1
14. Sudan - 1
15. Tunisia - 1
16. Uganda - 1
17. Zimbabwe - 1
Extra: Pan-African - 2

Source: SPACEHUBS AFRICA
Website: spacehubs.africa
Link: List of African countries with satellites — SPACEHUBS AFRICA

Na hizo nchi zina Mashirika yake ya ndani ya Nchi zao ya kudeal na anga(Space Agency) na mengine wamechanganya anga na Sayansi kwa ujumla.

Zipo Space Agency Kongwe zilizoanzishwa tangu 90's na Nchi zingine ziliamua kubadilisha majina ya Space agency zao. Zipo tarehe rasmi zinazoonyesha zilianzishwa mwaka gani na gani.

Sisi Tz bado hata hiyo Space Agency tangu tupate uhuru mwaka 61 hata hatujaianzisha hadi sasa itakayodeal na Maswala ya Anga.

Aidha mnamo tarehe 18/05/2023 Rais Mama Samia Suluhu Hassan alisema Tanzania ina mpango wa kusuka Sattelite yake na kuirusha pia kuanzisha Space Agency yake. Pia mwaka huo huo 2023 tulimsikia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Nape Nnauye(Mb) akisema ya kuwa Serikali imeazimia kuanzisha Shirika lake la Anga la Tanzania(Space Agency) kwa mwaka 2023,2024 au 2025 ili na sisi tuweze kurusha Sattelite. Ndio tunaendelea kusubiri, Ukizingatia sasa hivi Nape hayupo katika hiyo Wizara kwani ametenguliwa.

Angalia

View: https://youtu.be/c1MWeQd88WQ?si=1bph4SfO0EfE80e8

Pia tazama

View: https://youtu.be/20LWjJuLLZ8?si=qIE5oZAVNlJmebsf

Mnamo miaka ya 1970's na 1990's katika zile vita baridi kati ya Umoja wa Kisovieti(USSR) na USA, miongoni mwa vitu walivyokuwa wakitambiana na kushindana ni kwenye mambo ya Anga pia. Walikuwa wakishindana kwenda kweny Space na kwenye mwezi pia.

Katika kipindi hicho nchi nyingi za Africa zilikuwa hazifungamani na upande wowote ule na pia zilikuwepo nchi chache zilizojipambanua kwa kuchagua upande either USA au USSR.

Katika kipindi hicho Nchi kadhaa za Africa zikaweka ndoto na wao waanzishe Space Agency zao hata kama walikuwa hawana Teknolojia kubwa. Sasa sijui sisi Tz tulikuwa tumelala wapi katika kipindi hicho, ukizingatia nNchi nyingi za Kiafrika hali zetu za Uchumi GDP zinafanana tu. Ukweli ni kwamba katika anga Tz bado tuko nyuma, ila tutakuja tu kua mbele iko siku.

Ila ninaiombea Nchi yangu Tanzania tufike tunapopakusudia katika hizi medani za Anga na Kwa uweza wa Mungu tutafika huko. Amen.

Hizo satellite za Kenya ni kwaajili ya usalama wa wageni na mitaji yao. Kenya inaandamwa na "Magaidi" wa Somalia kwasababu ya kugandamana na Marekani na Magharibi. Kenya ina vitagauchumi vingi vya nchi za Magaribi; kuna wazungu wengi, hivyo lazima wawe na uhakika wa hali ya hewa na movements za adui. Lakini hizi satellite hazina maana kabisa kwa maisha halisi ya Wakenya wenyewe.
 
Back
Top Bottom