Kenya waliiga architectural features za Tanzania parliament

Kenya waliiga architectural features za Tanzania parliament

hvi humo mjengoni kila mtu ana seat yake ambayo anakaa kila sku au mbunge anajiamulia tu pakukaa kwamba Leo nitakaa hapa na kesho pale?
 
View attachment 578908 Yeah of course parliament is the powerful pillar kama nyenzo muhimu ya representative democracy, Tanzania ndio nchi ya kwanza katika region kuwa na ukumbi wa bunge wa kisasa zaidi View attachment 578898

Na ni kati ya kumbi chache za bunge Africa zilizo katika technology ya kisasa, View attachment 578899
Kenya walipanua ukumbi wao wa bunge baada ya katiba mpya 2010 baada ya kuongeza viti vingi vya wawakilishi jambo lililopelekea ukumbi wa zamani kushindwa kuendelea na jukumu lake la awali, View attachment 578901

Walijenga ukumbi ukakanilika miaka ya juzi juzi (Kwa mamilioni ya dollar kama kawaida yao kapigwa refer SGR) tu lakini ukijaribu kuangalia utajua kuna baadhi ya features zinafanana na ukumbi wa Tanzania kama mpangilio wa rangi za bendera kwenye floor, taa za kwenye floors, sitting plan, design ya viti na rangi zake na mengine mengi. View attachment 578900

Japo bado ukumbi wa Dodoma unasalia kuwa the best in the region.
Redeemer mbona umenyamaza hivyo? Hatutakuona hadi next week sio? Hahaha
 
Sio kubishana mkeiii this is a critical factor kufanana kwa hizo features sio coincidence so that's news
Inaamana huna taarifa kama kenya ilituma wataalam kuja kuchukua ramani ya bunge la Tanzania wakajenge kwao???? Hii ilikuwa enzi za Kikwete,,, ka gogle hiyo taarifa utaipata,, hadi kwenye Tv walitangaza
 
Na sio bunge tu. Bro, hama nchi bana. Iko too dominated by Kenyans. Ati mpaka TPA?

Karibu kila nyanja muhimu ya nchi yenyu wakenya wapo, wamehusika. Mta-do?
Niko mwanza Leo hii nmekua Msoma na place inaitwa Panda ....everything is Kenyan all the big hotels in mwanza kwanza smh


The largest cow Owner in Msoma is A Kenyan Of Kuria origin FYI tanzania has more Kurias than Kenya but still [emoji23][emoji23][emoji23].....nimeshangaa na hii ka inchi yao..they keep saying venye walikuja kenya ndio waliona "poverty" but kwa border Tanzanian Farm Labour is cheaper than Kenyan labour .....wakuria side ya Kenya walikataa 300 for 5hrs tukaleta waTZ 200 FOR 150/- per hour [emoji23][emoji23][emoji23] tumeweka mpaka Managers na lunch yao hapo ndani ....i wish i could transport this Tanzanian labour to Nakuru......alafu they dont want to take tanzanian money tumewauliza tutapata forex wapi ndio tuwalipe wakazusha wote "Hapana tupee ilivyo" [emoji23][emoji23][emoji23] my fren people in JF talk too much

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafuu waige na ubora pia. maana hawa majirani hawajambo kwa kujenga majengo mabovu. zaidi ya 50% ya majengo ni unfit for human habitation.
 
Niko mwanza Leo hii nmekua Msoma na place inaitwa Panda ....everything is Kenyan all the big hotels in mwanza kwanza smh


The largest cow Owner in Msoma is A Kenyan Of Kuria origin FYI tanzania has more Kurias than Kenya but still [emoji23][emoji23][emoji23].....nimeshangaa na hii ka inchi yao..they keep saying venye walikuja kenya ndio waliona "poverty" but kwa border Tanzanian Farm Labour is cheaper than Kenyan labour .....wakuria side ya Kenya walikataa 300 for 5hrs tukaleta waTZ 200 FOR 150/- per hour [emoji23][emoji23][emoji23] tumeweka mpaka Managers na lunch yao hapo ndani ....i wish i could transport this Tanzanian labour to Nakuru......alafu they dont want to take tanzanian money tumewauliza tutapata forex wapi ndio tuwalipe wakazusha wote "Hapana tupee ilivyo" [emoji23][emoji23][emoji23] my fren people in JF talk too much

Sent using Jamii Forums mobile app
maybe im less informed...
hizo hotel kubwa mwanza zinazomilikiwa na wakenya ni zipi ????......

malaika ,gold crest ,jb ,tilapia, ryans ba Y ,masama nene au hii rock city inayojengwa ......

kuna sekta ipi mwanza imeshikwa na wakenya ????.....

ingekuwa ni wahindi na watu wa lake zone of TZ isingekuwa ni habari... hebu nijuze zaidi
 
View attachment 578908 Yeah of course parliament is the powerful pillar kama nyenzo muhimu ya representative democracy, Tanzania ndio nchi ya kwanza katika region kuwa na ukumbi wa bunge wa kisasa zaidi View attachment 578898

Na ni kati ya kumbi chache za bunge Africa zilizo katika technology ya kisasa, View attachment 578899
Kenya walipanua ukumbi wao wa bunge baada ya katiba mpya 2010 baada ya kuongeza viti vingi vya wawakilishi jambo lililopelekea ukumbi wa zamani kushindwa kuendelea na jukumu lake la awali, View attachment 578901

Walijenga ukumbi ukakanilika miaka ya juzi juzi (Kwa mamilioni ya dollar kama kawaida yao kapigwa refer SGR) tu lakini ukijaribu kuangalia utajua kuna baadhi ya features zinafanana na ukumbi wa Tanzania kama mpangilio wa rangi za bendera kwenye floor, taa za kwenye floors, sitting plan, design ya viti na rangi zake na mengine mengi. View attachment 578900

Japo bado ukumbi wa Dodoma unasalia kuwa the best in the region.
Tuwache kujidanganya sababu Egypian parliment ,Cameroon ,Zambia ,India ,Peru na zinginezo ziko sitting plan hiyi hiyo na pia bendera zao.Sasa wale pia waliiga mfano wa Tanzania pia?
 
Niko mwanza Leo hii nmekua Msoma na place inaitwa Panda ....everything is Kenyan all the big hotels in mwanza kwanza smh


The largest cow Owner in Msoma is A Kenyan Of Kuria origin FYI tanzania has more Kurias than Kenya but still [emoji23][emoji23][emoji23].....nimeshangaa na hii ka inchi yao..they keep saying venye walikuja kenya ndio waliona "poverty" but kwa border Tanzanian Farm Labour is cheaper than Kenyan labour .....wakuria side ya Kenya walikataa 300 for 5hrs tukaleta waTZ 200 FOR 150/- per hour [emoji23][emoji23][emoji23] tumeweka mpaka Managers na lunch yao hapo ndani ....i wish i could transport this Tanzanian labour to Nakuru......alafu they dont want to take tanzanian money tumewauliza tutapata forex wapi ndio tuwalipe wakazusha wote "Hapana tupee ilivyo" [emoji23][emoji23][emoji23] my fren people in JF talk too much

Sent using Jamii Forums mobile app

He he heeee sam you talk too much too! Usifikiri Musoma ndio tz inaishia hapo! Hapo ndo umeanza tz!

Halafu nini tatizo khs mkenya kuwa na mifugo mingi? Hv kila siku tukisema tz tukiwafukuza wakenya watoke huku mtalia sana, unafikiri tunatania?


BTW, kesho me pia ntakuwa mwanza kwa masaa machache, ningekuwa na muda ningekutafuta tukamsalim huyo mkenya mwenye mifugo mingi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Niko mwanza Leo hii nmekua Msoma na place inaitwa Panda ....everything is Kenyan all the big hotels in mwanza kwanza smh


The largest cow Owner in Msoma is A Kenyan Of Kuria origin FYI tanzania has more Kurias than Kenya but still [emoji23][emoji23][emoji23].....nimeshangaa na hii ka inchi yao..they keep saying venye walikuja kenya ndio waliona "poverty" but kwa border Tanzanian Farm Labour is cheaper than Kenyan labour .....wakuria side ya Kenya walikataa 300 for 5hrs tukaleta waTZ 200 FOR 150/- per hour [emoji23][emoji23][emoji23] tumeweka mpaka Managers na lunch yao hapo ndani ....i wish i could transport this Tanzanian labour to Nakuru......alafu they dont want to take tanzanian money tumewauliza tutapata forex wapi ndio tuwalipe wakazusha wote "Hapana tupee ilivyo" [emoji23][emoji23][emoji23] my fren people in JF talk too much

Sent using Jamii Forums mobile app
Ati nn? Kuryas in Tanzania r Kenyans? Peleka matako yako Kenya na angalia wasikuskie ulisema hivyo maana watakufanya asasu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He he heeee sam you talk too much too! Usifikiri Musoma ndio tz inaishia hapo! Hapo ndo umeanza tz!

Halafu nini tatizo khs mkenya kuwa na mifugo mingi? Hv kila siku tukisema tz tukiwafukuza wakenya watoke huku mtalia sana, unafikiri tunatania?


BTW, kesho me pia ntakuwa mwanza kwa masaa machache, ningekuwa na muda ningekutafuta tukamsalim huyo mkenya mwenye mifugo mingi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Achana na huyo jamaa anafikiri wakuria ni wakenya tu hahaha kumbe wakuria ni watanzania tena wengi tu na pia wana hotels na biashara Mwanza

(wabunge Ester Bulaya, John Heche, Julius Mtatiro, Mayor wa Dar, Ester Matiko, Marwa na viongozi dozens waliopo serikalini ni wakenya hahaha)

Sasa amefika Mwanza anauliza hii hotel ni ya nani akijibiwa ni ya mkurya anapigia mstari ni ya mkenya

Kama ikiwa ndio hivyo basi na kwenye familia yangu wapo wakenya wengi sana.
 
Niko mwanza Leo hii nmekua Msoma na place inaitwa Panda ....everything is Kenyan all the big hotels in mwanza kwanza smh


The largest cow Owner in Msoma is A Kenyan Of Kuria origin FYI tanzania has more Kurias than Kenya but still [emoji23][emoji23][emoji23].....nimeshangaa na hii ka inchi yao..they keep saying venye walikuja kenya ndio waliona "poverty" but kwa border Tanzanian Farm Labour is cheaper than Kenyan labour .....wakuria side ya Kenya walikataa 300 for 5hrs tukaleta waTZ 200 FOR 150/- per hour [emoji23][emoji23][emoji23] tumeweka mpaka Managers na lunch yao hapo ndani ....i wish i could transport this Tanzanian labour to Nakuru......alafu they dont want to take tanzanian money tumewauliza tutapata forex wapi ndio tuwalipe wakazusha wote "Hapana tupee ilivyo" [emoji23][emoji23][emoji23] my fren people in JF talk too much

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyinyi wengi in vibarua wa wasomali

Msifikiri. Kuwa mwawezajitegemea 100%



dhuluma na uhasidi ndio chanzo cha umasikini
 
Tuwache kujidanganya sababu Egypian parliment ,Cameroon ,Zambia ,India ,Peru na zinginezo ziko sitting plan hiyi hiyo na pia bendera zao.Sasa wale pia waliiga mfano wa Tanzania pia?
Ndio waliiga



dhuluma na uhasidi ndio chanzo cha umasikini
 
Back
Top Bottom