johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tatizo kwa akina Lucas watendaji na kila mtu anasubiria upepo wa mkazi wa Ikulu.Kiukweli nchi Jirani wametisha sana huwezi amini kama Wana mgogoro mkubwa wa kisiasa nchini mwao
Kwako MwanaFA πππ
Mlale Unono
Ajabu na kweli!Taifa Stars ilienda AFCON , eti Mama Abdul na machawa wake wanatumia saa 1 nzima kuongea na wachezaji kwenye simu.
Mechi ya kwanza tu wakachapwa 3-0 na timu ikaondoka bila kushinda mechi hata moja!
asie kubali kushindwa si mshindani,Kiukweli nchi Jirani wametisha sana huwezi amini kama Wana mgogoro mkubwa wa kisiasa nchini mwao
Kwako MwanaFA πππ
Mlale Unono
Na kukata maunoHiki kinchi kitakuja kupata medali endapo Olimpinki kutaanzishwa mashindano ya UCHAWA, KUDANGA na KUBETI
Tunapeleka michezo mitatu tutatoboa, pia tunaenda Kwa kujuana,,, mfano Ramadan Brothers wako wapi?Medali za Tanzania bado muda wake.Watu wanyweshwe sumu na kutekwa kwanza hafi tuchoke ndiyo milango ya fahamu itaanza kufanyakazi kwa tija.
Mama apewe hongera zake.asie kubali kushindwa si mshindani,
tumeshindwa bila maandamano wala kugomea matokeo π
nafurahi tumejaribu kushindana kadiri ya uwezo wetu michezo tuloshiriki, tunashukuru na tunafurahi tumefanya kadiri tulivyojiandaaπ
Mungu Ibariki Tanzania
Bongo media zinajadili kufumanianaKiukweli nchi Jirani wametisha sana huwezi amini kama Wana mgogoro mkubwa wa kisiasa nchini mwao
Kwako MwanaFA πππ
Mlale Unono