Kenya wamezoa Medali 4 za Dhahabu Olympic na Sisi Tanzania bado tunajitafuta!

Kenya wamezoa Medali 4 za Dhahabu Olympic na Sisi Tanzania bado tunajitafuta!

Lazima kuna shida mahali,usiniambie kama nchi tunashindwa kupeleka wapanda baiskeli,weight lifting hata kurusha mkuki?

Sidhani kama tu wanyonge hivyo.Kuna dada anaitwa Malaika Mihambo ni Mtanzania huyu yeye kaamua kuiwakilisha Ujerumani.

Na last Olympic games aliibuka mshindi wa kwanza kwenye long jump.
Ndio tatizo linalojafiliw hapa!
 
asie kubali kushindwa si mshindani,
tumeshindwa bila maandamano wala kugomea matokeo 🐒

nafurahi tumejaribu kushindana kadiri ya uwezo wetu michezo tuloshiriki, tunashukuru na tunafurahi tumefanya kadiri tulivyojiandaa🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mwaka wa ngapi huu mnarudi bila chochote?
 
Tanzania hatujawahi katika history yetu kuwa serious nakuwekeza kwenye riadha na michezo mingine. Tulipowekeza tu kwenye mpira tunaona jirani zetu wako wapi na sisi tupo wapi. Siku Tanzania wakija na program za muda mrefu na kuwekeza serious na uhakika Tanzania tuna uwezo sana tu na jirani watabaki wanatusikiliza kama wanavyosikiliza mziki yetu. Tukiamua chochote kwa dhati basi na uhakika jirani watabaki wanatufuatilia tu.
 
Maandalizi yawe ya uhakika vinginevyo itakuwa haina maana
 
Back
Top Bottom