Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 981
- 1,243
Huko Olympic michezo ipo mingi tu lakini Tanzania ilipeleka wanamichezo saba.
Vigezo na mchakato wa kupata wawakilishi bado haupo wazi( hili pia ni tatizo).
Kuna nchi zenye population ndogo tu zinapeleka wanamichezo wengi kutuzidi na wanafanya vizuri.
Cha ajabu tunayo kamati ya Olympic Tanzania sijui kazi yao nini hawa watu!!!
Vigezo na mchakato wa kupata wawakilishi bado haupo wazi( hili pia ni tatizo).
Kuna nchi zenye population ndogo tu zinapeleka wanamichezo wengi kutuzidi na wanafanya vizuri.
Cha ajabu tunayo kamati ya Olympic Tanzania sijui kazi yao nini hawa watu!!!