Ndio tatizo linalojafiliw hapa!Lazima kuna shida mahali,usiniambie kama nchi tunashindwa kupeleka wapanda baiskeli,weight lifting hata kurusha mkuki?
Sidhani kama tu wanyonge hivyo.Kuna dada anaitwa Malaika Mihambo ni Mtanzania huyu yeye kaamua kuiwakilisha Ujerumani.
Na last Olympic games aliibuka mshindi wa kwanza kwenye long jump.
Kiukweli nchi Jirani wametisha sana huwezi amini kama Wana mgogoro mkubwa wa kisiasa nchini mwao
Kwako MwanaFA
Mwaka wa ngapi huu mnarudi bila chochote?asie kubali kushindwa si mshindani,
tumeshindwa bila maandamano wala kugomea matokeo 🐒
nafurahi tumejaribu kushindana kadiri ya uwezo wetu michezo tuloshiriki, tunashukuru na tunafurahi tumefanya kadiri tulivyojiandaa🐒
Mungu Ibariki Tanzania
nadhani wa kwanza, simbu ana gold medal kumbuka 🐒Mwaka wa ngapi huu mnarudi bila chochote?
Mhh labda Gold Medal ya Bonanza LA CRDB🙈nadhani wa kwanza, simbu ana gold medal kumbuka 🐒