chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?
Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.
Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.
Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.
Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!
Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.
Asamaleko!
Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.
Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.
Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.
Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!
Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.
Asamaleko!