Kenya wana Katiba Nzuri, Tume huru ya uchaguzi, lakini Raila analalamika kuibiwa kura, na bei ziko juu, na tozo zimejaa

Kenya wana Katiba Nzuri, Tume huru ya uchaguzi, lakini Raila analalamika kuibiwa kura, na bei ziko juu, na tozo zimejaa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
 
Kila mtu anaweza kulalamika kuhusu uchaguzi.

1. Je waangalizi wa kimataifa wameseje? Uchaguzi wa kenya wamesema ni huru na haki . Uchaguzi wa Tanzania wamesema sio huru na haki. Hata USA Trump kalalamika lakini uchaguzi ulikuwa huru na haki
2. Tume ya Kenya inajitemea na ndiyo maana wanaweza kutangaza bila pressure. Tume ya Tanzania wasimamizi ni wafanyakazi wanaochaguliwa kisiasa na Raisi aliye madarakani.
 
..Raila anaweza kuwa na hoja kuhusu Tume ya Uchaguzi, lakini uchaguzi wa Kenya majority waliridhika kuwa ulikuwa huru na wa wazi.

..Watz tutengeneze katiba mpya bora, na tuunde tume huru. Tukiona kuna mahali pana upungufu tunaweza kuboresha.
 
..Raila anaweza kuwa na hoja kuhusu Tume ya Uchaguzi, lakini uchaguzi wa Kenya majority waliridhika kuwa ulikuwa huru na wa wazi.

..Watz tutengeneze katiba mpya bora, na tuunde tume huru. Tukiona kuna mahali pana upungufu tunaweza kuboresha.
Uchaguzi Huru kura za Mombasa zinapelekwa Baringo?
 
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani!! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
Unatafuta excuses za kuiogopa katiba mpya kisa bidhaa za Kenya ni ghali au kisa Raila analalamikia kuibiwa uchaguzi? Are you serious?
Hivi unajua rasimu ya katiba mpya imejumuisha mambo mangapi?
 
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani!! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
Katiba mpya siyo suluhisho la matatizo yetu ila kuna watu wachache wanadhani inaweza kuwawezesha kuingia madarakani jambo ambalo uhalisia wake ni kiduchu au haupo kabisa.
 
Africa katiba ni kakitabu kanakoonekana ka muhimu pale kanapolinda maslah ya watawala
 
Katiba mpya siyo suluhisho la matatizo yetu ila kuna watu wachache wanadhani inaweza kuwawezesha kuingia madarakani jambo ambalo uhalisia wake ni kiduchu au haupo kabisa.
Kabisa
 
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani!! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
Ujinga mkubwa nyie watu mnafanya kwa faida ndogo tu ya kutuliza matumbo yenu huku mamilioni ya watanzania wakiteseka kwa miaka mingi kwa sababu ya sheria na katiba mbovu. Nchi zinatekebisha katiba zake kila mara sisi hatujarekebisha miaka 45 sasa! Kwasababu katiba mpya ni dai la upinzani ndio maana CCM wanapinga? Ujinga mkubwa huo!
 
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani!! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
Raila Odinga amelalamikia chaguzi zote kenya kabla na baada ya katiba mpya. Lkn kumbuka kenya ipo option ya mahakama kwa malalamiko ya uchaguzi ktk ngazi zote. Ikumbukwe pia asilimia kubwa ya upigaji kura kenya inakubalika kuwa huru na haki ukiondoa kura za u Rais. Kwa tz wagombea wengi wa upinzani hupigwa chini hata kabla ya uchaguzi kuanza na kibaya zaidi serikali hutumia resources zake kukibeba chama tawala.
 
Wananchi tunataka katiba mpya ,itusaidie kuweka Mazingira bora uongozi na utendaji Kwa wenye dhamana ya kuongoza.

Kuondoa mianya ya rushwa na ukandamizaji wa haki za watu.
 
Kulalamika kuibiwa kura hata Trump alilalamika, lakini haikua na maana kua Marekani hawana katiba nzuri, ni excuse tu za wakosaji. Na kua na katiba nzuri sio kwamba ndo mwananchi anaweza kuandamana anavyotaka, kuna utaratibu. Katiba mpya ni muhimu
 
Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka?

Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu.

Tozo ziko juu, pale pale sawa na sisi wa katiba ya zamani.

Nadhani mabadiliko ya sheria zilizo chini ya katiba yanatosha. Mama Kaunda tume ya haki jinai, mapendekezo yake yakifanyiwa kazi, hutamuona mtu anasema katiba. Huko kwenye jinai ndiko wananchi wanakutana na mapolisi Kila siku.

Cha kushangaza, huko Kenya kwenye katiba mpya, Erick Omondi kaandamana, kapigwa mabomu, kakamatwa, na katiba mpya ipo inayotoa Uhuru wa kuandamana!

Let's go back to the drawing table. Ni katiba kweli tunataka au Kuna kitu tunataka lakini hatujui ni kitu gani!! Ila Mimi kama nakiona Samia anakifanyia kazi, kwa ambao hawakioni, nitakuja na Uzi kuonyesha kwamba wananchi hawataki makaratasi na vyeo vipya.

Asamaleko!
Hivi unaelewa katiba ni nini?

Unaelewa kama katiba ikiwa nzuri nini faida zake?

Unaelewa katiba ikiwa mbovu nini madhara yake??

Jiulize hayo maswali na ukiyapatia majibu njoo na uzi mwingine.

Na achana na siasa njaa,
 
Katiba mpya siyo suluhisho la matatizo yetu ila kuna watu wachache wanadhani inaweza kuwawezesha kuingia madarakani jambo ambalo uhalisia wake ni kiduchu au haupo kabisa.
Wewe utakuwa wale wazee wa kupita bila kupingwa. Unasubili tu nyumbani kuletewa barua ya ushindi wa ubunge. PUMBAFU safari hii jiandae kutumia kiinua mgongo kupiga kampeni. Hatutaki upumbavu wa kupita bila kupingwa na watu kuwa na kinga ya kutokushitakiwa
 
Back
Top Bottom