kwa hiyo kuewekeza kwa magari hainufaishi direct ama una maanishaje?
Investment za namna hiyo manufaa makubwa ni kwa nchi za nje.
Nadhani wanauchumi wa nchi yenu wamewekeza zaidi kati sifa na siyo kuwanufaisha wananchi.
Kwanza Umefikiri malighafi za viwanda hivyo mnavyodhani kufanya investment mtazipata wapi?
Kenya haina malighafi.
Hivi unafikiri kwanini watu wa ulaya na marekani walienda kuwekeza china!!? Ni kwa sababu ya malighafi zipo za kutosha.
Zaidi sana serikali yenu ya Kenya ipo na mawazo ya kizamani "
exploitation". Watu wameshatoka katika dunia hiyo.
Watu wanafanya investment kutoka na vitu walivyonavyo.
Ningewaona watu wa maana sana pale mgejisifia kwa kuanzisha viwanda vya mirungi, Chang'aa na aina ambayo inanufaisha direct wananchi.
Hebu fikiria kwa Tanzania.
1. Kuna viwanda vikubwa vya Cement
2. Viwanda vikubwa vya chuma (Kwa sababu chuma inapatikana TZ)
3. Viwanda vikubwa vya "ceramic industries"
4. Bomba la mafuta toka uganda kwenda Hoima
5. pharmaceutical industry
6. Minerals smelting
7. Viwanda vya nguo
8. Viwanda vya nafaka
9. Viwanda vya ngozi
10. Viwanda vya matunda
Na viwanda vya aina nyingi tu vinanufaisha direct wananchi na afya zao.