Kenya wanatuwakilisha vizuri sana Africa Mashariki kwenye Olympics.

Kenya wanatuwakilisha vizuri sana Africa Mashariki kwenye Olympics.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mpaka sasa Kenya wameshavuna medali nne za dhahabu katika michezo ya Olympics ya Paris na hivyo kutuwakilisha vizuri Jumuiya ya Africa Mashariki, hata hivyo tuwakanye wasituringie sana majirani zao kwani sote ni wamoja, mafanikio yao ni mafanikio yetu pia.
Screenshot_20240811-095224_X.jpg
 
Mpaka sasa Kenya wameshavuna medali nne za dhahabu katika michezo ya Olympics ya Paris na hivyo kutuwakilisha vizuri Jumuiya ya Africa Mashariki, hata hivyo tuwakanye wasituringie sana majirani zao kwani sote ni wamoja, mafanikio yao ni mafanikio yetu pia.
View attachment 3066583
Mbona uganda pia anafanye vizuri gold moja na siliver mbili, sisi ndo tumelala duh
 
Tanzania hawafanyagi maandalizi
Olympics wanaenda tu kama kutembea tu!

Ova
 
Tanzania vipaji vingi vipo tatizo namna ya kuwafikia hao wenye vipaji ndiyo changamoto.uwekezaji unahitajika ili hivi vipaji kuzifikia
 
Kwa hapa kwetu kina Giggy Money na Dogo Janja watatuwakiisha vyema
 
Huku tuko busy na Simba na Yanga hayo mazoezi tutafanya saa ngapi?Hii nchi Nyerere aliinajisi kuruhusu zindiko kule Lindi na Kuruhusu ule Mwenge ambao ni ishara ya utukufu kwa Ibilisi.
 
Back
Top Bottom