Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Jamaa anazisaka pesa za wazungu ki nguvu ni moja ya mashart yao
yaaahh....though inawaza isiwe kosa lake......mana wale jamaa huu ni mpango wao ambao wanataka uenee dunia nzima....yani ukubali au hukatae they dont care.
 
Mbona ni Tanzania?
Check kwa kando iko na sprite ya plastic na castle lite ambayo ni bidhaa ya tz.
 
Fuatilia vzr mkuu wengi ni style ya james delicious,mashoga wachache sana wenye muonekano wa u gentleman!
oooohhh upo mbali sana na dunia kijana......angalia worldwide mashoga sku hz hawarushi vimikono kama james....yule dgo ni kaamua tu kubadilika mpka mwili awe mwanamke mana yupo hvo tangu akiwa kijana mdgo.
.but wengi niwale wanaopenda kutafunwa nyuma huku wakijirecognise as a men....fatilia youtube mpka huko kwenye magoogle.

Mashoga wengi ni magentlemen.
 
Astakafululai, dunia imevaa msuli
Eenh kwaio jamaa kachukua choo rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…