ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Bwn Matiang ameiona hii ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pacha hii dunia sielewi inakoelekea, bora isimame nishuke
Ukishasimama itabidi tushuke wote Pacha sababu inakoelekea hapana aiseeePacha hii dunia sielewi inakoelekea, bora isimame nishuke
Ni haki yao kabisa!kwa hyo we hao jamaa unaona ni haki yao kufanya hvo?
Hahahaaaa. Wacha tu niguneling mkuu.[emoji23] dont gunaling
Aaahhh Mzee baba ,sasa utawazwe mpaka miaka mitano nambaya zaidi unatawazwa na kila mkono ,unategemea nn????.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unataka kusemaje yani
daaah [emoji2] mpka umeniwazisha na mimiKuona picha namna hiyo unaweza usipatwe na mshangao, the real mshangao ni pale utakapoanza kuifikirisha akili yako kwamba nini hasa hawa jamaa wanafanya wawapo faragha...
...it's so disgusting!!
Kuomba Mungu hicho ndio cha muhimu Mkuu.inaweza tokea kwa ndugu yako siku moja.....kikubwa ni kuomba Mungu hatuepushie tu
naona mashoga mnapromoti ushoga wenu kwa nguvu zote.Vijana hao wawili kutoka nchini kenya wameamua kuweka wazi mahusiano yao ya kimapenzi na kuvishana pete za uchumba...wakitarajia kuwa mke na mume hiv karibuni.
daaah dunia imeamua kuvaa bikini sasa
Yani huyo jamaa ambaye ndo anaolewa mpaka analia kwa kufurah kulikozidi jamani.View attachment 754445View attachment 754446View attachment 754447
Astaghafir