Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Shetani ashindwe. Hamna siku hata moja ambapo rais Uhuru Kenyatta amesema anakubali huu uchafu. Mlatinoh king acha kuwahadaa wenzako. Uongo wa nini bana. U.K alikataa haya mambo hadharani mbele ya Obama alipokuwa Kenya. Hata juzi juzi tu pia alipohojiwa na CNN.
 
Ni haki yao kabisa!
Kwanza ni watu wazima,
Pili hawajalazimishwa na yeyote,
Tatu ni kwamba hawaingilii uhuru wa mwingine.
Hakuna dhambi ndogo hata wewe ni shahidi.
Jambazi anatenda dhambi ya wizi kitu ambacho kinaacha makovu dhidi ya aliyeibiwa!
Hawa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja kitu ambacho hakimdhuru mwingine.

Kwanini sasa mlaumu watu ambao hawana affect yoyote kwenu ilihali kuna mengi yanayoidhuru jamii?

JARIBU KUHESHIMU UHURU WA MWENZAKO IKIWA UHURU HUO HAUNA AFFECT KWAKO.

mwili hajatumia wakwako!
hajaingilia uhuru wako!
hajakuharibia chochote!
Kwanini basi ikuume?

Uhuru wa mtu ikiwa haukudhuru usijaribu kuuingilia.
Wanayo effect jamii na watoto wakiwaona wanaingilia uhuru kwa kuchafua mawazo ya watu. You can't justify this shit.
 
Tusiongee sana. Laana hii inaweza kukupata mwanao wa kiume akaolewa. Na pesa zako sijui uso wako utauweka wapi
Inaweza kutokea hasa kama mke anapenda kusukwa na kuoshwa miguu na mashoga, roho ya ushoga inamuingia hatimaye akizaa mtoto anatwaa hiyo roho na hatimaye shoga anaingia kwenye familia.
 
Ahahahaha kama utan

Dah dunia ishakufa

Hongera zao ***** wasenge hao
 
Hii ni topic ya ujinga sana mmeleta hapa. Huwa munafurahia stori kama hizi, shenzi kabisa.
 
Back
Top Bottom