sprite ya Kenya muundo wa chupa yake ni tofauti na tzAcha kuchekesha wewe....sprite ipo tz tu?? una tv nyumbani??
Castle lite haipo Tz peke yakeMbona ni Tanzania?
Check kwa kando iko na sprite ya plastic na castle lite ambayo ni bidhaa ya tz.
hapo kwenye sprite ni muundo wa chupa za TanzaniaCastle lite haipo Tz peke yake
sijui hata nikwambie kitu gn we kijana mwenzangu...[emoji52]Mapenzi mubashara! kila mtu ana uhuru wake binafsi kuamua awe vip!
Jambo la muhimu ni kuwalea wanao vyema na ikitokea akabadilika ukubwani wewe nawa tu mikono maana ni mtu mzima tayari
Kuhusu nini?sijui hata nikwambie kitu gn we kijana mwenzangu...[emoji52]
Hata mimi nadhan kwa mauaji haya nitasamehewa inauma sana, jamani hivi binadam tunakosa nini hadi kuzidiwa hata wanyama?[emoji23] hata Mungu ataelewa na kukusamehe kwa kuua
mkuu sio kavaa km mwanaume, huyo ni mwanaumeHalafu ukimwangalia huyo jamaa vile kavaa kama mwanaume wa ukweli daaah!?