Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Kenyatta aliongea lugha rahisi kabisa alipozungumza na obama pale palace.

Kwamba Kenya ina mambo mengi ya kushughulika nayo kuinua uchumi na maendeleo ya nchi, hivyo anaona ushoga ni swala ambalo halihitaji kipaumbele au Kujadiliwa.

Kwa lugha rahisi kwako ewe slow learner ni kuwa, ushoga ni privacy ya watu wawili ambayo haihitaji attention ya taifa.


Ulimaanisha kunijibu mimi au?
 
Kenyatta rejects role in election violence
Kenya's President Uhuru Kenyatta says his govt. had no responsibility for election violence, and assures those affected will have a channel to seek justice.
Source: CNN

Noja nijaribu tena link ya CNN maana ina-interview yote. Ninampenda alivyo clear aisee. Yaani hamumunyi maneno. Ukitaka kusikia comment yake kuhusu gayism forward mpaka dakika ya 11. (www.cnn.com/videos/tv/2018/04/19/amanpour-uhuru-kenyatta.cnn)


 
Wewe ni shoga unapromoti ushoga humu, mods ban hii ng'ombe inanitia kinyaa.
Mbona povu linakutoka kama vile umeshatumika tayari?
Kuolewa aolewe mwingine kuwashwa uwashwe wewe! nini tatizo kijana?
 
Kenyatta aliongea lugha rahisi kabisa alipozungumza na obama pale palace.

Kwamba Kenya ina mambo mengi ya kushughulika nayo kuinua uchumi na maendeleo ya nchi, hivyo anaona ushoga ni swala ambalo halihitaji kipaumbele au Kujadiliwa.

Kwa lugha rahisi kwako ewe slow learner ni kuwa, ushoga ni privacy ya watu wawili ambayo haihitaji attention ya taifa.
Rais Uhuru Kenyatta aliendelea kumueleza Obama kwamba ushoga sio utamaduni wa waafrika na kamwe hauwezi ukubalika. Kisha akaambia Obama kwamba washughulike na maswala ambayo tunakubaliana sote wakenya kwa waamerika. Akamalizia kwa kusema kwamba serikali haiwezi walazimishia wananchi kile ambacho wao hawakikubali. Itakuwa wewe ni 'slow learner' kama ulivosema, au ung'eng'e ulikupita kwa mbali sana.
 
oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooppppppppppppppppppppppssssssssssssssssssssssssssssss!!!!!!!!
 
Et katoa chozi .....
Ina ana haki ya kulia mana kupata m2 mwenye akili timam kwa kutangaza hadharan ni kaz!...
Ukiendekeza uzungu ndyo hvo...
 
Wanatarajia wapate mtoto au ni kufanyiana ufirauni tuuu
mafirauni tu hao......hamna lolote hapo.....sijui kwa nn watu kama hawa hatupewi ruhusa raia tuwacontrol kwa kuwachoma hata moto
 
Rais Uhuru Kenyatta aliendelea kumueleza Obama kwamba ushoga sio utamaduni wa waafrika na kamwe hauwezi ukubalika. Kisha akaambia Obama kwamba washughulike na maswala ambayo tunakubaliana sote wakenya kwa waamerika. Akamalizia kwa kusema kwamba serikali haiwezi walazimishia wananchi kile ambacho wao hawakikubali. Itakuwa wewe ni 'slow learner' kama ulivosema, au ung'eng'e ulikupita kwa mbali sana.
South Africa iko Asia??
 
Back
Top Bottom