Kenya wanavyoionea Somalia na kuinyonya kama Wakoloni

Kenya wanavyoionea Somalia na kuinyonya kama Wakoloni

Hata baada mwafrika kukandamizwa na Msomali kupewa kipaumbele na serekali ya mkoloni...Msomali Bado ako Nyuma Sana kimaendeleo. Ukitembelea miji yao kama vile wajir ,Mandera ,Elwak ,Garissa ...utagundua kuwa hawa jamaa wanaishi utopian dream
Tembelea miji Kama vile Thika,Nyeri ,kisii Nakuru ,Muranga, Naivasha Nanyuki e.t.c na utapata wako mbele Sana Ukilinganisha na Wasomali.
Hebu nenda Hargeisa, Mogadisho japokuwa miji ilibomoka kwa vita kaangalie maendeleo.

Somaliland ndio nchi ya kwanza duniani kutumia biaometrics na iris scan to vote. Google it .

Ni kweli NE kenya maendeleo yako nyuma, lakini kwa maiaka mingapi serekali ya kenya walitumia issue ya emergency law kuikandamiza. Na pia wabunge na wanasiasa wakisomali watokeao huku ni watu bure kabisa.
 
Hebu nenda Hargeisa, Mogadisho japokuwa miji ilibomoka kwa vita kaangalie maendeleo.

Somaliland ndio nchi ya kwanza duniani kutumia biaometrics na iris scan to vote. Google it .

Ni kweli NE kenya maendeleo yako nyuma, lakini kwa maiaka mingapi serekali ya kenya walitumia issue ya emergency law kuikandamiza. Na pia wabunge na wanasiasa wakisomali watokeao huku ni watu bure kabisa.
Somaliland is a very progressive country. Unlike their counterparts Somalia .
Terrosit attacks are very rare .They are very torelable even to Christianity.

Kenya is considering to officially recognize it as an independent state.Kenya generally enjoys codial relationship with Somaliland.
 
1112535

This is something else also worth noting .

also remember that Uganda had sent a delegation of their Mps to somaliland a week earlier.
 
Sera kubwa ya USA ni kuwa HANA RAFIKI WALA ADUI WA KUDUMU ILA WANA MASLAHI YA KUDUMU

mfano kuanzia miaka ya 2000 kurudi nyuma USA alikuwa ni adui mkubwa wa Japan ila alivyogundua faida za urafiki na Japan wakamaliza bifu

So msaada mkubwa mtakaopewa na usa ni kuuziwa silaha basi
ha ha we don't need African backstabbing allies like TZ to defeat an African nation.
but KE has a defense pact with Ethiopia...and in somali issues, they will stand by us 100%

Financial ties are nothing man, we can be indebted to UK,USA,Israel but when we need help they will be the first to help.
There is no way UK/US will gang up against KE.

Today, if Kenyans just wake up and get an excuse to invade TZ, they will gladly sell us weapons...or even just look away as you are hammered like chicken..
 
Hiyo haitoshi kuna watu walichomwa had moto wa hilo kabira
Ndugu Immayed, Ramadhan Mubarak. Kwanza usi bishane na watu wasiokuwa na uzalendo hata kidogo. Tanzania tunajivungia kuwa nchi isiyo na ukabila , matabaka na ulaji wa viongozi wetu unaheshima ukiulinganisha na wakenya.

Although siungi mkono ufisadi na ninauchukia na kuogopa kama ukoma.

Inashangaza wakenya waseme tinaidhalilisha Zanzibar, wao hawaoni walichowafanya wakikuyu in Naikuru na huko Rift Valley wakati wa uchaguzi, watu wamefukuzwa kwenye makazi yao ya maisha.
 
Wanajeshi na wananchi wengi wamepoteza maisha. Wakimbizi wa Kisomali kila siku wanapotelea Kenya itakuwaje sisi wakoloni?
Somali has been nothing but a pain in our a**!

Yeah especially ur as**
 
Huu wote ni ujinga. Go back to school.
Somalia is not even at top 10 Kenya trading partner.

A peaceful Somalia means they would get almost all their imports from Kenya. Very good for us.
But that will not come at the expense of stealing our maritime resources.

Na uchunge sana. Kenya inasema border ifuate latitude. Somalia inasema border ya maji ifuate border ya nchi.
Hio ikifanyika, Kenya pia inafanya vivyo hivyo upande wa chini, na Pemba inaacha kuwa Tanzania papo hapo.

View attachment 1110506

Tanzania syo somalia jichanganyen sasa et pemba sijui nn ndo mtaona
 
Back
Top Bottom