Kenya warusha satellite angani

hapo utakuta ni mchina ndiyo kafanya kila kitu.
 
Tanzania kwani hatuna satellite angani ya kwetu

Ova
tuache kwanza, tunamalizia reli yetu ya mwendo kasi na bwawa la umeme - haya ma setellite haya yatakusaidia kushusha bei ya umeme? yatakusaidia kufika kwa haraka na kwa bei nafuu unakotaka kwenda ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…