gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,666
Ww ni chizi labda, baba, yako na mama yako wameshindwa, kukulisaha
Tanzani hatuna njaa mjinga.
Tanzania sio kenya
Povu la mwendokasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ni chizi labda, baba, yako na mama yako wameshindwa, kukulisaha
Tanzani hatuna njaa mjinga.
Tanzania sio kenya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] KwikwikwiHahaha nilijua ni mafiati ya wasomali
View attachment 459626
Riakanau has arisen like the legendary phoenix![emoji3]
Hahaha AibuView attachment 459626
Riakanau has arisen like the legendary phoenix![emoji3]
Hehee nakumbuka harry potterDEFORESTATION IS HAPPENING IN DANGANYIKA. FIREWOOD TO FIRE THEIR SMOKY TRAINS.
View attachment 459639
MWANZA HERE WE COME.....
View attachment 459640
View attachment 459641
Hamna ananasaba na faru AnitaKwani huyo mkeo ana nasaba na Faru John?
Mbwembwe zote kumbe wanaleta hayo mamikebe aghrrrrddh!!!!!!!!!Hehee nakumbuka harry potter
Habari ina mapungufu makubwa kwa tukio kubwa kama hilo kama ni la ukweli.
Ni heli ukakosa kuliko ukajisifu unacho kwa train za aina hii,kwa muonekano wa train hizi utakuwa zinatengenezwa hapo hapo Kenya hazina utofauti na matatuETHIOPIA WALIPATA View attachment 458940
KENYA WAKAPATA
View attachment 458943
NIGERIA WAKAPATA
![]()
ANGOLA WAKAPATA
![]()
WAPUMBAVU BONGOLALA WANASUBIRI ETI WATAPATA
![]()
JAMANI WATANZANIA KUMBE MNA AKILI NDOGO KIASI HIKI??????? KAMA ETHIOPIA NA KENYA, NCHI ZENYE ECONOMY KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZIMEOATA TRENI ZA AINA HIZI KUTOKA UCHINA, NANYI MNASUBURI TRNI ZIPI?????😀😀😀😀😀MSITUFANYE WAKENYA TUCHEKE TUVUNJE MBAVU!!!! ENDELEENI KUZIITA SCANIA ILA MKUMBUKE THAT KENYA IS THE COUNTRY THAT WILL ALWAYS BE AHEAD OF YOU..LIKE IT OR NOT...
DEFORESTATION IS HAPPENING IN DANGANYIKA. FIREWOOD TO FIRE THEIR SMOKY TRAINS.
View attachment 459639
MWANZA HERE WE COME.....
View attachment 459640
View attachment 459641
Faiza, nikiangalia loco hizo za Wachina zunanikumbusha magari ya Waingereza aina ya Landrover sura ni ile ile miaka nenda rudi.
Hizi loco zilizo letwa Kenya zinafanana kabisa na Locomotive za Tazara aina DFH2 za miaka ya 70/80 tofauti ni kwenye transmission, za Tazara ni hydraulic (Bo-Bo confi) za Kenya transmission ni Electric(Co-Co) na zina tofauti kwenye HorsePower, Wakenya wanasema kila Mainline Loco ina HP 5/6K naona hiyo si kweli wangesema 3K per Loc hiyo sawa, wakizifunga loco mbili in MU mode ndiyo wanaweza ku attain 6K HP.
Bado na insist kwamba kwa nia nzuri tu kwamba Wakenya wanunue baadhi ya Mainline D.Es Locos kutoka Merikani, Canada au Ujerumani (General Electric au Bombadier) hizo ni loco zenye uhakaki/aminika na hazitawasumbua, tumieni za kichina kubeba abiria na shunting.
Vichwa 55 vya treni za abiria kwa reli ipi?? Hiyo single track??tulienda shopping kule uchina tukitafuta diesel enging ya power rating ya 2000... wakatuzungusha kampuni zote za kutengeneza hayo madude...... bei na ufundi ulioturidhisha kulingana na bajeti ilikua ni hizo unazoziona hapo za kubeba mizigo..... walikubali tute ma engeneer wetu wakahakikishe zinazotengenezwa ni mpya wala si 'second hand' ... alafu kumbuka tunataka vichwa zaidi ya hamsini, tano za abiria na 54 za mizigo.... kisha badae tukiweka stima tutataka zengine.......
nyinyi ambao hamna hata reli mtulie kidogo, sije mkaja tukawacheka hapahapa
walipokua window shopping
View attachment 459595
mojawepo ya abiria inafanyiwa final touches uchina
View attachment 459596
Acha kuongea upupu bhana!WEWE UNAANGALIA BENDERA AMA TRENI?? HAWA NDIO WALE HUWA WANAONA GLASS IKO HALF EMPTY
Huhitaji kuwa na degree kujua unachoandika hapa ndio mwisho wako wa kufikiriHio kwa ki mombo inaitwa common sence.... Unajua hizo reli zote za ghana,Naigeria,Ethiopia zimejengwa na loan za kichina.... Tanzania imeshatayarishiwa loan na benki ileile iliowapatia hizo nchi zengine Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway | Reuters
Kumbuka hapo, ukitaka treni nzuri zaidi inamaanisha loni kubwa zaidi.....Kulingana na hizo pesa mlizopewa na kilometer zitakazojengwa , ni pesa kidogo sana zitabaki za kununua hizo treni....... kwahivyo kilalaheri ukingojea bullet train
Achana naye ndugu...huyo uwezo wake wa kuelewa ndipo ulipoishiaHakuna popote nilipo sema nahitaji/tegemea tununue train za aina fulan... Soma maelezo yangu yako very clear na yanajieleza hata mtoto mdogo ataelewa ni wapi napingana na wewe
Ww ni chizi labda, baba, yako na mama yako wameshindwa, kukulisaha
Tanzani hatuna njaa mjinga.
Tanzania sio kenya