Kenya WSR 2021 Rally

Kenya WSR 2021 Rally

Most South Africans ambao nimekutana nao kwa forums hua wako hivyo, they just assume that they have the best of everything. Last week kwenye forum Nyengine nilipatan na mmoja alikua akijisifu vile rais wao amealikwa kwa mkutano wa G7. AKawa anasema ni vile sijui wanaheshimika na wao ndo kiongozi wa Africa.,. Nikamwambia upuzi mtupu, Africa Haina kiongozi... Nikamwambia Africa uongozi unaishia at the sub-regional level, hakuna nchi ambayo ni outright leader of the continent. Yani Southern Africa iko na kiongozi, North Africa, West Africa, East Africa, Horn of Africa.... zote ziko na nchi moja au mbili ambazo zinaongoza wenzake.....Na mara kwa mara viongozi wa hizo sub-regional levels hualikwa kwa G7 kuhudhuria mkutano kulingana na issue kubwa inayokumba Dunia mwaka huo... Mkutano wa mwaka huu issue kubwa ilikua covid, South Africa ndo iko na most covid cases on the continent kwahivyo wao ndo most relevant kualikwa kujadili mambo ya covid na vaccines.... Sisi Kenya tulipoalikwa kwa G7 meeting, issue kubwa ilikua maritime security, wakati huo ndo tulikua tunajenga Lamu port ambayo ndo itakua deepest port in Africa, at the same time tuko na maritime dispute na Somalia na pia tulikua tunahost the global conference on blue economy (ambayo ni uchumi wa bahari) the first time such a conference was bieng held in Africa... Kwahivyo at that time sisi ndo tulikua the most relevant country from Africa kujadili kuhusu usalama na uchukuzi/uchumi wa bahari...
True. Most South Africans with their xenophobia think that the rest of Africa is just forests and bushmen running around naked. They should come to Kenya and see that we are not doing badly ourselves.
 
KICC jana

1624801198367.png


1624802174137.png


1624802210671.png
 
Apart from having a good reliable and powerful engine at that price range. Subaru has a better body to weight ratio. So when you are driving fast you feel nimble, you can quickly overtake. Some other cars, you either feel too light (like when you hit a pothole at 100km/hr you will be thrown off the road) or too heavy that you don't trust that the car will overtake fast enough .. But with Subaru you just feel like it's the perfect balance. You suddenly just feel confident for reasons you can't really explain, it's like an instinct feeling that's takes over you once your toes have been on the pedal for a while, you begin to trust the power behind the pedal... On a smooth road you can even go past 140km/hr and feel like you just cruising at 80km/hr. But with other cars, they might get to that speed but once you are there, it just feels wrong, your body's alarm bells start ringing telling you something is wrong, maybe you should slow down a bit.
Its just a cheap fast car.

Compared to other german counterparts, Subaru is no where to be a fast car.
 
Its just a cheap fast car.

Compared to other german counterparts, Subaru is no where to be a fast car.
That's why my first sentence was, " Apart from having a good reliable and powerful engine at that price range. "
 
Back
Top Bottom