Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni sana, tukutane ICJ, Hahahaha, HahahahaCommittee ya Roho chafu ..your prayers were not answered
jotolajiwe
Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Kura zibarudiwa acha ushabiki maandaziNani arudie?, imetoka hiyo ikirudi pancha, Hahahaha, Hahahaha.
Hongereni sana, tukutane ICJ, Hahahaha, HahahahaCommittee ya Roho chafu ..your prayers were not answered
jotolajiwe
Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Swallowing the bitter pillView attachment 1482787
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni kwa kuishinda Djibouti nchi ambayo na uhakika zaidi ya asilimia 80 ya WaAfrika hawajui inapatikana wapi. Lol 😝.duh! hapa hata kama ni mimi ingebidi nikwepe mada nilioanzisha mwenyewe
Kenya 129 Djibouti 62Hongereni kwa kuishinda Djibouti nchi ambayo na ujakika zaidi ya asilimia 80 ya WaAfrika hawajui inapatikana wapi. Lol 😝.
Muhimu ni kesi ya ICJ, hiyo UNSC seat na huyu Amina, havina umuhimu kwa uchumi wa Kenya, mkishinda ICJ mtakua na kila sababu ya kujipongeza, sio hiyo "ceremonial seat", haina maana yoyote.Laakini kwaviile tumeshinda UNSC seat , Amina Mohamed sioni akichukua uskani wa WTO, manake nchi zilizotupigia zitataka turgeshe shukrani kwa ku support candidate wao....
Habari ndio hiyo... #10😹Muhimu ni kesi ya ICJ, hiyo UNSC seat na huyu Amina, havina umuhimu kwa uchumi wa Kenya, mkishinda ICJ mtakua na kila sababu ya kujipongeza, sio hiyo "ceremonial seat", haina maana yoyote.
Djibouti ina bandari kubwa kushinda Tanzania kwahivyo waheshimu.Hongereni kwa kuishinda Djibouti nchi ambayo na ujakika zaidi ya asilimia 80 ya WaAfrika hawajui inapatikana wapi. Lol 😝.
Level yenu ni Djibouti na Somalia, wasomali wametangulia kule Uholanzi wanawasubiri ICJ.Djibouti ina bandari kubwa kushinda Tanzania kwahivyo waheshimu.
Alafu wana host military base kubwa za China, USA,France, Italy na Japan, Saudi Arabia, India......
Egypt kule juu iko kwa mlango wa suez canal, na Djibouti huku chini nayo iko hapo kwa mlango wa nyuma wa Suez canal.. Suez canal ndo 2nd bussiest canal coridor baada ya panama canal...
![]()
Kwahivyo Djibouti kwa International arena ni nchi kubwa sana, hapa Africa ndo hawajulikani au hawana ushawishi mkubwa lakini kule nje wao wanatambulika , wangeambia USA au China watubanie tusipigiwe basi lingefanyika manake hizo kambi za kijeshi huko ni muhimu kwa ku secure na ku control hio suez canal chanel kwa hizo nchi kuliko uhusiano wao na Kenya.
Tukichukua WTO tutaitumia kupiga dili nzuri nzuri nyingi sana za bashara we ngoja tu hautaamini, kama DR.Muhusa Kitunyi ametuletea mengi Kenya kama Sec.Gen wa UNTAD ambayo ni body ndogo kushinda WTO, sembuse huyu mpambe wetu Amina?Muhimu ni kesi ya ICJ, hiyo UNSC seat na huyu Amina, havina umuhimu kwa uchumi wa Kenya, mkishinda ICJ mtakua na kila sababu ya kujipongeza, sio hiyo "ceremonial seat", haina maana yoyote.
ICJ listen to Kenya because of our regional power.Level yenu ni Djibouti na Somalia, wasomali wametangulia kule Uholanzi wanawasubiri ICJ.
#10 😹Level yenu ni Djibouti na Somalia, wasomali wametangulia kule Uholanzi wanawasubiri ICJ.