Kenya yaendelea kuthibitisha kwamba si nchi usalama, Tajiri wa kizungu auliwa kinyama

Mwanamke mgani anaweza penda kudate masikini kama wewe?
Hunijui sikujui.
Halafu sidatigi na nywele vipilipili km nyie nyang'au kumbafu zenu.
Siwez date na wanawake makatiri,wabaya Sura za mwaikibaki,weusi km uvungu wa p*mbu na masikini wenye tamaa ya mali km nyie wakenya.
MM NISHAOA MZANZIBAR MSHIRAZ wale wazenji wenye asili ya Oman na ndugu zao km,wote wako Oman na Abudhabi, unataka nikuoneshee??!!!!!
Napikiwa wali wa nazi,naogeshwa maji ya iriki,nanyweshwa urojo nalishwa chapati za mayai zilizochanganywa na nyama ya kusaga.
MKENYA ANAYAWEZA HAYA!!!!?????
MKUMBAFU MKUBWA!!!
Nachukia mtu anidhihaki mm maskini ilhali hanijui.
 
KARIBUNI NDANI YA KISIWA CHA AMANI NA UTULIVU!!!!
Tanzania: Hofu yatanda baada ya makaburi ya albino kufukuliwa na watu wasiojulikana
  • 29 Aprili 2019


  • Katibu Mkuu wa chama cha watu wenye albino Tanzania Mussa Kibimba anasema malalamko yao yanakuja mara baada ya matukio ya mfululizo ya kufukuliwa kwa makaburi kule Mbeya .
    Mpaka sasa makaburi mawili tayari yamefukuliwa huko Mbeya na haijajulikana dhumuni la kufukuliwa kwa miili yao na hata kujulikana masalio ya miili hiyo inaenda wapi?
    Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESWatu wenye ualbino nchini Tanzania wamemtaka rais wa nchi hiyo John Magufuli kuingilia kati wimbi la kufukuliwa kwa makaburi ya watu wenye ualbino.
    Chama cha albino cha nchi hiyo kimesema watu wenye albino wameanza kuwa na hofu kwani hawajui nia na msukumo wa kufukuliwa kwa miili ya wenzao.
    Wiki iliyopita mwili wa mmoja wa albino aliyekufa mwaka 2015 ulifukuliwa na baadhi ya mabaki kuchukuliwa na watu wasiojulikana.
 

BADO TUPO NDANI YA KISIWA CHA AMANI...
Mohammed Dewji atekwa na watu wasiojulikana nchini Tanzania
Kijana tajiri miongoni mwa matajiri barani Afrika Mohammad Dewji atekwa nchini Tanzania
11.10.2018 ~ 12.09.2019

Mohammad Dewji, bilionea kijana atekwa na watu wasiojulikana mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania.
Mohammad Dewji atekwa na watu waliojuwa na silaha ambao pia walikuwa wamefunika nyuso zao.
Bilionea huyo mwenye umri wa miaka 43 ametekwa mapema asubuhi ya Alkhamis mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania.

Mdude Chadema: Watu wasiojulikana wamteka mwanachama wa upinzani Tanzania
  • 5 Mei 2019

Polisi katika eneo la Songwe nyanda za juu kusini mwa Tanzania imesema kwa haina taarifa kuhusu tukio la kukamatwa kwa kijana Mdude Nyangali maarufu Mdude Chadema anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana siku ya jumamosi.
 
Bro hata Kenya si walifukua kaburi wakaiba suti za maiti??!!!
Kufukua kaburi kawaida me nilidhan kuna albino kauwawa????
 
Bro hata Kenya si walifukua kaburi wakaiba suti za maiti??!!!
Kufukua kaburi kawaida me nilidhan kuna albino kauwawa????
Hapa ni Tanzania kisiwani cha amani na utulivu bado
 
WaTanzania wana unyama na kukosa utu kabisa sijui kwanini wajifanya ati nchi ya amani. Total hypocrites hawa jamaa.
 
Acha kuleta habari za zamani, unajisikiaje ukiona unyama huu?
 
WaTanzania wana unyama na kukosa utu kabisa sijui kwanini wajifanya ati nchi ya amani. Total hypocrites hawa jamaa.
Huwezi linganisha Kesha na Tanzania hata kwa dakika moja, kumbuka Tanzania ni namba 53 na Kenya ni namba 124 kwa Amani duniani. Lazima mkubali kujifunza kutoka Tanzania, ona unyama huu.
 
Hii ni ubaguzi wa rangi. Kwani hao waarabu wa Oman ni Mungu na sie wengine ni mashetani? Akili kama hizi ni za kitumwa sana.
 
Kama wewe sio masikini weka picha au idhibati yoyote uliyonayo bila kuanika sura yako.
 
That's why people are killed in South Africa and Kenya like flies
Japan, Norway, UK, Germany, China, Singapore, Qatar, Dubai and like, they feed you every year, still are among the most peaceful counties on Earth.

Nobody feeds us, we feed ourselves. We are not Bongolalas.
 
Learn to type in English first, then we can talk.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…