Kenya yafaulu kuuza maparachichi kwa mataifa 42, mwendo wa mbele kwa mbele, wakulima wetu hoyee

Kenya yafaulu kuuza maparachichi kwa mataifa 42, mwendo wa mbele kwa mbele, wakulima wetu hoyee

Data from the Directorate of Horticulture and the Avocado Society of Kenya shows that sales almost topped the total quantity sold last year.
Data za kupika
Mnauza parachichi na njaa hiyo mnakula nini,acha kutudanganya
 
Data za kupika
Mnauza parachichi na njaa hiyo mnakula nini,acha kutudanganya
(Mwaka 2016, wakulima wa Korosho waliwaomba wanunuzi wao wa nje kutoa kiasi cha fedha (ruzuku) ili iwasaidie kuzalisha zaidi. Wafanyabiashara hao walikubali na Wakulima kupitia chama chao cha ushirika walifunga mkataba na Tanzania Revenue Authority (TRA), ili wawakusanyie fedha hizo. (TRA) katika utaratibu wake, fedha hizo waliziita (Export Levy). Msimu wa mavuno 2017/2018, mavuno yao yaliwaingiza shilingi Trilioni moja na billioni miatatu (1,3 Trilioni). Mwaka 2018, serikali ilipitisha sheria ya kuchukuwa Export Levy (fedha za wakulima) kuwa mali yake.

Serikali pia ilidhibiti mashamba ya wakulima na maghala yao ikajitangaza kuwa mnunuzi pekee kwa bei watakayo. Mwisho wa tukio hilo wakulima walipata hasara kubwa na kuzidi kudidimia katika lindi la umaskini): Kwa muktadha huo kiwe chama kitakacho heshimu jitihada za wakulima chenye sera bora za kilimo na kuwasaidia Wakulima kupata pembejeo kwa bei nafuu na soko huru la kuuza mali zao.
 
Sawa! Endeleeni hivyo watu wa kutaka misifa. Mwenzenu mmoja nilikuwa naye katika nchi moja ya ulaya, na kama kawaida yenu akaanza kubwabwaja hiki na kile kwa wazungu kuhusu alichoona ni sifa na kwamba eti Kenya iko juu Africa kwa hiki na kile...waafrika tutakawa tunamshangaa na wazungu wengine wakawa wanainamisha vichwa chini.

Baada ya kumaliza nilimpa kavu kavu uchuro wa mkenya anayejisifu ulaya...hakuongea na Mimi karibu wiki mbili na mpaka tunaondoka
Ushahidi tafadhali
 
TU avokado huto tuko km vimapera vibichi ndo unapiga kelele hapa,nenda Mbeya pale ule avokado moja tu family nzima mtakula na kusaza, soko la ndani linatutosha nyie pakieni kwenda Europe hivo vitakataka.
 
Yaani wakulima wa Kenya huu ndio muda wa kutoka kimasomaso.
 
rudi shule mataga, hapa ni swala la wizara ya biashara kutengeneza mazingira ya wakulima kupata masoko ya parachichi nje ya nchi, swala la umiliki wa ndege halihusiki hapa kwasababu hata sasa kuna madege mliyoyapokea kwa kukata viuno ila madege yapo tu parking na tunatuma minofu ya samaki ulaya kwa kutumia Rwanda Air.
kwa hiyo funga bakuli lako kabisaaa wewe Chuchu sijui Zuchu.
Umeshapanic kichadema tayari.
 
Ajabu ni kuwa malori mengi yaliyokwama kwa sakata la corona Namanga na Horiri kutokea Moshi na Arusha yalikua na maparachichi.
Hayo Ni Yale maparachichi yaniashia soko la Marikiti...Tunakuza ya Export na Ku-import kutoka Tz for local consumption.
 


Mnapiga kelele sana kwa vitu vya kawaida sana kwetu


Apparently you do not know the difference between facts and anecdotes. I hope you noticed that, your anecdotes from companies that are massaging the egos of your hard headed leader are in conflict (2nd largest after Kenya, Third largest in africa) which is which? All data show Kenya is the largest producer in Africa, followed by south africa.
 
Apparently you do not know the difference between facts and anecdotes. I hope you noticed that, your anecdotes from companies that are massaging the egos of your hard headed leader are in conflict (2nd largest after Kenya, Third largest in africa) which is which? All data show Kenya is the largest producer in Africa, followed by south africa.
These guys are quoting the same sources partially...
 
Apparently you do not know the difference between facts and anecdotes. I hope you noticed that, your anecdotes from companies that are massaging the egos of your hard headed leader are in conflict (2nd largest after Kenya, Third largest in africa) which is which? All data show Kenya is the largest producer in Africa, followed by south africa.
Not producer, seller*

Since 90% are sourced from Tanzania
 
Bwahaha!!sasa mbona huyo jamaa wa iringa asiende akauze europe[emoji23][emoji23][emoji23]
Utakufa kw kijibwa cha moyo kuhusu hii ishu[emoji122][emoji122][emoji122]
Soma article vizuri, anauza ulaya na bado anawauzia ninyi
 
mtanzania ni mtz tu. Number mbili wapi!!! Data zote toka wikipidia na majarida yote ya kilimo duniani yaonyesha consistently bongalala hawepo hata top 50 duniani!!!

  1. Kenya: 28%
  2. Rwanda: 20%
  3. South Africa: 14%
  4. Cameroon: 8%
  5. DRC: 8%
  6. Ethiopia: 7%
  7. Côte d’Ivoire: 4%
  8. Morocco: 4%
  9. Madagascar: 3%
  10. Others: 4%
On worlds leading Avocado exporters by value, Mexico is ranked top in both production and export value. The total avocado production area in Mexico is around 415,520 acres, which produces 1.52 million metric tons every year.

Avocados exports by country totaled US$6 billion in 2017. That dollar value reflects a 141.2 percent increase for all avocados shippers over the five-year period starting in 2013. Globally, the value of exported avocados appreciated over a third (34.2 percent) from 2016 to 2017.

Below are the 15 countries that exported the highest dollar value worth of avocados during 2017.

  1. Mexico: US$2.9 billion (48.5% of total exported avocados)
  2. Netherlands: $803.6 million (13.4%)
  3. Peru: $580.4 million (9.7%)
  4. Chile: $457.5 million (7.6%)
  5. Spain: $343 million (5.7%)
  6. United States: $152.2 million (2.5%)
  7. New Zealand: $86.5 million (1.4%)
  8. Kenya: $78 million (1.3%)
  9. France: $70.4 million (1.2%)
  10. Israel: $64.6 million (1.1%)
  11. South Africa: $64.1 million (1.1%)
  12. Dominican Republic: $57.6 million (1%)
  13. Colombia: $52.9 million (0.9%)
  14. Morocco: $45.9 million (0.8%)
  15. Belgium: $44.8 million (0.7%)
Nimeweka latest reports ya 2020
Wewe unamiletea takataka za miaka ya 70s

Nani hajielewi?
 
Nina maswali mawili. La kwanza, Kenya na S.A wanakuza na kuuza maparachichi kwa wingi, yaani 'exports'. Takwimu za Kenya na S.A zinasomeka vizuri tu. Mnasema Tz inakuza na kuuza kwa wingi zaidi, inakuwaje takwimu zenu za 'production' na 'exports' hazi'reflect' hayo mnayoyasema? Pili, inakuwaje kwamba wakulima wa Kenya wanapokea pesa taslimu moja kwa moja kutoka kwa exporters(KES 9B, Jan-June) wakati mazao ni ya watz kama mnavyodai?
Sio tunasema
Nimekuwekea independent sources
Wazungu waliokishika hicho kilimo Kenya pamoja na masoko ndio wamesema

Usiniletee mimi makasiriko sababu hata hukifanya hivyo hautakuwa mzalishaji number 1 Africa.

Maswali yako yenyewe kama kindergarten 😅😅😅😅
 
Hii nchi tunapambana sio mchezo, shukrani za dhati ziwafikie wanaotafuta haya masoko maana hali inazidi kunoga kwa wakulima wetu.

Kenyan avocado exports hit a record high in the first half of 2020 with more than 58,400 tonnes sold to 42 countries, thanks to the Covid-19 pandemic.

Data from the Directorate of Horticulture and the Avocado Society of Kenya shows that sales almost topped the total quantity sold last year.

According to Avocado Society of Kenya Chief Executive Ernest Muthomi, the country earned more than Sh8 billion from the exports.

The Netherlands, a major fresh produce distribution hub in Europe remained the lead importer of Kenyan avocados with 16.3 million kilogrammes bought by June.

TOP IMPORTERS

Other top importers include Spain with 7.5 million kilogrammes, UAE (5.8 million kilogrammes), Russia (5.4 million kilogrammes), France (4.7 million kilogrammes) and Belgium (4.6 million kilogrammes)

======

Kenya earns Sh8bn from avocados as Covid-19 boosts exports

Kenyan avocado exports hit a record high in the first half of 2020 with more than 58,400 tonnes sold to 42 countries, thanks to the Covid-19 pandemic.

Data from the Directorate of Horticulture and the Avocado Society of Kenya shows that sales almost topped the total quantity sold last year.

According to Avocado Society of Kenya Chief Executive Ernest Muthomi, the country earned more than Sh8 billion from the exports.
The Netherlands, a major fresh produce distribution hub in Europe remained the lead importer of Kenyan avocados with 16.3 million kilogrammes bought by June.

TOP IMPORTERS
Other top importers include Spain with 7.5 million kilogrammes, UAE (5.8 million kilogrammes), Russia (5.4 million kilogrammes), France (4.7 million kilogrammes) and Belgium (4.6 million kilogrammes).

Mr Muthomi said there has been a growing demand for fruits during the pandemic where the avocado is being recommended for its high alkaline content.

“The high export numbers can also be attributed to an increase in avocado acreage and quality of the fruit being produced by our farmers. We are excited by the prospects of rising demand for the fruit,” Mr Muthomi said.

He said the average price of a four-kilogramme pack of hass avocados is Sh350 and is expected to hit Sh450 as supply in other parts of the world declines.

Mr Gideon Gitonga, an avocado farmer, said while demand had declined early in the year, more buyers were calling in to buy from him.
In the last six months, Kenya exported 45, 737 tonnes of avocado to the European market.

Kenya is ranked among the fastest growing avocado exporters in the world having overtaken South Africa in production.

Source: Daily Nation
from Njombe,Moshi,Arusha branded as kenyan Avocado anyway all is done because our leaders are busy with politics.
 
hahaha asilimia 90 ya Parachichi wanazoexport wanazitoa Tanzania.

Tanzania inaongoza Africa kwa uzalishaji wa Parachichi SA wenyewe wanakuja kuchukua Parachichi za exports kutoka Tanzania.


So Tanzania is exporting its Avocados to Kenya and South Africa, two of the leading avocados exporters in Africa, and yet same Tanzania is not even among the top Three Avocado exporters in Africa? Please help me understand this logic.
 
So Tanzania is exporting its Avocados to Kenya and South Africa, two of the leading avocados exporters in Africa, and yet same Tanzania is not even among the top Three Avocado exporters in Africa? Please help me understand this logic.
You are asking too much of him! Logic is not in his vocabulary or brain, he will suffer a mental breakdown if he even attempts to do what you have asked of him. His prefrontal cortex is not that developed to do complex analysis that is why he relies on twitter to get the news that confirms his bias ie. Not objective sources.
He has the IQ of a mole rat and the attention span of a retarded cockroach, do not bother his head with facts,his cranium is hard wired to reject anything factual.
 
So Tanzania is exporting its Avocados to Kenya and South Africa, two of the leading avocados exporters in Africa, and yet same Tanzania is not even among the top Three Avocado exporters in Africa? Please help me understand this logic.
Tupo number 2 in exporting (outside Africa) but number 1 in producing

Soma tweets zenye latest data
 
Back
Top Bottom