Kenya yafikiria kurejesha chanjo Urusi

Kenya yafikiria kurejesha chanjo Urusi

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Kampuni binafsi ya uagizaji chanjo ya Sputnik V nchini Kenya inafikiria kuzirudisha Urusi chanjo walizoagiza.

Hatua hii inakuja wiki moja baada ya wizara ya afya nchini humo kupiga marufuku uingizaji au usambazaji na ugawaji wa chanjo dhidi ya corona kutoka vituo binafsi.

Dominic Kariuki, naibu mkurugenzi wa mamlaka ya dawa amesema kampuni imewaandikia ili kuona uwezekano wa kuzirudisha chanjo hizo.

“Kampuni iko kwenye mchakato rasmi wa kuomba kurejesha.Barua tayari imeletumwa kwa bodi ya maduka ya dawa na sumu,” Bwana Kariuki ameliambia baraza la seneti.

Katibu kuu wa Afya, Rashid Aman alisema amepokea dozi ya kwanza ya chanjo na watapokea dozi ya pili baada ya wiki tatu.

“Hii itawahusu watu 527 pekee ambao walichanjwa kabla ya marufuku ya chanjo hizo kutangazwa,” Bwana Aman alisema.

Shirika la Afya Duniani limependekeza kuwa chanjo zisichanganywe.
 
Kampuni binafsi ya uagizaji chanjo ya Sputnik V nchini Kenya inafikiria kuzirudisha Urusi chanjo walizoagiza.

Hatua hii inakuja wiki moja baada ya wizara ya afya nchini humo kupiga marufuku uingizaji au usambazaji na ugawaji wa chanjo dhidi ya corona kutoka vituo binafsi.

Dominic Kariuki, naibu mkurugenzi wa mamlaka ya dawa amesema kampuni imewaandikia ili kuona uwezekano wa kuzirudisha chanjo hizo.

“Kampuni iko kwenye mchakato rasmi wa kuomba kurejesha.Barua tayari imeletumwa kwa bodi ya maduka ya dawa na sumu,” Bwana Kariuki ameliambia baraza la seneti.

Katibu kuu wa Afya, Rashid Aman alisema amepokea dozi ya kwanza ya chanjo na watapokea dozi ya pili baada ya wiki tatu.

“Hii itawahusu watu 527 pekee ambao walichanjwa kabla ya marufuku ya chanjo hizo kutangazwa,” Bwana Aman alisema.

Shirika la Afya Duniani limependekeza kuwa chanjo zisichanganywe.
Wakenya mafala sana, wanaangaika utadhani corona ni yao.
 
Hahahahah 🤣🤣🤣
MK254 njoo useme neno hapa

Mtatafuta kila taarifa za kujifariji huo ujuha wenu wa kijekentile wa kupingana na sayansi, lakini bado mtaambulia sifuri.....hapa nasubiri kwa hamu zamu yangu ya kuchanjwa ifike. Kwanza mjue waislamu wenu hawatakwenda kuhiji bila chanjo.
Nawashangaa sana, yaani mumepoteza hadi rais lakini bado mnaendeleza ujuha, yaani duniani kote nyie tu na Burundi ndio mumepoteza marais, hao Burundi waliiga ujuha huu wenu yakawakuta, pale marehemu rais wao alisema kwao hakuna corona imeisha kwa maombi......hehehehe mnachekesha sana.
 
Kampuni binafsi ya uagizaji chanjo ya Sputnik V nchini Kenya inafikiria kuzirudisha Urusi chanjo walizoagiza.

Hatua hii inakuja wiki moja baada ya wizara ya afya nchini humo kupiga marufuku uingizaji au usambazaji na ugawaji wa chanjo dhidi ya corona kutoka vituo binafsi.

Dominic Kariuki, naibu mkurugenzi wa mamlaka ya dawa amesema kampuni imewaandikia ili kuona uwezekano wa kuzirudisha chanjo hizo.

“Kampuni iko kwenye mchakato rasmi wa kuomba kurejesha.Barua tayari imeletumwa kwa bodi ya maduka ya dawa na sumu,” Bwana Kariuki ameliambia baraza la seneti.

Katibu kuu wa Afya, Rashid Aman alisema amepokea dozi ya kwanza ya chanjo na watapokea dozi ya pili baada ya wiki tatu.

“Hii itawahusu watu 527 pekee ambao walichanjwa kabla ya marufuku ya chanjo hizo kutangazwa,” Bwana Aman alisema.

Shirika la Afya Duniani limependekeza kuwa chanjo zisichanganywe.
Ndio ujue hii ni biashara na kuna ulaji mzito ndani yake
 
Kenya na korona wanatumia nguvu nyiiingi lakini output ni sifuri..
 
Mtatafuta kila taarifa za kujifariji huo ujuha wenu wa kijekentile wa kupingana na sayansi, lakini bado mtaambulia sifuri.....hapa nasubiri kwa hamu zamu yangu ya kuchanjwa ifike. Kwanza mjue waislamu wenu hawatakwenda kuhiji bila chanjo.
Nawashangaa sana, yaani mumepoteza hadi rais lakini bado mnaendeleza ujuha, yaani duniani kote nyie tu na Burundi ndio mumepoteza marais, hao Burundi waliiga ujuha huu wenu yakawakuta, pale marehemu rais wao alisema kwao hakuna corona imeisha kwa maombi......hehehehe mnachekesha sana.
Rais mpya wa Burundi hata msibani kule Chato hakuhudhuria.
 
Mtatafuta kila taarifa za kujifariji huo ujuha wenu wa kijekentile wa kupingana na sayansi, lakini bado mtaambulia sifuri.....hapa nasubiri kwa hamu zamu yangu ya kuchanjwa ifike. Kwanza mjue waislamu wenu hawatakwenda kuhiji bila chanjo.
Nawashangaa sana, yaani mumepoteza hadi rais lakini bado mnaendeleza ujuha, yaani duniani kote nyie tu na Burundi ndio mumepoteza marais, hao Burundi waliiga ujuha huu wenu yakawakuta, pale marehemu rais wao alisema kwao hakuna corona imeisha kwa maombi......hehehehe mnachekesha sana.
Marekani Trump aliumwa corona na Uingereza pia Waziri mkuu Boris aliumwa corona, wangekufa ungesemaje?
 
Marekani Trump aliumwa corona na Uingereza pia Waziri mkuu Boris aliumwa corona, wangekufa ungesemaje?

Hiyo sio mifano mizuri.

Boris Johnson alipoponea tundu la sindano alirudi na adabu kubwa sana akatia lockdown ya nguvu UK na kusisitiza kila kinga itumike kuanzia barakoa, S distancing nk. Aliacha ubishi kabisa.

Trump hakuugua; alipata maambukizi tu akaji-isolate. Lakini kwa uhuni, yeye na familia yake wakachanja kwa siri mapema akiwa bado Rais White House huku akiendelea kuiponda corona hadharani mbele ya wafuasi wake! Majuzi tu kaamua kuwasisitizia wafuasi wake wachanje, eti “it’s safe, it’s working!”
 
Marekani Trump aliumwa corona na Uingereza pia Waziri mkuu Boris aliumwa corona, wangekufa ungesemaje?

Wao waliumwa ila kwa vile wana akili, hawakuficha, wakaanza kutibiwa mapema.
Corona ukigundua unayo, kabla haijawahi kwenye mapafu, unaipiga vita fasta tu. Lakini ikishafika huko, hamna namna ila kulazwa upumulie mashini na ole wako ikukute una matatizo mengine kama ya moyo vile, ndio basi.
 
Wao waliumwa ila kwa vile wana akili, hawakuficha, wakaanza kutibiwa mapema.
Corona ukigundua unayo, kabla haijawahi kwenye mapafu, unaipiga vita fasta tu. Lakini ikishafika huko, hamna namna ila kulazwa upumulie mashini na ole wako ikukute una matatizo mengine kama ya moyo vile, ndio basi.
🙏🙏🙏
 
Mtatafuta kila taarifa za kujifariji huo ujuha wenu wa kijekentile wa kupingana na sayansi, lakini bado mtaambulia sifuri.....hapa nasubiri kwa hamu zamu yangu ya kuchanjwa ifike. Kwanza mjue waislamu wenu hawatakwenda kuhiji bila chanjo.
Nawashangaa sana, yaani mumepoteza hadi rais lakini bado mnaendeleza ujuha, yaani duniani kote nyie tu na Burundi ndio mumepoteza marais, hao Burundi waliiga ujuha huu wenu yakawakuta, pale marehemu rais wao alisema kwao hakuna corona imeisha kwa maombi......hehehehe mnachekesha sana.
Dah yamekuwa hayo tena mkuu
 
Dah yamekuwa hayo tena mkuu

Maana nyuzi zimerindima za Watanzania za kuponda chanjo, ilhali duniani watu mamilioni wanaendelea kuchanjwa.
Corona mlisema imebuniwa kuwakwamisha kiuchumi, sasa chanjo mnasema ipo ili iwazuie Watanzania kuzaa hehehe
 
Maana nyuzi zimerindima za Watanzania za kuponda chanjo, ilhali duniani watu mamilioni wanaendelea kuchanjwa.
Corona mlisema imebuniwa kuwakwamisha kiuchumi, sasa chanjo mnasema ipo ili iwazuie Watanzania kuzaa hehehe
Hatupondi chanjo tuna subiri nyinyi panya wa majaribio mchomwe,baada ya kujiridhisha sio ndio tutaagiza.

Tatizo nyinyi sometimes mnakurupuka,South aliagiza chanjo za Astrazaneca kabla ya kuzitumia akazipima akaona hazina ufanisi kwa varint walio kuwa nayo,akaagizia nyingine.

Nyie mmeichukua kama ilivyo mkaanza kuchomana.
 
Hatupondi chanjo tuna subiri nyinyi panya wa majaribio mchomwe,baada ya kujiridhisha sio ndio tutaagiza.

Tatizo nyinyi sometimes mnakurupuka,South aliagiza chanjo za Astrazaneca kabla ya kuzitumia akazipima akaona hazina ufanisi kwa varint walio kuwa nayo,akaagizia nyingine.

Nyie mmeichukua kama ilivyo mkaanza kuchomana.
Hapo lilipo halijawahi kupima kirusi, halijafanya juhudi zozote za kwenda kutafuta chanjo yaani lipo lipo tu.

Halafu ni kama Africa inatumika kama guinea pig bila kujijua...niliona Umoja wa Africa wanaachana na chanjo ya Astrazaneca wanaagiza za Johnson huko kukiwa na maana ya kuwa chanjo ya Astrazaneca imeshindwa kukinga.

Ya Johnson nayo ikishindwa kukinga wataagiza aina nyingine...yaani Africa tunatumika kama guinea pig bila kujijua hadi pale chanjo inayo kinga itapo patikana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom