Kenya yahitimisha IAAF U-18 kwa medali 15, ila majirani walikuja kusindikiza tu

Kenya yahitimisha IAAF U-18 kwa medali 15, ila majirani walikuja kusindikiza tu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hongera sana kwa mashujaa wetu kwa kutia bidii na kuhakikisha bendera ya nchi yetu imezidi kupepea. Nchi yetu imezoa medali 15 na kuwa namba nne, ambapo namba moja ilinyakuliwa na Afrika Kusini, ikafuatiwa na China, Cuba halafu Kenya.

Sijui nini kifanyike kwa majirani zetu ndani ya EAC maana hawasikiki kabisa, hawakushinda hata medali moja ya shaba. Sijui kwao labda hamna wizara zinazohusiana na mambo ya michezo au nini.
Yaani huko kwao mambo ya michezo ni zero kabisa, hawatilii maanani wala nini na kila wakitajiwa mambo kama haya huwa hawakawii kutiririka kwa povu na kujitetea kwa kujaza picha za Kibera kwenye server za JF.

Juzi hata kwenye mpira wa miguu imebidi timu zetu zikachezee fainali huko kwao baada ya kuzipa kichapo cha mbwa timu zao tena kwao.

Hii hapa orodha yote

1. South Africa 5 3 3 11
2. China 5 2 4 11
3. Cuba 5 2 1 8
4. Kenya 4 7 4 15

5. Ethiopia 4 3 5 12

6. Germany 3 5 5 13

7. Jamaica 3 2 3 8
8. France 2 1 4 7

9. Ukraine 2 1 2 5

10. Turkey 1 1 1 3

11. Spain 1 1 0 2

11. Ecuador 1 1 0 2

13 Brazil 1 0 1 2

14. Czech Republic 1 0 0 1

14. Chile 1 0 0 1

16. Poland 0 2 0 2

17. Authorised Neutral Athlete 0 1 1 2

17. Belarus 0 1 1 2

19. Chinese Taipei 0 1 0 1

19. Latvia0 1 0 1

19. India 0 1 0 1

19. Cyprus 0 1 0 1

19. Bulgaria 0 1 0 1

19. Guyana 0 1 0 1

25 Romania 0 0 1 1

25. Turks And Caicos Islands 0 0 1 1

25. Colombia 0 0 1 1

25. Lithuania 0 0 1 1

1598097_0.jpg


Kenya finishes 4th as curtain falls on IAAF U-18
 
Hehehehe,wawekewe sport ya wivu,trolling na using the phrase "wataisoma namba" hapo watachukua all the gold,but saii labda washinde mbao,mawe na karatasi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tho tusisahau when it comes to singing they good

Post sent using JamiiForums mobile app
 


Man this video just drove up all my excitement hormones, the dopamine, oxytocin, serotonin and endorphins all went up at once, the cheering is wild and crazy, watching Kenyans dominate steeplechase by seizing number one and two..... and finally running with our flag raised high amidst all the cheering.
 
Tho tusisahau when it comes to singing they good

Post sent using JamiiForums mobile app
Kumbe unalifaham hilo eenh! Safi sana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Kumbe unalifaham hilo eenh! Safi sana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Umecheki youtube videos zenyu vile wakenya tunapenda kumark register

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tuliogopa wasije kutufanyia kama yaliyotokea west gate maana tunajua askari wenu ni incompetent wazee wa kuiba mikate kwahyo don't blame us ...thus why hata ukiangalia mashindano yenyewe yalikuwa kama ya kijiji
 
Sasa tukimbie halaf iweje nyie kimbieni tu maana inabidi muwe sawa mda wowote huko mauza uza mengi
 
Hongera sana kwa mashujaa wetu kwa kutia bidii na kuhakikisha bendera ya nchi yetu imezidi kupepea. Nchi yetu imezoa medali 15 na kuwa namba nne, ambapo namba moja ilinyakuliwa na Afrika Kusini, ikafuatiwa na China, Cuba halafu Kenya.

Sijui nini kifanyike kwa majirani zetu ndani ya EAC maana hawasikiki kabisa, hawakushinda hata medali moja ya shaba. Sijui kwao labda hamna wizara zinazohusiana na mambo ya michezo au nini.
Yaani huko kwao mambo ya michezo ni zero kabisa, hawatilii maanani wala nini na kila wakitajiwa mambo kama haya huwa hawakawii kutiririka kwa povu na kujitetea kwa kujaza picha za Kibera kwenye server za JF.

Juzi hata kwenye mpira wa miguu imebidi timu zetu zikachezee fainali huko kwao baada ya kuzipa kichapo cha mbwa timu zao tena kwao.

Hii hapa orodha yote

1. South Africa 5 3 3 11
2. China 5 2 4 11
3. Cuba 5 2 1 8
4. Kenya 4 7 4 15

5. Ethiopia 4 3 5 12

6. Germany 3 5 5 13

7. Jamaica 3 2 3 8
8. France 2 1 4 7

9. Ukraine 2 1 2 5

10. Turkey 1 1 1 3

11. Spain 1 1 0 2

11. Ecuador 1 1 0 2

13 Brazil 1 0 1 2

14. Czech Republic 1 0 0 1

14. Chile 1 0 0 1

16. Poland 0 2 0 2

17. Authorised Neutral Athlete 0 1 1 2

17. Belarus 0 1 1 2

19. Chinese Taipei 0 1 0 1

19. Latvia0 1 0 1

19. India 0 1 0 1

19. Cyprus 0 1 0 1

19. Bulgaria 0 1 0 1

19. Guyana 0 1 0 1

25 Romania 0 0 1 1

25. Turks And Caicos Islands 0 0 1 1

25. Colombia 0 0 1 1

25. Lithuania 0 0 1 1

1598097_0.jpg


Kenya finishes 4th as curtain falls on IAAF U-18
Sasa Unataka wote tukimbie?
By the Way mlicheza fainali gani Tanzania?
 
Tuliogopa wasije kutufanyia kama yaliyotokea west gate maana tunajua askari wenu ni incompetent wazee wa kuiba mikate kwahyo don't blame us ...thus why hata ukiangalia mashindano yenyewe yalikuwa kama ya kijiji

Mliogopa nini wakati hata mabwana zenu Wajerumani waliowakoloni walikuwemo na tukawashinda.
 
Hehehehe,wawekewe sport ya wivu,trolling na using the phrase "wataisoma namba" hapo watachukua all the gold,but saii labda washinde mbao,mawe na karatasi

Post sent using JamiiForums mobile app

Una maanisha watz au waGanda?
 
Sawa nyie mnawakilisha EAC kwa mbio na mpira. Hongereni sana.

Na sie tunawakilisha EAC kwa mziki mzuri na kuchukua tuzo mbalimbali.

Mrs Van
 
Tanzania sent two athletes on for 200m the other one for 1500m, looking at them in the medal standings, they are no where to be found, hahahaha
 
Man this video just drove up all my excitement hormones, the dopamine, oxytocin, serotonin and endorphins all went up at once, the cheering is wild and crazy, watching Kenyans dominate steeplechase by seizing number one and two..... and finally running with our flag raised high amidst all the cheering.


We rock in sports events
 
Haya michezo imekweisha rudini kwenye mpambano wa uchaguzi.

Uhuru Kenyatta anatoshaaaa tena , wajaluo wakajifunze kuoga kwanza
 
Back
Top Bottom