Kenya yahitimisha IAAF U-18 kwa medali 15, ila majirani walikuja kusindikiza tu

Kenya yahitimisha IAAF U-18 kwa medali 15, ila majirani walikuja kusindikiza tu

Kwan ninyi kenyan mmewaona watz tuu huko? Walikuwwpo waganda warwanda burund n.k mbona hamuwatolei povu lenu? Au kwa vile tz ndo vidume vyenu lazima mtusakame. Sawa mmeshinda nendeni mkachinjane sasa.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mliogopa nini wakati hata mabwana zenu Wajerumani waliowakoloni walikuwemo na tukawashinda.
Naona unaabudu sana wakoloni! Nikukumbushe tu kuwa Tanzania imepitia ukoloni wa wakoloni watatu!

Wajerumani
Waingereza
Waarabu!
 
Naona unaabudu sana wakoloni! Nikukumbushe tu kuwa Tanzania imepitia ukoloni wa wakoloni watatu!

Wajerumani
Waingereza
Waarabu!

Hilo nalijua, kwanza Waarabu ndio waliwatafuna hadi mkakaa, tatizo ndio waliwaachia tamaduni zao nyingi hadi mnavyokunya.
 



Don't forget we beat Senegal 45-25 this weekend at the Impala grounds rugby tournament
 
Hilo nalijua, kwanza Waarabu ndio waliwatafuna hadi mkakaa, tatizo ndio waliwaachia tamaduni zao nyingi hadi mnavyokunya.
Mbona nyinyi mnatafunwa na Waingereza mpaka kesho. Wanakalia ardhi yenu, wameweka jeshi lao, lugha ndio hata hamjuwi muanzie wapi.
 
Hilo nalijua, kwanza Waarabu ndio waliwatafuna hadi mkakaa, tatizo ndio waliwaachia tamaduni zao nyingi hadi mnavyokunya.
Wametutafuna hawajatutafuna that's history! Plus jaribu kutumia tafsida maana wewe ni mtu mzima, hayo maneno yenye ukakasi nilitegemea yatamkwe na vijana wadogo sio wewe!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Wametutafuna hawajatutafuna that's history! Plus jaribu kutumia tafsida maana wewe ni mtu mzima, hayo maneno yenye ukakasi nilitegemea yatamkwe na vijana wadogo sio wewe!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.

Mliiga kila kitu cha waarabu hadi uzembe wao, bora hata mngewafuata Wajerumani au Waingereza.
 
Mbona nyinyi mnatafunwa na Waingereza mpaka kesho. Wanakalia ardhi yenu, wameweka jeshi lao, lugha ndio hata hamjuwi muanzie wapi.

Sasa nyie wakati inafahamika mumebaki mahandaki matupu, kwanza mnaliwa na watu wa jamii aina nyingi akiongoza Muingereza, Mchina, Mhindi, Mwarabu na Msouth Afrika na pia sisi tupo humo kwenye hayo makinikia lazima tule kwa sahani moja.
 
Mliiga kila kitu cha waarabu hadi uzembe wao, bora hata mngewafuata Wajerumani au Waingereza.
Ni bora ukasome tena biology, kitu ambacho kinaweza kutoka kizazi na kizazi ni hereditary trait pekee! Uzembe sio hereditary trait!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Sasa nyie wakati inafahamika mumebaki mahandaki matupu, kwanza mnaliwa na watu wa jamii aina nyingi akiongoza Muingereza, Mchina, Mhindi, Mwarabu na Msouth Afrika na pia sisi tupo humo kwenye hayo makinikia lazima tule kwa sahani moja.

😀😀😀 Vipi ACACIA wamewalipa zile mabilioni, this danganyikans manze, they have been eaten left right and centre, I noticed Kenyans are buying land in Tz by the way lol, wameliwa kweli kweli
 
😀😀😀 Vipi ACACIA wamewalipa zile mabilioni, this danganyikans manze, they have been eaten left right and centre, I noticed Kenyans are buying land in Tz by the way lol, wameliwa kweli kweli

Hawa jamaa juzi wameng'aka kuhusu ACACIA nikajua kunalo watafanya kweli, wapi wameishia na sheria inayoongeza mirahaba kutoka 4% hadi 6% halafu kicheko, ACACIA wakajibu kwamba watalipa hizo asilimia 2% walizoongeza.
Cha kushangaza nakumbuka walikua wanasema hao ACACIA hawajasajiriwa, kwamba sio kampuni na vijimambo vingi, wametulizwa tulii na kuendelea kung'atwa tu kama kawaida.
 
Sasa nyie wakati inafahamika mumebaki mahandaki matupu, kwanza mnaliwa na watu wa jamii aina nyingi akiongoza Muingereza, Mchina, Mhindi, Mwarabu na Msouth Afrika na pia sisi tupo humo kwenye hayo makinikia lazima tule kwa sahani moja.
Wahindi wanakula Kenya kama wenda wazumu, Waingereza wanaimiliki Kenya milele. Sasa mchina amekuja kumaliza kazi, wakenya mjitaarishe kisaikolojia kuomba ukimbizi South Sudan, Uganda na Tanzania. Yule waziri wa ulizi wa China alikuja kufanya nini tena? ogopa hela ya mchina.
 
Wahindi wanakula Kenya kama wenda wazumu, Waingereza wanaimiliki Kenya milele. Sasa mchina amekuja kumaliza kazi, wakenya mjitaarishe kisaikolojia kuomba ukimbizi South Sudan, Uganda na Tanzania. Yule waziri wa ulizi wa China alikuja kufanya nini tena? ogopa hela ya mchina.

Hehehe!! Vipi yule kalasinga mlisema Mkenya ambaye amewatafuna hadi mifupa, naomba musimhangaishe sana..... ni 'ndugu' wetu, si nyie ndio huwa mnapenda kuitana 'ndugu'.
 
Hehehe!! Vipi yule kalasinga mlisema Mkenya ambaye amewatafuna hadi mifupa, naomba musimhangaishe sana..... ni 'ndugu' wetu, si nyie ndio huwa mnapenda kuitana 'ndugu'.
Singa singa alizaliwa na kukulia Iringa Tanzania, alijifunza wizi baada ya kuja kuishi kwenye nyumba ya majizi [Kenya]. Sisi hatuna aibu na watu kama hao, atanyea debe tuu hakuna namna nyingine. Mnaweza kujifunza kutoka kwetu maana najua huko kwenu majizi kama haya mnayaonea huruma na aibu.
 
Singa singa alizaliwa na kukulia Iringa Tanzania, alijifunza wizi baada ya kuja kuishi kwenye nyumba ya majizi [Kenya]. Sisi hatuna aibu na watu kama hao, atanyea debe tuu hakuna namna nyingine. Mnaweza kujifunza kutoka kwetu maana najua huko kwenu majizi kama haya mnayaonea huruma na aibu.

Waapi, kama mpo serious mfanye kweli sio cherry picking na kuogopa makaburi fulani mkifukua mengine. Huyo singa singa hakula mwenyewe, sasa mumeishia maigizo ya kumfanya apige goti pamoja na Rugemalila wakati pembeni mafisi waliokula wamekaa wanatazama show.
 
Back
Top Bottom