Waapi, kama mpo serious mfanye kweli sio cherry picking na kuogopa makaburi fulani mkifukua mengine. Huyo singa singa hakula mwenyewe, sasa mumeishia maigizo ya kumfanya apige goti pamoja na Rugemalila wakati pembeni mafisi waliokula wamekaa wanatazama show.
Wakenya na waomani wanakula Tanzania kama wenyeji.Hehehe!! Vipi yule kalasinga mlisema Mkenya ambaye amewatafuna hadi mifupa, naomba musimhangaishe sana..... ni 'ndugu' wetu, si nyie ndio huwa mnapenda kuitana 'ndugu'.
Mi nadhani itakua ni PhotoshopHujo jamaa kwenye picha ni binadamu ama skeleton
Hehehe,acha zako wewe!
Kumbe hata hujui kipi kinaendelea? Nenda kwenye website yao upate majibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]πππ Vipi ACACIA wamewalipa zile mabilioni, this danganyikans manze, they have been eaten left right and centre, I noticed Kenyans are buying land in Tz by the way lol, wameliwa kweli kweli
Vipi ile ardhi ya Kenyatta anasemaje kuwagawia maskini wanaokosa sehemu ya kulima? Maana huyu jamaa na baba yake wanawatafuna nyie mnaangalia kwa jirani tu!Hehehe!! Vipi yule kalasinga mlisema Mkenya ambaye amewatafuna hadi mifupa, naomba musimhangaishe sana..... ni 'ndugu' wetu, si nyie ndio huwa mnapenda kuitana 'ndugu'.
Mahindi ya zambia yamewasili hapo kenya?vp kuhusu tz medals?