Hakuna anaye hodhi 'quality of knowledge', hili ndilo unaloshindwa kulielewa. Kuwa na digrii hata kumi hakuongezi 'quality' of knowledge' katika mambo yoteMakongamano in research methodology ni sawa interview quality ya michango inategemea na level of knowledge ya wachangiaji.
Ndugu maamuzi ya biashara na uchumi yana angle nyingi.Wewe Huwa unadhani una akili kushinda woote ,huu nao ni aina ya ugonjwa wa akili 😆😆
Mwisho hakuna maslahi binafsi ya mfanyabiashara yatakuwa mbele at expense ya maslahi ya Nchi tena mfanyabiashara mwenyewe atanufaisha jirani.
Ndugu quality strategic decision ni data and use of data to interpret finding ndioresearch. Iwe ni days za ndani ya kampuni, za soko au za serikali.Hakuna anaye hodhi 'quality of knowledge', hili ndilo unaloshindwa kulielewa. Kuwa na digrii hata kumi hakuongezi 'quality' of knowledge' katika mambo yote
Duh! Sasa hata unaingiza vi-'lecture' mshamba kuhusu 'Research methodology'; katika nini? EeeenHeeeee! Wewe jamaa hunishangaza sana mara nyingi humu JF.
Mkuu, 'strategic planning' ya kitu gani hasa; biashara? shipping, trade; na matakataka chungu nzima humoooo!Strategic planning ni data za serikali sio upuuzi mwingine, wanaitana kwa masaa ukumbi imejaa halafu asilimia 90% ya michango ukisikiliza upuuzi mtupu
Kazi kweli kweliMkuu, 'strategic planning' ya kitu gani hasa; biashara? shipping, trade; na matakataka chungu nzima humoooo!
'Strategic Planning' ya serikali siyo ya jambo moja tu unalolijuwa wewe pekee? Ni ujumla wa mambo mengi sana, mengine hata ya mahali pa kupitisha vinyesi na uchafu mwingine ili wananchi wasidhurike.
Sasa, kama unazungumzia 'strategic planning' (sijui kwa nini lazima iwe 'strategic') ya maswala ya biashara, usidhani ni hizo digrii za biashara pekee ndizo zinazohitajika kufanya kazi hiyo ya 'planning' huko. Kuna 'diversity' ya watumiaji katika eneo hilo pia; kila mtumiaji wa huduma hiyo anazo 'perspective' zake na uzoefu wake. Huwezi kung'ang'aniza tu uliyosoma darasani kwako ndio uwe mwongozo wa sekta hiyo.
Bahati nzuri maswala ya matumizi ya 'data' na namna ya kuzipata siyo jambo unaloweza kunivunga juu yake, kwa maana hiyo ni sehemu ya maisha yangu kwa muda mrefu; hata kama siyo hizo 'data' za uchumi/biashara zinazokutia kiwewe wewe.Shida yako ni kudhania vitu kutoka kichwani kwako badala ya kufahamu how things work in the world
Sasa kama uelewi data za biashara na uchumi zinavyokuwa interpreted kwenye maamuzi ya sera za tunajadili kitu gani.Bahati nzuri maswala ya matumizi ya 'data' na namna ya kuzipata siyo jambo unaloweza kunivunga juu yake, kwa maana hiyo ni sehemu ya maisha yangu kwa muda mrefu; hata kama siyo hizo 'data' za uchumi/biashara zinazokutia kiwewe wewe.
Kwa hiyo usifikiri unajadili hapa na mtu asiye elewa chochote. Ninapo kusoma, na kuona unavyo hangaika na kujipa ujuaji mwingi, naelewa tu kwamba hiyo ni hulka ya usomi wanayokuwa nayo watu wengi, hasa wale wanaodandia hizi fani kwa bahati bahati tu.
Wewe unapozungumzia mambo ya biashara/uchumi, pamoja na kuwa sina uzoefu wa maeneo hayo, lakini naelewa unachozungumzia, na wala sioni cha ajabu unacho dhani wengine hawawezi kukifahamu.
Watu wanachagua fani/maeneo na kuyaacha mengine, siyo kwa sababu hawawezi kuyamudu hayo unayofikiri wewe pekee ndiye mwenye uwezo wa kuyamudu.
Sasa kwani wewe huoni kuwa kuna uhusika wa 'economics' katika kushughulikia maswala ya kinyesi? Ndiyo maana ninakwambia kuwa upo 'narrow minded'; unategemea sana elimu ya kukariri vitabuni zaidi kuliko matumizi ya elimu hiyoKazi kweli kweli
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
National economic policies (strategic planning), tena ishakuwa na hadithi za kutolea kinyeshi kwani hii mada inazungumzia strategic planning ya kujenga sewage system au urban planningstrategic planning ya kujenga sewage system au urban planning.
Kwenye kichwa chako kila hoja inafaa kokotę.
Maamuzi ya uchumi, biashara na policies (sera) zake ni data husika, na hakuna credible source kama data za serikali.
👋
Tanzania ssis ni watu wa ajabu sana..Kitu Gani Kenya anafanya amabacho hatuwezi kukop na kuwavutia watu wa Rwanda,,Congo na bUrundi ilibkutumia Bandari zetu??Nchi ya Kenya Kupitia Mgongo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC inafanya juhudi kubwa ya kuishinikiza na kuihujumu Tanzania Kwa kuwarubuninkina Rwanda,Burundi na DRC Ili kufungua njia Mpya ya usafiri wa barabara.
Ushoroba unaopigiwa chapuo na Kenya ni WA Central Corridor ambao unaanzia Barabara ya Kutoka Mombasa-Voi-Taveta/Holili-Arusha-Singida Hadi Bujumbura via Kahama kwamba itapunguza umbali wa Transit goods Kwa zaidi ya km 350 badala ya Ushoroba wa Northern Corridor wa kutoka Mombasa-Kampala-Kigali Hadi Rwanda/DRC.
Lengo la Kenya sio kuwasaidia wasafirishaji Bali ni kuua Bandari ya Dar na kupokonya Wateja wa Tanzania ambao ni Rwanda,Burundi na Kaskazini mwa DRC ambao wanatumia Njia ya kuanzia Bandari ya Dar-Moro-Dodoma-Singida-Kahama Hadi Nchi hizo.
Naomba Serikali isikubali Kufa ya jambo hili Kwa Kisingizio Cha mtengamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na kukuza biashara maana itapunguza zaidi ya robo ya mizigo Bandari ya Dar na kuifaidisha Mombasa.
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1817152138822246778?t=RN3quU6xyzkIhdhRJi3zmw&s=19
My Take: Kama Wakenya Wana hamu sana ya Kutumia njia hiyo ni Bora Serikali iwaeleze kwamba itafungua njia hiyo mara baada ya kukamilisha ujenzi wa njia zifuatazo:
1. Kupanua kina na kununua vifaa vya Kisasa Bandari ya Tanga.
2. Kujenga Barabara ya Kutoka Tanga-Handeni-Kibaya-Chemba-Singida
3. Kujenga SGR ya kutoka Tanga-Same-Arusha-Musoma
4. Kujenga na kuimarisha Bandari ya Musoma pamoja na kununua meli ya kubeba treni/behewa za mizigo.
Tukifanya hayo ndio Sasa tutaweza kushindana vizuri na Bandari ya Mombasa vinginevyo itakuwa ni kujitia dole mwenyewe na kupoteza pambano la Biashara ya logistics Kwa knockout.
@) Greenline ndio WaKenya wanapigia chapuo.
b) Blueline ndio njia proposed ya Serikali Kujenga.
View attachment 3054817
===========
Transporters accuse Tanzania of laxity in geofencing the Arusha-Singida road, which forms part of the Northern Corridor, but some observers blame it on the insidious competition for business between Mombasa and Dar es Salaam ports.
If the corridor increases efficiencies, importers and exporters in some parts of Tanzania, Burundi and DRC might prefer Mombasa to Dar es Salaam as their port of choice.
Transporters between Mombasa and Bujumbura are yet to fully utilise the Voi-Taveta/Holili-Arusha-Singida road network, part of the trunk road between the two cities, because Tanzania is yet to geofence the Arusha-Singida stretch.
A road is geofenced when it has inspection points, and cargo passing through it can be tracked electronically for taxation and to avoid dumping of goods.
Geofencing guards against theft and loss of cargo while in transit.
The highway, covering 1,545km, was completed in 2018, and is meant to reduce the transit distance from Mombasa to Bujumbura on the Northern Corridor by 358 kilometres.
“We are caught up between the regional ports scramble for business, and that is why we can’t ferry goods past the Taveta One-Stop Border Point, as, past there, the goods would not be tracked and would therefore be declared stolen,” explained Hamisi Juma, a Mombasa transporter.
The Citizen
Nani kawambia hajui 'interpretation ya data', siyo hizo tu za kiuchumi. Data ni data tu.Sasa kama uelewi data za biashara na uchumi zinavyokuwa interpreted kwenye maamuzi ya sera za tunajadili kitu gani
Ok hoja yako inahusiana vipi na mada husika wakenya kutaka access ya barabara Tanzania ili waweze kupeleka mizigo maeneo mengine ya trade block kurahisisha free movements of goods on the region.Sasa kwani wewe huoni kuwa kuna uhusika wa 'economics' katika kushughulikia maswala ya kinyesi? Ndiyo maana ninakwambia kuwa upo 'narrow minded'; unategemea sana elimu ya kukariri vitabuni zaidi kuliko matumizi ya elimu hiyo
You live on your own little bubble, whereby everything you think adds up in any argument.Nani kawambia hajui 'interpretation ya data', siyo hizo tu za kiuchumi. Data ni data tu.
Hebu rudi nyuma uone ulivyo upanua mjadala wenyewe wewe mwenyewe hapo!Mada inajadili sera za uchumi wa regional blocks (free movements of goods). Wewe Una introduce mambo yasiyo husika nje ya mjadala; halafu unataka tujadili hayo mambo yako.
Mtu mzima hovyo kweli
Miaka 60 ya uhuru bado mnaangaika na Matundu ya choo hilo la hiyo highway huwezi kulielewa ...kwa ufupi mmeshindwa nje na ndani....tokeni huko juuWewe mwenye mawazo ya kitajiri na upepo mkubwa kafungue hiyo route
Salaleh mimi tena ndio nime-introduce new sub topics kwenye huu mjadala.Hebu rudi nyuma uone ulivyo upanua mjadala wenyewe wewe mwenyewe hapo!
Unless uwe hujui unacho kiandika.
Toka mwanzo, soma vizuri maelezo yako, kama utaona umejikita kwenye mjadala huo unaoutaja sasa hivi.
Wewe umewazungumzia akina Kitila, Mafuru katika hoja hii hii unayoiweka sasa au umeipanua na kuruhusu taka zote ziingie?Ok hoja yako inahusiana vipi na mada husika wakenya kutaka access ya barabara Tanzania ili waweze kupeleka mizigo maeneo mengine ya trade block kurahisisha free movements of goods on the region.
Hoja ni ku shorten distance wew unaongelea stori za kukopi na ku paste.Tanzania ssis ni watu wa ajabu sana..Kitu Gani Kenya anafanya amabacho hatuwezi kukop na kuwavutia watu wa Rwanda,,Congo na bUrundi ilibkutumia Bandari zetu??