Kenya yajenga Hospitali yenye vitanda 100 ndani ya siku 90 - yajayo yanaafurahisha

Kenya yajenga Hospitali yenye vitanda 100 ndani ya siku 90 - yajayo yanaafurahisha

Anajitahidi,ila hamfikii Magufuli

Magufuli hatuna shida naye maana chini ya uongozi wake, mauzo ya bidhaa zetu yameongozeka kwa kasi yaani 7.99b hivi hivi tu, halafu naomba kufahamu kama alishakamilisha ile reli ya SGR ya Dar-Moro, maana umbali mdogo sana ule 200km na ilikua muazne kuitumia mwaka jana, sasa tunafunga mwaka, tuhabarisheni kama tayari mnasafiri kwa kuitumia.

 
Corona inawagaragaza kichizi, wengine hatuna pesa za kupoteza kwenye myth, hizo pesa zinaenda kwenye ujenzi wa Taifa
enda kwanza umalize hile sgr, kibaha highway na rufiji zilizokwama tangu jadi.
 
Mlishindwa kuimaliza, mkulu wenu aliwahi kuomba hata malaika aibuke na kuua mitandao ya kijamii, ni vigumu kuimaliza maana inatumia teknolojia nje ya uwezo wenu, huko kwenu kikubwa mnachoweza labda ni kuzima traffic ya TCRA kama mlivyofanya baada ya uchaguzi, sema wadau bado walicheza na VPN, ila kufuta hii mifumo sio kazi rahisi, muiache tu.

umejiunga jf mwaka huu nini???

uliza 2018 tulikaa miezi 5 bila jamiiforums,kuanzia january mpaka may.
unadhani alizima nani???
 
Asante kwa kuorodhesha miradi inayokukwangua roho the most, bado ipo mingi inakuja, andaa maumivu zaidi tu.
HAHAHA, inaniuma kwa sababu ilikuwa miradi ya kuwatoa kwenye umaskini wa kutupwa na sasa zote zimekwama jinsi airport ya mwanza ilikwama kutoka 2012, bado imebaki tu ile mabanda ya mbuzi kama terminals.
 
HAHAHA, inanimuma kwa sababu ilikuwa miradi ya kuwatoa kwenye umaskini wa kutupwa na sasa zote zimekwama jinsi airport ya mwanza ilikwama kutoka 2012, bado imebaki tu ile mabanda ya mbuzi kama terminals.
LOL kumbe na Mwanza airport na yenyewe ipo kwenye list?

Mbezi Luis terminal na yenyewe bila shaka ipo?
 
LOL kumbe na Mwanza airport na yenyewe ipo kwenye list?

Mbezi Luis terminal na yenyewe bila shaka ipo?
List ya miradi mlio anzisha na kuacha kati kati ni ndefu, naona hata shughuli za kubomoa daraja za reli mlieka hapo dar. Pole jirani, dalili ilikuwa ile kubana matumizi mlishangilia.
 
Back
Top Bottom