Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umoja wetu wa kudumu, Korona inapita iende zakeNow they are talking.
Ukisoma maoni na comments za wakenya ni kama wamechangwanywa na wanaomba waachiwe wakafanye kazi tuTony254 ulisemaje magu alivyosemaga hivi?
Labda kwa sababu Magu hakusema kwa kizungu, si unawajua hawa nyang'au walivyo?Tony254 ulisemaje magu alivyosemaga hivi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ugomvi wa wakubwa!!!Wakenya rudini tufungue mipaka tuendelee na kazi hii vita ya China na US hatuiwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwa sababu Magu hakusema kwa kizungu, si unawajua hawa nyang'au walivyo?
Msipindishe....
Naona unajaribu kubadilisha anachoongea.Msipindishe....
Ukicheki full video utaona Huyo alikua anajibu swali la mwanahabari alouliza kwanini Tanzania ina wasiwasi na testi zinazofanyika kenya na kunawatu wanapimwa upande wa kenya wanakua positive na wakipimwa Tanzania ni negative. Ndo akawa anaelezea kwanini wao hawatumii rapid test ambayo iko based na antibodies kwa sababu zina false positive na false negatives pia akaelezea kipimo kinachotumika huko ni PCR ambayo ina sensitivity kubwa zaidi.
Nawashauri wale walio na 'aleji' na ukweli wanywe vidonge vya citrizen vitawasaidia.
Tafuta citrizen au piriton
Mtarukaruka wee kama maharage mwisho wa siku mtatulia tuliii.Tafuta citrizen au piriton