Kwani mass testing wakenya wanatumia kipimo gani?spencer,
Hapo anazungumizia kuhusu rapid test kits and the same cases have been reported worldwide
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mass testing wakenya wanatumia kipimo gani?spencer,
Hapo anazungumizia kuhusu rapid test kits and the same cases have been reported worldwide
Ukisoma maoni na comments za wakenya ni kama wamechangwanywa na wanaomba waachiwe wakafanye kazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alisema mlipima machungwa mkapata ina corona. Hamkutumia pcr kwa sababu pcr ni accurate sana. Itakuwa mlitumia rapid test ambayo sio sensitive sana. Usijaribu kusema eti pcr yenu ndio ilitoa matokeo eti machungwa yana corona. Pcr ni mashine very accurate. Inatumika na wanasayansi sana kwenye research yao. Inatumika pia na polisi wanaofanya uchunguzi wa crime scene. Wanachukua damu iliyo kwenye crime scene na kutumia pcr mashine kuanalyse dna.Tanzania na Kenya wote wanatumia PCR, lakini majibu yanatofautiana, hakuna nchi kati ya hizi inayotumia rapid test.
Sent using Jamii Forums mobile app