Kenya yakiri vifaa vya kupima COVID-19 vinatoa majibu yasiyoeleweka

Kenya yakiri vifaa vya kupima COVID-19 vinatoa majibu yasiyoeleweka

Msipindishe....
Ukicheki full video utaona Huyo alikua anajibu swali la mwanahabari alouliza kwanini Tanzania ina wasiwasi na testi zinazofanyika kenya na kunawatu wanapimwa upande wa kenya wanakua positive na wakipimwa Tanzania ni negative. Ndo akawa anaelezea kwanini wao hawatumii rapid test ambayo iko based na antibodies kwa sababu zina false positive na false negatives pia akaelezea kipimo kinachotumika huko ni PCR ambayo ina sensitivity kubwa zaidi.
Nawashauri wale walio na 'aleji' na ukweli wanywe vidonge vya citrizen vitawasaidia.
Sasa unamtetea huyo nyang'au ili iweje?
 
Sie hatujatest machungwa kama nyie.
Hata kama ila si ulikuwa unabeza hii hatua ya Rais wetu na conclusion yake...Lazima uelewe Rais si mtu mmoja bali ni Taasisi....Na ana intelijensia ya juu sana nyuma yake...Hilo jambo analoongea ukaliona halifai jua kuna timu ya maana nyuma wamelihighlight na kuliona linafaa....Have a nice day.
 
Msipindishe....
Ukicheki full video utaona Huyo alikua anajibu swali la mwanahabari alouliza kwanini Tanzania ina wasiwasi na testi zinazofanyika kenya na kunawatu wanapimwa upande wa kenya wanakua positive na wakipimwa Tanzania ni negative. Ndo akawa anaelezea kwanini wao hawatumii rapid test ambayo iko based na antibodies kwa sababu zina false positive na false negatives pia akaelezea kipimo kinachotumika huko ni PCR ambayo ina sensitivity kubwa zaidi.
Nawashauri wale walio na 'aleji' na ukweli wanywe vidonge vya citrizen vitawasaidia.
Kwa hiyo??!!
 
Msipindishe....
Ukicheki full video utaona Huyo alikua anajibu swali la mwanahabari alouliza kwanini Tanzania ina wasiwasi na testi zinazofanyika kenya na kunawatu wanapimwa upande wa kenya wanakua positive na wakipimwa Tanzania ni negative. Ndo akawa anaelezea kwanini wao hawatumii rapid test ambayo iko based na antibodies kwa sababu zina false positive na false negatives pia akaelezea kipimo kinachotumika huko ni PCR ambayo ina sensitivity kubwa zaidi.
Nawashauri wale walio na 'aleji' na ukweli wanywe vidonge vya citrizen vitawasaidia.
Tanzania na Kenya wote wanatumia PCR, lakini majibu yanatofautiana, hakuna nchi kati ya hizi inayotumia rapid test.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi "rapid test kits" zilishaonyesha matatizo huko ughaibuni kitambo sana. Wakenya na ubishi wao...atleast wamejiridhisha sasa
 
Hii COVID19 inabidi tu Nchi zikubaliane kuishi nayo na may be kudevise some coping mechanisms: 60-75% carrying capacity ya ndege/magari ya abiria, mandatory kuvaa mask kwenye public gatherings, handwashing facilities kwenye kila jengo linaloweza kuhost watu wengi etc etc.

Hizi extended lockdowns bila kuwa na clear road-map wala vision hoping kuna muujiza utatokea, hazina tija kabisa
 
Hizi "rapid test kits" zilishaonyesha matatizo huko ughaibuni kitambo sana. Wakenya na ubishi wao...atleast wamejiridhisha sasa
Tatizo wabongo tuna 'manufacture' ukweli wetu tofauti na kinachoendelea. Tunaishi Utopia, raha sana
 
Pigeni kazi maana hata wazungu wenyewe wanajishangaa sasa
Wananchi wanataka kujua kinachoendelea nyuma ya pazia
Wazee kwenye nyumba za kuwalelea wanakufa kila kukicha na hawa ni wale ambao maisha yao walikuwa wanafanya kazi na sasa wanamalizwa haswa
Tufanye kazi kwa tahadhari na Mungu atunusuru
Lockdown zimekuwa ngumu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom