Kenya yakiri vifaa vya kupima COVID-19 vinatoa majibu yasiyoeleweka

Tanzania na Kenya wote wanatumia PCR, lakini majibu yanatofautiana, hakuna nchi kati ya hizi inayotumia rapid test.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alisema mlipima machungwa mkapata ina corona. Hamkutumia pcr kwa sababu pcr ni accurate sana. Itakuwa mlitumia rapid test ambayo sio sensitive sana. Usijaribu kusema eti pcr yenu ndio ilitoa matokeo eti machungwa yana corona. Pcr ni mashine very accurate. Inatumika na wanasayansi sana kwenye research yao. Inatumika pia na polisi wanaofanya uchunguzi wa crime scene. Wanachukua damu iliyo kwenye crime scene na kutumia pcr mashine kuanalyse dna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…