Kenya yakumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya kupimia Corona

Kenya yakumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya kupimia Corona

Ni nchi ipi ina vifaa vya kutosha vya kupimia corona ?

Hamna nchi iliyojitosheleza kwenye suala la kits, hata Marekani bado kuna maeneo mengi hawajafikisha kits, viwanda vko busy vinazitengeneza kwa kasi. Sema wao wamejaribu sana kufanya tests nyingi na ndio maana nchi yao inaongoza kwa idadi ya waathirika kwa sababu wamefaulu kufanya tests nyingi ukilinganisha na mataifa mengi ambayo yanangoza kwa vifo, wanashtukizwa na vifo maana uwezo wa kufanya mass testing haupo.
Idadi ya waathirika inaonekana nyingi kwa mataifa yenye maabara nyingi zenye uwezo wa kufanya tests, kwa mfano Burundi haijatajwa hata kesi moja ilhali ilisemekana mmojwapo wa waathirika wa Tanzania alitoka na ngoma Burundi.

Kuanzia kesho Kenya inaanza zoezi la mass testing na nategemea namba za waathirika zitapndisha sana kwetu hapa.
Kwa Tanzania maabara ya kufanya test ni moja tu, backlogs zote zinatumwa Dar na kusubiri masiku kabla majibu.
 
Hamna nchi iliyojitosheleza kwenye suala la kits, hata Marekani bado kuna maeneo mengi hawajafikisha kits, viwanda vko busy vinazitengeneza kwa kasi. Sema wao wamejaribu sana kufanya tests nyingi na ndio maana nchi yao inaongoza kwa idadi ya waathirika kwa sababu wamefaulu kufanya tests nyingi ukilinganisha na mataifa mengi ambayo yanangoza kwa vifo, wanashtukizwa na vifo maana uwezo wa kufanya mass testing haupo.
Idadi ya waathirika inaonekana nyingi kwa mataifa yenye maabara nyingi zenye uwezo wa kufanya tests, kwa mfano Burundi haijatajwa hata kesi moja ilhali ilisemekana mmojwapo wa waathirika wa Tanzania alitoka na ngoma Burundi.

Kuanzia kesho Kenya inaanza zoezi la mass testing na nategemea namba za waathirika zitapndisha sana kwetu hapa.
Kwa Tanzania maabara ya kufanya test ni moja tu, backlogs zote zinatumwa Dar na kusubiri masiku kabla majibu.
Kwa hiyo Kwa Tanzania bado hakuna seriousness
 
Eti 1 million. [emoji1] Test kits ni vifaa, kwenye maabara, vya kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli. Sio 'thermometer guns' au vifaa vya kupima joto mwilini. [emoji1] Acha ushamba, darasa kuhusu suala hili ulipewa hivi majuzi na MK254, ila naona ulivyo kichwa boga bado hukuelewa chochote. [emoji1] Kufikia juzi, Kenya ilikuwa imefanya 'testing' ya virusi vya COVID-19 kwa watu 960. Kumbuka kwamba Kenya ndio ilikuwa kati ya nchi za kwanza hapa Afrika, ambazo zilipata uwezo wa kufanya 'confirmatory test'. Ambapo inahitajika uwepo wa test kits kwenye maabara zaidi ya moja. Ili vipimo viweze kufanywa mara mbili kwa kila sampuli. Tupe taarifa rasmi kutoka kwa GoT kuhusu masuala haya, sio porojo. Au bado mpo kwenye giza la usiri wa serikali ya chama chenu 'sikivu'?
Rubbish 🗑️
 
Wako serious sema uwezo pia ni changamoto, unaweza ukawa serious lakini inategemea na uwezo wako umefikia wapi.
Eti uwezo 😀😀😀😀😀
Ndio maana primier wao anapitisha bakuli la kuomba misaada
 
Hamna nchi iliyojitosheleza kwenye suala la kits, hata Marekani bado kuna maeneo mengi hawajafikisha kits, viwanda vko busy vinazitengeneza kwa kasi. Sema wao wamejaribu sana kufanya tests nyingi na ndio maana nchi yao inaongoza kwa idadi ya waathirika kwa sababu wamefaulu kufanya tests nyingi ukilinganisha na mataifa mengi ambayo yanangoza kwa vifo, wanashtukizwa na vifo maana uwezo wa kufanya mass testing haupo.
Idadi ya waathirika inaonekana nyingi kwa mataifa yenye maabara nyingi zenye uwezo wa kufanya tests, kwa mfano Burundi haijatajwa hata kesi moja ilhali ilisemekana mmojwapo wa waathirika wa Tanzania alitoka na ngoma Burundi.

Kuanzia kesho Kenya inaanza zoezi la mass testing na nategemea namba za waathirika zitapndisha sana kwetu hapa.
Kwa Tanzania maabara ya kufanya test ni moja tu, backlogs zote zinatumwa Dar na kusubiri masiku kabla majibu.
Acha kudanganya watu kuhusu hii field ya afya huna ujuzi nao, uwezo wa kujitosheleza unatokana na idadi ya watu walioathirika, kama nchi ina watu wengi walioathirika ndio uwezo unazidiwa, nchi zote ambazo bado idadi ya maambukizi yako chini ukilinganisha na vipimo walivyonazo bado zimajitosheleza, nchi kama S.Africa, Netherlands, Mauritious, Sycheless, Zambia na nchi karibu zote hapa barani Afrika kwa sasa zinajitosheleza, hata waziri wenu wa Afya leo amesema bado hamjazidiwa mnao uwezo kwa sasa wakushughulika na maambukizi. Wiki tatu zilizopita USA walikua wanajitosheleza, ila jinsi maambukizi yanavyoongezeka ndio wanazidiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Kwa Tanzania bado hakuna seriousness
Tanzania tuna uwezo mkubwa kuwazidi Kenya, wakati Kenya mpaka wapeleke S. Africa kwa ajili ya confirmatory test ya Corona, sisi tunafanya hapa nchini, tatizo la wakenya ni mdomo sana na kujisifia sana, lakini hawaifikii Tanzania hata kidogo katika huduma za Afya, sikilia hii video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tuna uwezo mkubwa kuwazidi Kenya, wakati Kenya mpaka wapeleke S. Africa kwa ajili ya confirmatory test ya Corona, sisi tunafanya hapa nchini, tatizo la wakenya ni mdomo sana na kujisifia sana, lakini hawaifikii Tanzania hata kidogo katika huduma za Afya, sikilia hii video.


Sent using Jamii Forums mobile app

Acha porojo. Kenya ilipata uwezo wa kupima na kufanya confirmation pia, ya uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli, March tarehe 3. >>>Kenya now in position to test for COVID-19 Kabla ya hapo nchi zote Afrika zilikuwa zinatuma sampuli S.Africa au Senegal.
 
Hao 13 walio patikana na corona huko bongo kwani walifanywa test kutumia thermometer?
Kwahivyo hiyo inamaanisha kwamba Tz mlipima sampuli za watu 1 million ndio mkapata 13 ambazo ni +ve? Kama anavodai huyo jamaa? [emoji1] Kufikia sasa U.S na uwezo wao wote wameweza kupima sampuli 400,000 tu. Acheni upumbavu, hapa Afrika hakuna nchi yeyote ambayo imeweza kupima hata sampuli 100,000. Test kits sio vipima joto ambavyo vinatumiwa kwenye viwanja vya ndege na sehemu kama hizo. Lazima sampuli ziokotwe na zifikishwe kwenye maabara, lugha inawapiga chenga sio mchezo. [emoji1]
 
Tanzania tuna uwezo mkubwa kuwazidi Kenya, wakati Kenya mpaka wapeleke S. Africa kwa ajili ya confirmatory test ya Corona, sisi tunafanya hapa nchini, tatizo la wakenya ni mdomo sana na kujisifia sana, lakini hawaifikii Tanzania hata kidogo katika huduma za Afya, sikilia hii video.


Sent using Jamii Forums mobile app

Umeandika kiushabiki na kihisia sana
 
Acha porojo. Kenya ilipata uwezo wa kupima na kufanya confirmation pia, ya uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli, March tarehe 3. >>>Kenya now in position to test for COVID-19 Kabla ya hapo nchi zote Afrika zilikuwa zinatuma sampuli S.Africa au Senegal.
Kwahiyo huyo mama anadanganya kwamba sampuli zilipelekwa S. Afrika?. Mwanzoni mlisema kwamba Kenya ilikua ni miongoni mwa nchi chache zenye uwezo wa kupima Corona barani Africa kabla ya maambukizi kuingia Africa, sasa hivi unabadili kwamba mlivipata Mwezi huu, mnaona mlivyowajinga?. Acheni kujisifu wakati maambukizi yanazidi kuongezeka nchini kwenu, lazima mkubaliane na ukweli kwamba ktk Afya, Jeshi, Umeme, Kilimo, Madini, Utalii, Maji na Barabara, Tanzania hatuna mpinzani katika ukanda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahivyo hiyo inamaanisha kwamba Tz mmepima sampuli za watu 1 million ndio mkapata zile ambazo ni +ve ni 13? Kama anavodai huyo jamaa? [emoji1] Kufikia sasa U.S na uwezo wao wote wamepima sampuli 400,000 tu. Acheni upumbavu, kufikia sasa hivi hapa Afrika hakuna nchi ambayo imeweza kupima hata sampuli 100,000 tu. Test kits sio vipima joto ambavyo vinatumiwa kupima joto mwilini kwenye viwanja vya ndege na sehemu kama hizo. Lazima sampuli ziokotwe na zifikishwe kwenye maabara, lugha inapiga chenga sio mchezo. [emoji1]
Hiyo test ya thermometer kenya imefanya wangapi? Wacha uboya mwingi haukuona china wanatumia infrared security cameras kuangalia nani kati ya maelfu ya wananchi watafanyiwa Lab Test?
 
Kwahiyo huyo mama anadanganya kwamba sampuli zilipelekwa S. Afrika?.Mwanzoni mlisema kwamba Kenya ilikua ni miongoni mwa nchi chache zenye uwezo wa kupima Corona barani Africa kabla ya maambukizi kuingia Africa,sasa hivi unabadili kwamba mlivipata Mwezi huu, mnaona mlivyowajinga?.Acheni kujisifu wakati maambukizi yanazidi kuongezeka nchini kwenu, lazima mkubaliane na ukweli kwamba ktk Afya, Jeshi, Umeme, Kilimo, Madini, Utalii, Maji na Barabara, Tanzania hatuna mpinzani katika ukanda huu.
Video umeileta wewe mwenyewe ila hata tarehe ya siku ilipotolewa hujui. Rudi kwenye hiyo taarifa ya Kenya ilipopata testing kits, uangalie tarehe kisha uangalie tarehe ya hiyo statement kwenye hiyo video. Umekomalia kwenye masuala ya Kenya, wakati hata hujui kesi ya kwanza iliripotiwa lini nchini Kenya na pia hapa barani Afrika. Yaani upo upo tu na ujuaji wako ila umechanganyikiwa kweli kweli.
 
Hiyo test ya thermometer kenya imefanya wangapi? Wacha uboya mwingi haukuona china wanatumia infrared security cameras kuangalia nani kati ya maelfu ya wananchi watafanyiwa Lab Test?
Hakuna testing ambayo huwa inafanywa na thermometer au vifaa vyovyote vingine vya kupima joto au 'vitals' mwilini. Hiyo inaitwa screening. Kenya ilianza 'random screening' wiki moja iliyopita. Over 600,000 people screened for coronavirus in Kenya, random screening starts on Saturday - Citizentv.co.ke Kabla ya hapo 'screening' ilikuwa inafanywa kwenye uwanja wa ndege, boda, bandarini na 'locations' ambazo waliopatikana wakiwa +ve walikuwa wakiishi. Jumla ya idadi ya waliokuwa screened kufikia Machi 19 ilikuwa ni 600,000 wale ambao wamekuwa tested hadi jioni ya leo ni 877. Hizo ni taarifa rasmi kutoka kwa MOK/GOK.
 
Video umeileta wewe mwenyewe ila hata tarehe ya siku ilipotolewa hujui. Rudi kwenye hiyo taarifa ya Kenya ilipopata testing kits, uangalie tarehe kisha uangalie tarehe ya hiyo statement kwenye hiyo video. Umekomalia kwenye masuala ya Kenya, wakati hata hujui kesi ya kwanza iliripotiwa lini nchini Kenya na pia hapa barani Afrika. Yaani upo upo tu na ujuaji wako ila umechanganyikiwa kweli kweli.
Ninyi mlikua mnasema kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi chache zenye uwezo wa kupima Corona hata kabla ya Corona kuingia Afrika, ikumbukwe kwamba, kabla ya Corona kuingia Africa ni Senegal na S.Africa tu ambao walikuwa na uwezo wa kupima Corona, wakati Corona inaingia Kenya, bado hamkuwa na uwezo wa kupima, lakini bado mlikua mnabisha, Tanzania ilitangulia kupata mtambo kabla yenu, ndio sababu sisi hatujawahi kupeleka South Africa, Kenya hadi nwishoni mwa February bado mlikua mnapeleka S.Africa, lazima mkubali kwamba Tanzania ipo vizuri zaidi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna testing ambayo huwa inafanywa na thermometer au vifaa vyovyote vingine vya kupima joto au 'vitals' mwilini. Hiyo inaitwa screening. Kenya ilianza 'random screening' wiki moja iliyopita. Over 600,000 people screened for coronavirus in Kenya, random screening starts on Saturday - Citizentv.co.ke Kabla ya hapo 'screening' ilikuwa inafanywa kwenye uwanja wa ndege, boda, bandarini na 'locations' ambazo waliopatikana wakiwa +ve walikuwa wakiishi. Jumla ya idadi ya waliokuwa screened kufikia Machi 19 ilikuwa ni 600,000 wale ambao wamekuwa tested hadi jioni ya leo ni 877. Hizo ni taarifa rasmi kutoka kwa MOK/GOK.
Logic ni kwamba, sasa hivi Kenya mumeshaanza kupata maambukizi ya ndani ya nchi, sio tena imported pekee, kwahiyo bado screen kwa ajili ya imported cases itaendelea, lakini ni lazima muanze screening kwa ajili ya local infection. Tanzania bado hatujapata local infections, kwahiyo bado tunaendelea na kudhibiti imported cases tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom