Kenya yakumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya kupimia Corona

Kenya yakumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya kupimia Corona

Ninyi mlikua mnasema kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi chache zenye uwezo wa kupima Corona hata kabla ya Corona kuingia Afrika, ikumbukwe kwamba, kabla ya Corona kuingia Africa ni Senegal na S.Africa tu ambao walikuwa na uwezo wa kupima Corona, wakati Corona inaingia Kenya, bado hamkuwa na uwezo wa kupima, lakini bado mlikua mnabisha, Tanzania ilitangulia kupata mtambo kabla yenu, ndio sababu sisi hatujawahi kupeleka South Africa, Kenya hadi nwishoni mwa February bado mlikua mnapeleka S.Africa, lazima mkubali kwamba Tanzania ipo vizuri zaidi yenu.
Hutumii facts, unatupia tu pumba kwa mikemko. Shughuli ya kutayarisha maabara na ku'set up' kits sio ya siku moja. Kenya ilianza shughuli hiyo wiki ya pili Feb huku ikiendelea kutuma sampuli S.A. Hadi mapema mwezi machi waziri alipotangaza kwamba shughuli imekamilika rasmi. Hii ni status update ya WHO, Feb 20, Tz bado hamkuwa na uwezo huo.
 
Dah! Huyo mdau anachukua muda sana kupata hii elimu, Marekani pamoja na ujuzi wote wao ndio wanaongoza dunia kwa idadi ya tests ambazo hadi sasa wamefanya laki nne, hawa Watanzania na maabara yao moja wamefanya milion tests? Jameni mpaka nacheka mwenyewe hapa.
Au jamaa bado amekomalia zile toys za kupima joto alizokesha akitutambia kuhusu.
Vipi mbona mnapeleka SA?
 
Kufikia sasa U.S na uwezo wao wote wameweza kupima sampuli 400,000 tu.
mbele.jpg



nyuma.jpg


US hakuna kit za kutosha wanapima wale tuu wenye hali mbaya sana. Tumetumiwa vimemo na Trump tukiambiwa tukae majumbani, kama tuna dalili.
 
Hiyo test ya thermometer kenya imefanya wangapi? Wacha uboya mwingi haukuona china wanatumia infrared security cameras kuangalia nani kati ya maelfu ya wananchi watafanyiwa Lab Test?
Mbona unatumia akili kama kabati ya Meno? If I contract the virus today and happen to undergoe the infrared red test would I turn positive?
 
Back
Top Bottom