pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
SGR ya Kenya imejengwa kwa asilimia hizi hizi Kenya 15%, 85% mkopo, sio msaada, kutoka Uchina. Ila hukomi kusema mengi sana kuhusu SGR ya Kenya, kila siku, humu Jf. Acha nikupe bad news, hiyo grant ambayo mmepewa ni msaada. Grants sio mikopo.Uongo uko wapi wakati tumegharamia 15% ya mradi na 85% ni mkopo kutoka kwa nchi makandarasi na hii ni kwasababu ya masharti ya mkataba?
Tangu lini mkopo ukawa msaada?
You used to have 2 billionaires. Now it's 1 Indianbillionaire and 58 million poor TanzaniansPengo kubwa baina ya wenye nacho na wasio nacho lipo kenya kwa kuwa pesa inayokusanywa inaliwa juu kwa juu na matapeli, huku wananchi wengi wakiwa kwenye lindi la umasikini.
What aboutCan you name one thing you've done better or even closer to what we have done.
We already have a massive SGR cruising more than 500km, while you still struggling with a mere 200km.
Bro mmekusanya pesa ngap in U.S. $ nashindwa kuzielewa hizo fedha kwa pesa yenuTake evening classes, read books and papers, engage in conversation with everyone and everybody speaking Swahili or English, you'll get better, learn a phrase everyday. And you're right, keep on posting your gibberish in JF, the more members will correct you, the better you'll get.
Tanzania now is at 52% the problem of kenyans is that mnahisi maendeleo mnapata wenyeweYou are living in a small propaganda bubble.
5 years ago, Kenya and Tanzania were in the 30% range of electricity connectivity. Tanzania is still there, Kenya is now approaching 70%.
Everything you've done, we've done double.
Sue son! Ulienda shuleni kusomea ujinga?Bro mmekusanya pesa ngap in U.S. $ nashindwa kuzielewa hizo fedha kwa pesa yenu
Mbona kasema mwenye leo leo that 85% ni loan na 15% ni goverment money ..mbona kama ww ndo muongoI have never seen a president muongo Kama Magufuli. Sasa anadanganya watanzania ati terminal 3 imejengwa kutumia pesa za ndani wakati tunajua si sote hati pesa ni grant from Netherlands.
Bro tumekarabati shule kongwe 89 kwa billion zaidi ya 150tsh,watoto Wa pri n sec school hawalipi sch fees,tumejenga madarasa 3000 shule za msingi kadhaa madarasa ya kisasa kabisa yenye facility zote...Yaani budget mzima ya education ldc ni $630mln na Kenya ni $4.7bn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuusan njoo hapa
Wapi wamesema ni grant..who gives you 300mil usd grant pumbavuSGR ya Kenya imejengwa kwa asilimia hizi hizi Kenya 15%, 85% mkopo, sio msaada, kutoka Uchina. Ila hukomi kusema mengi sana kuhusu SGR ya Kenya, kila siku, humu Jf. Acha nikupe bad news, hiyo grant ambayo mmepewa ni msaada. Grants sio mikopo.
Ufanisi wa matumizi kwenu uko vipi?Alafu utamsikia Jiwe akiomba msaada wa madawati kutoka S. Africa. Jombaa hiyo ndio taswira ya 'priorities' za CCM. Ukichambua mgao wa sekta zingine nyeti kama afya na usalama kwenye bajeti yao ya 2019/2020, ukilinganisha na Kenya, ndio utajua kwamba Tz ni kichwa cha mwendawazimu.
[emoji23] [emoji23]Hebu tafsiri nikuelewe...umeongea zezeze zile za Magu.
Masikini wenye treni ya stima iliyonyooka hata maji kwenye glasi hayatingishiki, karibu Tanzania ujionee maendeleo.You used to have 2 billionaires. Now it's 1 Indianbillionaire and 58 million poor Tanzanians
Ujenzi unaendelea hadi makutopora 722kmCan you name one thing you've done better or even closer to what we have done.
We already have a massive SGR cruising more than 500km, while you still struggling with a mere 200km.
Ningependa sana kuona treni yenyewe. Hebu weka picha... If you don't mindMasikini wenye treni ya stima iliyonyooka hata maji kwenye glasi hayatingishiki, karibu Tanzania ujionee maendeleo.
Huu hapaUfanisi wa matumizi kwenu uko vipi?
Acha maneno maneno wwYou used to have 2 billionaires. Now it's 1 Indianbillionaire and 58 million poor Tanzanians
MedicineSue son! Ulienda shuleni kusomea ujinga?
Umepata wapi hiyo takwimu ya 30% wahindi Tanzania?Asilimia 70% ya Watanzania ni maskini wa kutupwa, https://www.worldbank.org/en/countr...-a-new-picture-of-growth-for-tanzania-emerges
Asilimia 30% ilyosalia ni ya Wahhindi, waarabu na familia za vigogo.
Umajununi huo wakati huna ndala mguuni.Acha nikupe bad news, hiyo grant ambayo mmepewa ni msaada. Grants sio mikopo.
Ningependa sana kuona treni yenyewe. Hebu weka picha... If you don't mind
Hiyo watu wanasoma kwa muda mrefu sana;ndio maana ulichelewa kuoa but mshahara ni mnono. Hongera sana tuusan!Medicine