Kenya yamtimua balozi wa Rwanda

Umakini umeongezeka kiasi kwa sasa lakini tayari wanyarwanda walishatapakaa ktk taasisi zote nchini elimu wapo,afya wapo,kilimo,tamisemi ndo usiseme sasa watashindwaje kesho kuwa viongozi wakubwa wa kuongoza nchi.
Yani wanyarwanda wametapakaa Tanzania zaidi ya wahaya wachaga wanyakyusa na makabira megine? Wewe ni kichaa unaejitia propagandist
 
Tanzania kuna wageni wengi sana kutoka nchi zinazotuzunguka lakini hutujawahi kuwa uchi kwa yeyote yule.
 
Sisi watanzania hatuna hofu na wageni kabisa kwani tushawahi kuwa na wasomali wengi Tu kwenye system na hawajahi Fanya lolote zaidi yetu.
 
Hawataweza kwa hilo nakuhakikishia.mpaka sasa immigration inaorodha ya wanyarwanda ,warundi, wakamba wote waliozaliwa hapa Tanzania na wameandikishwa kwa majina hata kama mzazi wako alikuja kabla ya Uhuru wa Tanganyika. Hizi nakupa ni info za ndani.
Immigration ya nchi gani hiyo ??

Teh teh
 
Wanyarwanda wanadhani Kenya in Tz bila kujua wanachezea simba. Somalia,Sudan na Uganda hawajawapea onyo? The government of Kenya will bring "Liberation" to them had I washangae.
 
Ju ulimpeleka kuishi kibera na wewe ama? Get your brainless ass out of this thread you danganyikan nincompoop!
 
They will use you and get rid of you when your not useful to them anymore ". Maneno ya kiongozi flani hivi kabla hajaenda kutiwa kitanzi na Mabepari.
 
Vichuguu vyao?? Apolojaize!! Kichuguu ni mimi tu, na vijukuu ni familia yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…