Kenya yapata PET CT scanner ya kwanza Afrika Mashariki na Afrika ya Kati

Kenya yapata PET CT scanner ya kwanza Afrika Mashariki na Afrika ya Kati

RAIS WETU MAGUFULI AMESHALISIKIA HILO MASHINE HIZO ZITAFUNGWA NA TANZANIA PIA,TENA KATIKA HOSPITALI ZETU ZA TAIFA,OCEAN ROAD.
 
Hahaha nikiri tu wazi ni kweli Tanzania nzima hakuna hospital hata moja yenye ST-Scan hata hizo ulizozitaja hazina hicho kifaa
REDEEMER hapa tukisema Hospitali za rufaa tunamaanisha Bugando, KCMC, Mbeya referal, Benjamini Mkapa, Muhimbili na sasa hivi Mloganzila, zote hizo zina CT-scan, kipimo pekee ambacho kipo Muhimbili na Mloganzila ni MRI na Cath-lab, jaribu kufuatilia. Hivi karibuni wamezifanya hospitali zote za Mikoa kuwa referal lakini kwa ngazi ni level 5 Hospitals, hazijafikia level ya hizo nilizozitaja
 
REDEEMER hapa tukisema Hospitali za rufaa tunamaanisha Bugando, KCMC, Mbeya referal, Benjamini Mkapa, Muhimbili na sasa hivi Mloganzila, zote hizo zina CT-scan, kipimo pekee ambacho kipo Muhimbili na Mloganzila ni MRI na Cath-lab, jaribu kufuatilia. Hivi karibuni wamezifanya hospitali zote za Mikoa kuwa referal lakini kwa ngazi ni level 5 Hospitals, hazijafikia level ya hizo nilizozitaja
Hahaha Mkuu hatuna st-scan tuna ct-scan inabidi atueleze hizo st-scan ni vidubuasha gani sababu inaonekana vimevumbuliwa hivi karibuni.

Huyo jamaa anaonekana hajui hata kitu anachokiongea hata hiyo Bima yake ya ARR ndio naisikia leo ndio maana nikamuomba anipe ufafanuzi nami niipate niweze kujichagulia hospital za marekani
 
Hahaha Mkuu hatuna st-scan tuna ct-scan inabidi atueleze hizo st-scan ni vidubuasha gani sababu inaonekana vimevumbuliwa hivi karibuni.

Huyo jamaa anaonekana hajui hata kitu anachokiongea hata hiyo Bima yake ya ARR ndio naisikia leo ndio maana nikamuomba anipe ufafanuzi nami niipate niweze kujichagulia hospital za marekani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamani jamani nyie manyang'au vipi...? Ocean Road Cancer Institute Dar es Salaam mbona inayo (PET Scan ...Positron Emmision Tomograph)toka siku nyingi...
 
Ndio tunajenga SGR! Sasa kwa sababu sisi ndo tunajenga hutaki tuseme kisa tu nyie mmemaliza kujenga hicho kiberenge chenu kinachotema moshi utafikiri kinatumia makaa ya mawe? Ebo!; Au basi tuharakishe huo ujenzi ili kukufurahisha kisa tu SGR
yenu imekamilika?

Wakati unaongea huu upupu wako kuhusu SGR inabidi ujue kuwa wakati nyie mnajenga nchi kadhaa za kiafrika tayari walikuwa wamekamilisha sgr zao, ni sawa na sisi wakati tunajenga ninyi yenu tayari imekamilika! Sioni shida hapo!

Pengine labda hujui tu, wakati wewe unabwabwaja na hiyo SGR, serikali yenu kila siku inatuma wawakilishi kuja kujifunza kuhusu BRT, kitu ambacho sisi tumekichoka kama wewe unavyojidai kuchoka SGR.

Na pengine labda huu wimbo kuwa umeichoka hyo SGR yenu ni kwa sababu ya moshi inaotema[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

BTW, Hongereni kwa hiyo PET CT scanner!
juzi rais Uhuru amesafiri kwenda Mombasa kwa kutumia SGR, wengi hata tumeshachoka nayo, sio habari tena, lakini Watanzania bado wanaimba tutajenga SGR. Yaani vitu ambavyo tulishachoka navyo huku ndio bado mpo kwenye utafiti yakinifu, sijui kama ile fly over huwa mnaishangaa shangaa ya TAZARA imekamilika? Sisi huku fly overs ni nyingi mpaka basi.
 
Jamani jamani nyie manyang'au vipi...? Ocean Road Cancer Institute Dar es Salaam mbona inayo (PET Scan ...Positron Emmision Tomograph)toka siku nyingi...
Mnayo siku nyingi na PET scan ni uvumbuzi wa hivi maajuzi? Kwani PET scan ilivumbuliwa Tanzania? Imekuwa huko miaka ngapi? PET scan sio scanner ya kuscan pet yako kama vile mbwa au paka bali ni mashine inayotumia gamma rays kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini. Technology kama hii bado hamna. Hata sisi hatuna ndio tuko mbioni kuianzisha. Seek information all the time.
Fuata link ujielimishe uache kujiaibisha mbele ya dunia nzima.
Positron emission tomography - Wikipedia
 
Ndio tunajenga SGR! Sasa kwa sababu sisi ndo tunajenga hutaki tuseme kisa tu nyie mmemaliza kujenga hicho kiberenge chenu kinachotema moshi utafikiri kinatumia makaa ya mawe? Ebo!; Au basi tuharakishe huo ujenzi ili kukufurahisha kisa tu SGR
yenu imekamilika?

Wakati unaongea huu upupu wako kuhusu SGR inabidi ujue kuwa wakati nyie mnajenga nchi kadhaa za kiafrika tayari walikuwa wamekamilisha sgr zao, ni sawa na sisi wakati tunajenga ninyi yenu tayari imekamilika! Sioni shida hapo!

Pengine labda hujui tu, wakati wewe unabwabwaja na hiyo SGR, serikali yenu kila siku inatuma wawakilishi kuja kujifunza kuhusu BRT, kitu ambacho sisi tumekichoka kama wewe unavyojidai kuchoka SGR.

Na pengine labda huu wimbo kuwa umeichoka hyo SGR yenu ni kwa sababu ya moshi inaotema[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

BTW, Hongereni kwa hiyo PET CT scanner!

Hehehe umeguswa pabaya...
Hapa hatuzungumzii kuhusu SGR ya nchi zingine, tunaongea kuhusu nyie ambao kila kitu mkifanyacho na kututambia huwa tulishakichoka enzi zile. SGR kwetu sio issue tena wakati nyie bado mnapiga mapicha ya selfie za PR.

Hayo ya BRT ni makosa hatuwezi kuyafanya Kenya, na wanaokuja Bongo kujifunza lazima wanaharibu hela ya serikali, sisi tunawaza kuhusu treni za kukatiza maeneo ya mjini kati.

lkner7zutgvkbor55d77ea57ecfa.jpg
 
Mnayo siku nyingi na PET scan ni uvumbuzi wa hivi maajuzi? Kwani PET scan ilivumbuliwa Tanzania? Imekuwa huko miaka ngapi? PET scan sio scanner ya kuscan pet yako kama vile mbwa au paka bali ni mashine inayotumia gamma rays kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini. Technology kama hii bado hamna. Hata sisi hatuna ndio tuko mbioni kuianzisha. Seek information all the time.
Fuata link ujielimishe uache kujiaibisha mbele ya dunia nzima.
Positron emission tomography - Wikipedia

Hehehe umelibwaga chini hilo lijamaa.... Hawa jamaa aibu tu.
 
Tatizo ninaloliona kwa Kenya, serikali imeshindwa kabisa kuzijengea uwezo public Hospitals, wameachia private Hospitals kutawala huduma zote za kibingwa, hii mashine itakuwa ghali sana kwa raia wa kawaida kuweza kuitumia, Magufuli amekubali kununua mwanzoni mwa mwaka ujao na itakuwa pale Ocean Road Hospital, it will be ten times cheaper than hiyo ya private hapo Kenya, raia wengi wa Kenya wataendelea kuja ocean road cancer institute kufuata huduma zenye bei nafuu.
.....Duh hii sasa kali, wenzako tayari wana install watu waanze kufaidika, wewe unazungumzia ahadi ambayo hujui lini itatekelezwa...
 
Hehehe umeguswa pabaya...
Hapa hatuzungumzii kuhusu SGR ya nchi zingine, tunaongea kuhusu nyie ambao kila kitu mkifanyacho na kututambia huwa tulishakichoka enzi zile. SGR kwetu sio issue tena wakati nyie bado mnapiga mapicha ya selfie za PR.

Hayo ya BRT ni makosa hatuwezi kuyafanya Kenya, na wanaokuja Bongo kujifunza lazima wanaharibu hela ya serikali, sisi tunawaza kuhusu treni za kukatiza maeneo ya mjini kati.

lkner7zutgvkbor55d77ea57ecfa.jpg

Habari za kuguswa pabaya sio pahala pake maana sina mashali binafsi bali naongelea uhalisia!

Ukisema BRT hamwezi kufanya wakati wewe sio msemaji wa serikali basi unanishawishi niamini kuwa unachangia kwa mihemuko maana GoK ndo inawatuma kila siku na last week kama sio early this week walikuwepo!


Suala jingine ni kuwa, kutangulia kufanya kitu basi haimaanishi wengine waache!nNimekupa mfano kuwa wakati nyie mnaanza kujenga nchi kadhaa za kiafrika tayari walikuwa wamechoka kuitumia kama wewe unavyojidanganya hapo!

Lastly, hiyo plani uliyoweka hapo ingepwndeza kama ingekuwa in progress, ukitaka plan tu tutajaza servers bure
 
Baada ya rais Uhuru kuwafungulia Waafrika kuja Kenya bila vizuizi, tukianza hivi kuwa na vifaa vya kisasa vya kipekee ukanda wote huu, nafikiri nchi yetu itanufaika pakubwa. Wengi wataanza kutua hapa badala ya kwenda nchi za mbali kama India.

-------------------------------------------------------

Cancer patients will be able to get PET CT scan services in Kenya after the Aga Khan University Hospital, Nairobi acquired the first imaging test machine in East and Central Africa.

The ultra-modern Positron Emission Tomography (PET) CT scanner and Cyclotron is currently being installed at the hospital's oncology unit ahead of its launch in March 2018.

CEO Shawn Bolouki said the machine will revolutionise cancer care and treatment in the country.

"This will enable doctors to identify health threats at the cell-level thus giving them the best view and time of treatment for complex diseases such as cancer and heart diseases, brain and other central nervous system problems, thereby improving treatment outcomes." Bolouki said in a statement.
The technology was acquired at an approximate cost Sh600 million.

A cyclotron is a type of compact particle accelerator used to produce small quantities of radioactive isotopes which is required for PET imaging.

Head of the oncology Asim Jamal said information generated from PET CT scans enable oncologists to make better treatment and follow up plans for cancer patients.
In certain cancer situations, the information is critical in making decisions regarding treatment options including surgery, radiation therapy and chemotherapy.

"This technologycan reveals the presence and stage of cancer, including whether and where the cancer has spread to, and help doctors decide on treatment," Jamal said.

He added: "PET/CT also gives us an indication of how well chemotherapy is working and can detect a recurring tumour sooner than any other diagnostic modalities."
Data from Health ministry released early this year showed that some 116 patients suffering from non communicable diseases travelled to India between January and March this year in search of medical treatment.

Cancer patients made up 57.8 per cent, 16.8 per cent sought renal disease treatment, 7.8 per cent sought treatment for cardiovascular disease while skeletal disorders accounted for 3.4 per cent.
Relief for cancer patients as Kenya gets first PET CT scanner
Kenyans are very funny, yaani watu wazima mnakuja kutambia takataka za kichina!!!
 
Kenya ni ina swaga ambazo J.K wa kwanza alizipiga marufuku kwa nguvu sana...ni ule ubeberu mbaya zaidi kenya ni kawaida kuona mashamba ya wananchi masikini yayopakana na mashamba ya matajiri hayana hata njia ya kupata maji, masikini ni masikini na tajiri ni tajiri ni mfumo umbao unapelekea kila kitu Kenya kwenda kwa namna ya mwenye nguvu...ni mfumo ambao unafaida na hasara haswa kwa watu wavivu wa kutumia akili zao kwa wenye uwezo wa kuona fursa wanafaidi.....unaingia Tanzania taratibu nenda agha khan, ocean road, kcmc na hospitals nyingine wanazotoa huduma bora kwa hadhi zetu mtu kipato cha kawaida huwezi hata kujaribu kufungua file
....Agakhan, KCMC cheap hospitals?
 
Haya ni mawazo ya mtu aliyekata tamaa na serikali yake, itakuwa ni kichekesho kwa mtanzania kuisifia serikali kwa sababu Fast Jet imenunua ndege mpya, hiyo ni sawa huko Kenya, ila sisi hatuzihesabu ndege za fast jet kuwa ni juhudi za serikali, kama ninyi mnaona Hospitali ya Karen kununua PET scan basi mnasifia nchi yenu imetimiza wajibu wake kwa wananchi, basi hongereni sana
....Kitu mnachoshindwa kuelewa ni kwamba once hiyo huduma ikiwepo hapo nchini mwao, irrespective of being owned by private hospital, itakuwa msaada mkubwa sanaa. Ikiwa watu wanaenda mpaka India au south Africa, huoni kwamba itasaidia even nchi jirani?
 
Kenyans are very funny, yaani watu wazima mnakuja kutambia takataka za kichina!!!
Ujumbe haukuwa wako bali wa Wakenya hapa JF lakini kwa wivu na kutoamini ukaamua kutoa povu hapa.
 
....Kitu mnachoshindwa kuelewa ni kwamba once hiyo huduma ikiwepo hapo nchini mwao, irrespective of being owned by private hospital, itakuwa msaada mkubwa sanaa. Ikiwa watu wanaenda mpaka India au south Africa, huoni kwamba itasaidia even nchi jirani?
Ni kweli kabisa unalosema, ila tunachojadili hapa ni serikali au wananchi kuipongeza serikali kwamba imefanya, mfano mzuri ni serikali ya Tanzania kushindwa kuiendesha TTCL badala yake ijisifie kwa utendaji mzuri wa Vodacom, Tigo au Airtel, japo zinatoa huduma bora, lakini serikali haijawekeza hata shilingi moja zaidi ya kutoa vibali.
 
Kisii Hospital ni level 6 kwanza...
rusha picha za vifaa tuone kama uko nazo
Level 6 sawa na KNH!?? nafikiri hiyo title wamepewa juzi juzi sidhani kama equipments za level 6 zimeshawasili,



kuna hii picha hapa ya 2014/15 ndo ujenzi wa Level 6 ndo ulianza, so probably equiping haijafanyika, sijui kama ujenzi ulikamilika
image.php


Kwa mfano hii hapa video ya 2016, bado ilikua iko level 5, na hata hao kulingana na hii video ilibidi wa refer conjoined twins waliokua wamezalisha hapo kisii to KNH for separation diagnosys
 
Hayo ni malengo mazuri, ila haina maana kwamba yanaweza kutimizwa ndiyo sababu nikasema ni wishes, kumbuka habari ya laptop per child, 5 world class stadia, kupunguza rushwa, kutengeneza ajira kwa vijana, greenfield terminal, kupunguza ukabila, yote haya yaliahidiwa 2013.
perhaps haukusoma hio habari nilioweka pale nyuma, Serekali kuu ilishapiga dili na manufaturers kama philips,GE..... kwahivyo kwa equipments hakuna shida, shida ilikua hakuna nafasi ya kuweka hizi equipments kwa hizi hospitali, kwahivyo hapa si wishes tu, sahii ukienda kwa 90% ya tovuti za county governments hautakosa kuona tender au ujenzi wa projecs za kupanua hospitali au kujenga mpya kabisa..... ipatia hadi 2020 hivi kila county itakua na hospitali angalau mbili level ya juu sana..



"Today I officially launched medical equipment at the Nakuru Level 5 Hospital."
10325326_1248738938487990_3019963972257614235_n.jpg

10151986_1248734375155113_7888577796123978777_n.jpg

60183_1248734355155115_2074271705518404007_n.jpg

735068_1248734621821755_3597161392848200604_n.jpg

971028_1248736978488186_1871640233831763334_n.jpg

11163745_1248734321821785_755705091284565927_n.jpg

6164_1248736585154892_6675852303277821436_n.jpg

1915656_1248738871821330_1631371956900814838_n.jpg

10580027_1248738878487996_7555946771474568380_n.jpg
 
Back
Top Bottom