Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Tanzania itawale Kenya ndio mfanye uchumi wetu uwe mdogo kama wenu? Japo sisi tutajitawala tu bila usaidizi kutoka njeKenya imebaki na njia 2 za kuchagua kwasababu wakenya wameshindwa kujiongoza wenyewe
1)Kenya iwekwe chini ya uangalizi wa Tanzania
2)Wazungu warudishwe kuitawala Kenya
Lipi kati ya hili ni muafaka kwa sasa?