Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Unalazimisha nipongeze ujinga?Wewe hujawahi kupongeza mradi wowote wa Kenya. Anyway I expected this from you. I am not suprised.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalazimisha nipongeze ujinga?Wewe hujawahi kupongeza mradi wowote wa Kenya. Anyway I expected this from you. I am not suprised.
Hakuna Mkenya atachagua kuwa chini ya Tanzania, pamoja na ukweli kwamba Magufuli anawazidi kwa mbali sana, Trump na Birison[emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji3516]
Kati ya hii na Galana Kulalu project, ipi ni muhimu kwa Kenya zaidi?Geza Jitu limeanza kuamka
Galana ni muhimu zaidi lakini hii pia ina umuhimu wake.Kati ya hii na Galana Kulalu project, ipi ni muhimu kwa Kenya zaidi?
Tatizo la Kenya ni kutopanga vipaumbele vizuri, kila kitu kina umuhimu wake, hatuwezi kuvifanya vyote kwa wakati mmoja, lazima tuanze na vile muhimu zaidi. Hii kitu haina umuhimu wowote kwa sasa, bora hata mngejenga railway kwrnda Airport mkatumia DMU zenu, hii ni kwa ajili ya watu wachache matajiri na Politicians.Galana ni muhimu zaidi lakini hii pia ina umuhimu wake.
Tatizo la Kenya ni kutopanga vipaumbele vizuri, kila kitu kina umuhimu wake, hatuwezi kuvifanya vyote kwa wakati mmoja, lazima tuanze na vile muhimu zaidi. Hii kitu haina umuhimu wowote kwa sasa, bora hata mngejenga railway kwrnda Airport mkatumia DMU zenu, hii ni kwa ajili ya watu wachache matajiri na Politicians.
mtu anafurahia elevated highway ya kulipia,muulize lengo la hiyo daraja ni kuondoa nini[emoji23][emoji23][emoji23].
hata yeye hajui.
Lakini mupunguze kujipiga kifua.We asked our ''development partners'' to fund 4 lanes project from Dar Es Salaam to Chalinze. They refused citing that we don't need such a project. We decided to fund the project ourselves (Tanzanians) and changed the initial project plan to 8 lanes. This has shown us that the ''development partners'' are not interested in our development but on their wishes to continue to make us believe that we cannot undertake or make any decisions without their permission.
Africans should wok up! (JPM)
Mchumi anaweza kosa kujua?mtu anafurahia elevated highway ya kulipia,muulize lengo la hiyo daraja ni kuondoa nini[emoji23][emoji23][emoji23].
hata yeye hajui.
Nairobi in the next 2 years hutaweza kufananisha na Dar. Wewe endelea kucheka tu.Tuna flyover nyingine mpya tunaanza kujenga JanuaryKumbe hii ni toll road. Ukisikia nchi imegawanywa vipande vipande na kupigwa bei ndiyo hivi. Wanashangilia, hawajui hiyo ni mirija ya watu kuwanyonya wakenya for eternity.
Mazuzu wengine wanashangilia.
Nairobi in the next 2 years hutaweza kufananisha na Dar. Wewe endelea kucheka tu.Tuna flyover nyingine mpya tunaanza kujenga January
Huo sio msada ni mkopo.Siwalijifanya hawana haja ya kuomba msada hawa vinenge ? Likowapi sasa na ushuzi wa GDP[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio mnajisifia mna katiba nzuri! Yan mtu atoke urais aje kuwa pm!kama russia vile Putin na medved wanavyofanya!BBI haijali maslahi yoyote ya mwananchi wa kawaida. Hii ni fursa ya Uhuru kuwa the next prime minister na Raila kuwa the next president. BBI ni mbinu ya leaders kugawana mamlaka.
Na nyie, yaani mtu ashinde viti vyote vya ubunge halafu bado mnajisifia kuwa demokrasia? Nyie ni useless kabisa.Ndio mnajisifia mna katiba nzuri!yan mtu atoke urais aje kuwa pm!kama russia vile putin na medved wanavyofanya!
Achana nao hao wazee wa kupika data, wakiamua hata kesho watasema ni namba moja mbele ya Nigeria na SA.Third largest economy in sub saharani Africa? When did Kenya overtake Angola in terms of GDP?
Demokrasia ipi ambayo unaongelea? Ya Kenya au Tanzania? Afrika lazima tuamke, watu ambao kila uchwao wanapiga kelele za demokrasi wakati ndio wezi wakubwa wa mali za umma ni hatari sana. Chunguza wapinzani wengi wa Afrika wanalipwa na wale ambao wanafaidi keki ya hizo nchi kupitia makampuni yao binafsi. Je, Afrika tupo tayari kuwatetea wezi wa rasilimali zetu na sio raia wenye kipato cha chini na ambao hawawezi kuwalipa wapinzani?Na nyie, yaani mtu ashinde viti vyote vya ubunge halafu bado mnajisifia kuwa demokrasia? Nyie ni useless kabisa.